herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,198
- 1,345
Ni maumivu kwa watoto wa wanyonge wengi ndoto za kupata elimu ambayo ni HAKI muhimu katika maisha inaelekea kupotea na hii inakatisha sana tamaa.na kuna vyuo vingine registration inaelekea mwishoni kama SUA system ya kuregister inafungwa kwa sisi watoto wa makapuku tunaotegemea mikopo ndoto zetu ni km zinaenda kufifia hatujui tufanye nini pesa majumbani hawana......loooh! Mungu sasa aingilie kati hiyo issue tumechoka na ahadi