Mara nyingi nimewasikia viongozi mba;i mbali mfano Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi Watendaji na wengine wengi wakisema tunamshukuru Mhe. Rais kwa kutoa mabilioni kadhaa katika mradi fulani. Naomba mnielemishe.
Je, ni Mhe. Rais ndiye anayetoa fedha za miradi yote kutoka mfukoni mwake au fedha za miradi zinatokana na bajeti ya Serikali na mikopo mbalimbali.
Je, ni Mhe. Rais ndiye anayetoa fedha za miradi yote kutoka mfukoni mwake au fedha za miradi zinatokana na bajeti ya Serikali na mikopo mbalimbali.