Tuwekeeni na ya padri slaa tuiyone
dogo nimekuota, mwana! unambio kitu mshikaji!, manake toka tandika nimekupiga mtama lango la kuingili shimoni kariakoo! Visingizio basi uache, ooh mi nkunyonyesha, ooh naleaaaa! kelele zako ndio umeambulia buku jero, sikutaka dhulma! lakini uko gado mwana!