Madai ya Prof Lipumba kuwa alikuwa UN akishauri Uchumi ni changa la macho?

Duh.. hii link mkuu inatoa wasifu wa Prof. lakini hauzungumzii suala lolote la kuhusiana na topic iliowekwa hapa jamvini..
jamaa alikuwa anatafuta link itayomuonyesha Prof alikuwa anafanya nini huko, sasa hiyo web ndiyo ya organisation iliyompeleka prof huko, infact amepewa promo sana ila hakuna lolote kubwa kihivyo kama watu wanavyozani
 
ww uliepost hii mada unaonekana hujui matumizi ya internet sio kila kitu una google fungua website ya united nations under agencies undp.....usome sifa za lipumba sio unakurupuka.........uliza kwanzaaa
 
nilifikiri dua za viongozi wa dini kuliombea taifa zinaweza kutusaidia na sisi watanzania tuondokane na ujinga wa kiukoo lakini naona juhudi hizi hazikufua dafu, leo tena qq.com anaudhihirishia umma kuwa ujinga wake unaweza kuibadilisha kweli ya lipumba ya kuwa UN miezi sita na kuwa mwenyekiti wa jopo la wachumi duniani, kabla yake tulisha shuhudiwa na rais ya kuwa huyu ni pro. uchwala, mh iko siku mtasema tu
 
Kwa mujibu wa mtangazaji wa Star tv siku ya mapokezi ni kwamba, Umoja wa Mataifa ulichagua Maprofesa 500 wa uchumi duniani ili kushughulika na mtikiso wa uchumi duniani. Wakafanya mchujo wa kupata 50 bora, Prof. Lipumba akashika nafasi ya kwanza. Wakafanya mchujo tena ili kuwapata 16 bora watakaoratibu uchumi wa dunia, kwa mara nyingine Prof. Lipumba akashika nafasi ya kwanza. Ndipo Umoja wa Mataifa ukamteua kuwa mwenyekiti wa kamati ya Maprofesa 16 watakaoratibu uchumi wa dunia.
 
ww uliepost hii mada unaonekana hujui matumizi ya internet sio kila kitu una google fungua website ya united nations under agencies undp.....usome sifa za lipumba sio unakurupuka.........uliza kwanzaaa

naomba msaada unipatie link mkuu ya UN inayomtaja LIPUMBA kama mnavyofikiria.
acha kudanganywa na watoto !.Tunataka kuamini kwa kuona na kuona kwa kuamini.
 
Kwa mujibu wa mtangazaji wa Star tv siku ya mapokezi ni kwamba, Umoja wa Mataifa ulichagua Maprofesa 500 wa uchumi duniani ili kushughulika na mtikiso wa uchumi duniani. Wakafanya mchujo wa kupata 50 bora, Prof. Lipumba akashika nafasi ya kwanza. Wakafanya mchujo tena ili kuwapata 16 bora watakaoratibu uchumi wa dunia, kwa mara nyingine Prof. Lipumba akashika nafasi ya kwanza. Ndipo Umoja wa Mataifa ukamteua kuwa mwenyekiti wa kamati ya Maprofesa 16 watakaoratibu uchumi wa dunia.


Huo ni uongo wa kisiasa tu,kama ni kweli wathibitishe kwa kuonesha chanzo cha hiyo,sana sana watakuwa wameelezwa ama na mtatiro au Seifu basi
 
ww uliepost hii mada unaonekana hujui matumizi ya internet sio kila kitu una google fungua website ya united nations under agencies undp.....usome sifa za lipumba sio unakurupuka.........uliza kwanzaaa

Inaonekana wewe IT yako ndogo sana, acha kabisa kujiita C programming...Nenda kasome kasome jinsi search engine inavyofanya kazi utapata jibu lako.chochote kilichowekwa kwenye website lazima google ikupe majibu labda kama hujui kusearch
 
