qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
wadau mimi nimejaribu ku-google madai kuwa prof alikuwa akishauri mambo ya uchumi kwa kutumwa na UN sioni kitu
nimepata haya
Prof.Ibrahim Lipumba/UN - Google Search
hivi siyo danganya toto na kutafuta umaarufu kwa kisiasa.
ebu wenye japo link,inayoonesha hivyo atuwekee ili tuamini,maana wengine ni THOMASO
nitashukuru
nimepata haya
Prof.Ibrahim Lipumba/UN - Google Search
hivi siyo danganya toto na kutafuta umaarufu kwa kisiasa.
ebu wenye japo link,inayoonesha hivyo atuwekee ili tuamini,maana wengine ni THOMASO
nitashukuru