MTUNZA AMANI
Senior Member
- Jun 2, 2012
- 187
- 21
AFISA MIKOPO NA UONGOZI WA IFM WAWATESA WANAFUNZI KWA KUTOWAPATIA HELA ZAO ZAKUJIKIMU ZA WANAFUNZI NA KUWATESA WANAFUNZI
Inasikitisha sana kwa wanafunzi wa IFM tangu chuo kimefunguliwa wanafunzi hawajapewa fedha zao za kujikimu.
Mbaya zaidi umeshapita takribani mwezi mmoja na wiki kadhaa. Bodi ya mikopo imepeleka fedha lakini uongozi wa chuo hautaki kuwapa wanafunzi fedha hizo.
Huu ni mwendelezo wa tabia mbaya na chafu ya Afisa mikopo wa IFM pamoja na uongozi wa chuo kuendekeza kutumia fedha zitumwazo chuoni hapo kujinufaisha wao binafsi badala ya kuwapa haki yao watoto hawa ambao wengi wao wanatoka mikoani.
Mamlaka zinazohusika hasa Mh Waziri mwenye dhamana Mh Joyce Ndalichako naomba aingilie kati suala hili, pia mkurugenzi wa bodi ya mikopo kama ameona ujumbe huu afatalie jambi hili.
Nakumbuka kauli ya Mh. rais aliwahi kukemea tabia hii alipokua anahutubia katika moja chuo hapa nchini.
Na aliagiza kua Maafisa mikopo wanaofanya mchezo huo kufukuzwa kazi.
Swali kwanini Afisa Mikopo IFM anacheza mchezo huo na kusababisha adha kwa wanafuzni hasa dada zetu ambao hujikuta wanaingia kwenye mtego wa kujiuza ili wapate hela ya kujikimu.
Naomba mamlaka zote zinazohusika wafatilie jambo hili kwa kina ili kuwanusuru watoto hawa.
Inasikitisha sana kwa wanafunzi wa IFM tangu chuo kimefunguliwa wanafunzi hawajapewa fedha zao za kujikimu.
Mbaya zaidi umeshapita takribani mwezi mmoja na wiki kadhaa. Bodi ya mikopo imepeleka fedha lakini uongozi wa chuo hautaki kuwapa wanafunzi fedha hizo.
Huu ni mwendelezo wa tabia mbaya na chafu ya Afisa mikopo wa IFM pamoja na uongozi wa chuo kuendekeza kutumia fedha zitumwazo chuoni hapo kujinufaisha wao binafsi badala ya kuwapa haki yao watoto hawa ambao wengi wao wanatoka mikoani.
Mamlaka zinazohusika hasa Mh Waziri mwenye dhamana Mh Joyce Ndalichako naomba aingilie kati suala hili, pia mkurugenzi wa bodi ya mikopo kama ameona ujumbe huu afatalie jambi hili.
Nakumbuka kauli ya Mh. rais aliwahi kukemea tabia hii alipokua anahutubia katika moja chuo hapa nchini.
Na aliagiza kua Maafisa mikopo wanaofanya mchezo huo kufukuzwa kazi.
Swali kwanini Afisa Mikopo IFM anacheza mchezo huo na kusababisha adha kwa wanafuzni hasa dada zetu ambao hujikuta wanaingia kwenye mtego wa kujiuza ili wapate hela ya kujikimu.
Naomba mamlaka zote zinazohusika wafatilie jambo hili kwa kina ili kuwanusuru watoto hawa.