Kwa mujibu wa mtangazaji wa Star tv siku ya mapokezi ni kwamba, Umoja wa Mataifa ulichagua Maprofesa 500 wa uchumi duniani ili kushughulika na mtikiso wa uchumi duniani. Wakafanya mchujo wa kupata 50 bora, Prof. Lipumba akashika nafasi ya kwanza. Wakafanya mchujo tena ili kuwapata 16 bora watakaoratibu uchumi wa dunia, kwa mara nyingine Prof. Lipumba akashika nafasi ya kwanza. Ndipo Umoja wa Mataifa ukamteua kuwa mwenyekiti wa kamati ya Maprofesa 16 watakaoratibu uchumi wa dunia.

Ndugu yangu mtu afanye mambo makubwa hivyo halafu vyombo vikubwa vya habari kama bbc,Al jazeera,cnn, etc visitangaze? Hata uki google hakuna sehemu yeyote inayoonesha kukutana kwa wataalamu bora wa uchumi duniani akiwemo Lipumba, jamani acheni mambo ya kwenye vijiwe vya kahawa, dunia ya leo ni kama kijiji
 
BRIEF RESUME

Professor Nguyuru Haruna Ibrahim LIPUMBA
Senior Research Fellow
The Multi-Environmental Society (MESO)
P.O. Box 70949
Dar Es Salaam,
Tanzania.

Independent Consultant
c/o G.V. Mtenga
UNICEF
P.O. Box 4076
Dar es Salaam
Tanzania.
Telephone 255 22 2460775
255 22 2860812
Mobile Tel.255 741 625352
Fax 255 22 2860812
e-mail gmtenga@unicef.org or lipumba@yahoo.com

Field of expertise: International Trade and Finance, Macroeconomics Development Economics and Agricultural Economics.

Current research focus: (1) Impact of Liberalization of Foreign Exchange and Other Financial Markets on Economic Development in Sub-Saharan Africa. (2) Globalization and Economic Development in Sub Sahara Africa (3) Policies to
Promote Growth in Sub Sahara Africa.

Date of Birth: 6th June 1952
Marital Status: Married

Education:
1978-83 Ph.D Economics, Stanford University, Stanford, CA 94305
1977-78 M.A. Economics, Stanford University, Stanford, CA 94305
1976-78 M.A. Economics, Faculty of Arts and Social Sciences
1973-76 B.A. (Hons) Economics, University of Dar es Salaam

Academic Honors:
1977-1983, Rockefeller Foundation Fellowship
1986-1989, Kellog International Fellow in Food Systems
1976, Best Student Award, Faculty of Arts and Social Sciences, University of Dar es Salaam

Employment:
1999- Independent Consultant, Dar es Salaam
1996-1998, Senior Research Fellow at the World Institute for Development Economics Research, UNU/WIDER, Finland.
1993-1995, Fullbright Visiting Professor, Centre for Development Economics Williams College, USA.
1991-1993, Personal Assistant to the President (Economic Affairs) i.e. Economic Advisor to the President of the United Republic of Tanzania.
1989-1996, Associate Professor Department of Economics, University of Dar es Salaam.
1996-1998, Senior Research Fellow, World Institute of Development Economics Research, United Nations University, Helsinki, Finland.
Consultant to
The World Bank, UNDP, Global Coalition for Africa, Preferential Trade Area for Eastern and Southern Africa (now COMESA), Swedish International Development Agency (SIDA), NORAD, DANIDA, Ministry of Foreign Affairs Finland, Bank of Tanzania, Macroeconomic and Financial Management Institute of Eastern and Southern Africa, African Capacity Building Foundation.

Other Responsibilities:
2000, Presidential Candidate, Civil United Front, General Election of the United Republic of Tanzania, General Election October 2000.
1999- Present, Chairman, Civic United Front, a Liberal Democratic political party in Tanzania.
1996-1998 Visiting Professor of Development Economics, University of Helsinki.
1995, Presidential Candidate, Civil United Front, General Election of the United Republic of Tanzania, General Election October 1995.
1995-Present, Member United Nations Committee for Development Policy.
1993, Chairman, Probe Committee on the Management and Leadership crisis facing the National Insurance Corporation.
1992, Chairman, Presidential Commission of Enquiry on the financial problems of Shinyanga Region Cooperative Union.
1991-1993, Commissioner, Presidential Commission on Parastatal Sector Reform, Dar es Salaam, Tanzania.
1990-1993, Chairman, Board of Directors, Imara Wood Industries, Moshi, Tanzania.
1990-1993, Member, Board of Directors Tanzania Wood Industries Corporation TWICO, Dar es Salaam, Tanzania.
1992-1993, Member, Board of Directors, National Insurance Corporation, Dar es Salaam, Tanzania
1990-1993, Member, Board of Directors, Tanzania Karatasi Associated Industries (TKAI), Dar es Salaam, Tanzania.

Selected Publications:
. . .

http://www.tiger.edu.pl/onas/rada/lipumba.pdf

Jamani tusome kwenye hizo red hapo juu kabla hatuja-judge! UN sio lazima uwe Katibu mkuu cos hata hizo bodies za UN ni UN pia
 
Acha chuki binafsi sasa kama wewe thomaso na umeshindwa kutomasa kwenye google utasaidiwaje wakati una kiburi cha kutotaka kuamini? Muulinze Katibu wenu mkuu(SLAA) alikwenda kumpokea. Manake yeye(SLAA ) akienda Karatu akarudi mnasema alikuwa Ujerumani na mnakwenda kumpokea. CHADEMA bwana wasanii kweli, mara mtembeze bakuli kuomba pesa za kampeni.
hacha chuki binafs gamba la kuku wewe
 
wadau mimi nimejaribu ku-google madai kuwa prof alikuwa akishauri mambo ya uchumi kwa kutumwa na UN sioni kitu
nimepata haya
Prof.Ibrahim Lipumba/UN - Google Search

hivi siyo danganya toto na kutafuta umaarufu kwa kisiasa.

ebu wenye japo link,inayoonesha hivyo atuwekee ili tuamini,maana wengine ni THOMASO

nitashukuru

Changa la Macho. Lipumba aliomba kuto amada kwenye taasisi ya demokrasia. Dosier nzima tunayo tutaipandisha baadae
Lipumba amedangayna watanzania kama Adam Malima. Aliomba kutoa mada kwenye Luncheon. NI LUNCHEON siyo UN......... Tutawatumia Article nzima baadae

From Ujamaa to Demokrasia: Reflecting on 50 years of Independence in Tanzania and the Way Forward in Washington Dec 9, 2011 12:00 PM




From Ujamaa to Demokrasia: Reflecting on 50 years of Independence in Tanzania and the Way Forward


Dec 9, 2011 at 12:00 PM

National Endowment for Democracy

- Get Directions
1025 F Street, NW
Washington, DC



Pricing

From Ujamaa to Demokrasia: Reflecting on 50 years of Independence in Tanzania and the Way Forward 0.00

Description



The International Forum for Democratic Studiesat the National Endowment for Democracy

cordially invites you to a luncheon presentation entitled


From Ujamaa to Demokrasia:
Reflecting on 50 Years of Independence in Tanzania and the Way Forward


featuring

Dr. Ibrahim Lipumba Reagan-Fascell Democracy Fellow

with comments byJoel D. BarkanSenior Associate, Africa Program Center for Strategic and International Studies Friday, December 9, 201112 noon-2:00 p.m. (Lunch served 12:00-12:30 p.m.)1025 F. Street, N.W., Suite 800, Washington, D.C. 20004Telephone: 202-378-9675RSVP (acceptances only) with name and affiliation by Wednesday, December 7 at From Ujamaa to Demokrasia: Reflecting on 50 years of... - Eventbrite.



Tanzania, which celebrates its 50th anniversary of independence on December 9, is often considered an African success story due to its political stability, social cohesion, and lack of violent civil strife or military coups. Long before lifetime presidencies were out of fashion, President Julius Nyerere (1962-1985) was among the first African leaders to step down voluntarily from office. In 1992, Tanzania instituted a multiparty system and held its fourth election in 2010. It also liberalized its economy, and has registered impressive growth in the past decade. Despite these significant achievements, however, there remain critical challenges to be addressed before the country can claim the mantle of success. A majority of Tanzanians live in poverty and have yet to enjoy an equitable share of the country's wealth. The political system is dominated by a hegemonic ruling party, corruption is rife, elections are free but not fair, and the state suffers from weak capacity. Indeed, while unique in some contexts, Tanzania exhibits many of the qualities of an underdeveloped and semi-democratic state. In his presentation, Dr. Ibrahim Lipumba will reflect on Tanzania's achievements and the challenges ahead as we mark the 50th anniversary of Tanzanian independence. Dr. Joel D. Barkan will provide comments.

Since 1999, Dr. Ibrahim Lipumba has served as national chairman of the Civic United Front (CUF), a liberal political party in Tanzania with strong support in Zanzibar. Dr. Lipumba is from mainland Tanzania and has run for president on the CUF ticket four times (1995, 2000, 2005, and 2010). From 2009-2010, he led the CUF in negotiations with the ruling party in order to resolve the political crisis in Zanzibar through a power-sharing agreement. Before he entered party politics, Dr. Lipumba was a professor of economics at the University of Dar es Salaam (1983-1996) and a Fulbright Visiting Professor at the Center for Development Economics at Williams College (1993-1995). He also served as Senior Research Fellow at the World Institute for Development Economics Research in Helsinki (1996-1998). During his fellowship, Dr. Lipumba is examining the structure of governance institutions in developing countries with functioning democracies and rapid economic growth, in order to draw lessons for building accountable institutions that will foster sustainable and equitable development in Tanzania. Dr. Joel D. Barkan is professor emeritus of political science at the University of Iowa and senior associate at the Center for Strategic and International Studies.
 
Duh kwanza nimefurahi kuwa ndani ya Jamii hii.
Kusema kweli Lipumba jembe na inapaswa tumpe big up bila kuingiza itikadi za kisiasa!
Na uwezo wake wakitaaluma hauna mahusiano sn na chama anachokiongoza!
Wasifu wake unajulikana Duniani kote ktk suala la taaluma ya uchumi.
 
Inaonekana wewe IT yako ndogo sana, acha kabisa kujiita C programming...Nenda kasome kasome jinsi search engine inavyofanya kazi utapata jibu lako.chochote kilichowekwa kwenye website lazima google ikupe majibu labda kama hujui kusearch

acha ujinga si kila kitu utakipata kwenye google inaonekana google umeifahamu sio muda mrefu. Ile link uliopewa mbona hukuiona wakati ukiserch mpaka umepewa. So usijitie ujuaji.
 
Changa la Macho. Lipumba aliomba kuto amada kwenye taasisi ya demokrasia. Dosier nzima tunayo tutaipandisha baadae
Lipumba amedangayna watanzania kama Adam Malima. Aliomba kutoa mada kwenye Luncheon. NI LUNCHEON siyo UN......... Tutawatumia Article nzima baadae

From Ujamaa to Demokrasia: Reflecting on 50 years of Independence in Tanzania and the Way Forward in Washington Dec 9, 2011 12:00 PM




From Ujamaa to Demokrasia: Reflecting on 50 years of Independence in Tanzania and the Way Forward


Dec 9, 2011 at 12:00 PM

National Endowment for Democracy

- Get Directions
1025 F Street, NW
Washington, DC



Pricing

From Ujamaa to Demokrasia: Reflecting on 50 years of Independence in Tanzania and the Way Forward 0.00

Description



The International Forum for Democratic Studiesat the National Endowment for Democracy

cordially invites you to a luncheon presentation entitled


From Ujamaa to Demokrasia:
Reflecting on 50 Years of Independence in Tanzania and the Way Forward


featuring

Dr. Ibrahim Lipumba Reagan-Fascell Democracy Fellow

with comments byJoel D. BarkanSenior Associate, Africa Program Center for Strategic and International Studies Friday, December 9, 201112 noon-2:00 p.m. (Lunch served 12:00-12:30 p.m.)1025 F. Street, N.W., Suite 800, Washington, D.C. 20004Telephone: 202-378-9675RSVP (acceptances only) with name and affiliation by Wednesday, December 7 at From Ujamaa to Demokrasia: Reflecting on 50 years of... - Eventbrite.



Tanzania, which celebrates its 50th anniversary of independence on December 9, is often considered an African success story due to its political stability, social cohesion, and lack of violent civil strife or military coups. Long before lifetime presidencies were out of fashion, President Julius Nyerere (1962-1985) was among the first African leaders to step down voluntarily from office. In 1992, Tanzania instituted a multiparty system and held its fourth election in 2010. It also liberalized its economy, and has registered impressive growth in the past decade. Despite these significant achievements, however, there remain critical challenges to be addressed before the country can claim the mantle of success. A majority of Tanzanians live in poverty and have yet to enjoy an equitable share of the country's wealth. The political system is dominated by a hegemonic ruling party, corruption is rife, elections are free but not fair, and the state suffers from weak capacity. Indeed, while unique in some contexts, Tanzania exhibits many of the qualities of an underdeveloped and semi-democratic state. In his presentation, Dr. Ibrahim Lipumba will reflect on Tanzania's achievements and the challenges ahead as we mark the 50th anniversary of Tanzanian independence. Dr. Joel D. Barkan will provide comments.

Since 1999, Dr. Ibrahim Lipumba has served as national chairman of the Civic United Front (CUF), a liberal political party in Tanzania with strong support in Zanzibar. Dr. Lipumba is from mainland Tanzania and has run for president on the CUF ticket four times (1995, 2000, 2005, and 2010). From 2009-2010, he led the CUF in negotiations with the ruling party in order to resolve the political crisis in Zanzibar through a power-sharing agreement. Before he entered party politics, Dr. Lipumba was a professor of economics at the University of Dar es Salaam (1983-1996) and a Fulbright Visiting Professor at the Center for Development Economics at Williams College (1993-1995). He also served as Senior Research Fellow at the World Institute for Development Economics Research in Helsinki (1996-1998). During his fellowship, Dr. Lipumba is examining the structure of governance institutions in developing countries with functioning democracies and rapid economic growth, in order to draw lessons for building accountable institutions that will foster sustainable and equitable development in Tanzania. Dr. Joel D. Barkan is professor emeritus of political science at the University of Iowa and senior associate at the Center for Strategic and International Studies.

uvivu na kukurupuka kutawaponza mbona mnapapara hajaongea na wandishi wa habari. Sio watafiti uvivu wenu pelekeni huko. Eti mnajiona wajanja kuuleta wasifu huo ni wasifu wakati wote unaupata kwa google mmepewa link bado mmeshindwa kuisoma.
 
Ndugu yangu mtu afanye mambo makubwa hivyo halafu vyombo vikubwa vya habari kama bbc,Al jazeera,cnn, etc visitangaze? Hata uki google hakuna sehemu yeyote inayoonesha kukutana kwa wataalamu bora wa uchumi duniani akiwemo Lipumba, jamani acheni mambo ya kwenye vijiwe vya kahawa, dunia ya leo ni kama kijiji

hivi wakati vyombo vya habari vikubwa bbc. Na cnn vilipotangaza ulikuwa wapi wewe usiwe kujitia ujuaji
 
Back
Top Bottom