It goes like this: mwanaume awe ametunza sperm za kutosha, at least akae bila kusex au kumastabet kwa sikh 3ili kuongeze volume ya sperm na uimara( Volume,motility strength)second: Mfanye sex sikh ya Ovulation, yaani siku ya 14 ambayo yai linapevuka kwa sababu mtoto wa kiume anatengenezwa na Y chromosome ambayo in a speed kuliko X chromosome lakini ni dhaifu, life span ni shortThird:Wakati wa kusex mtumie position ambayo itawezesha sperm zote ziweze kuingia kwenye uke, mfano kifo cha mende, mwanamke alale chali na akunje miguu yote kuja kifuani kwake, au Rear entryFourth: siki tatu au mbili kabla ya yai kupevushwa mwanamke ale vyakula visivyo na acid,ili kuwezesha mazingira ya uke yawe alkaline ambayo ni friendly kwa Y chromosome survivorSixthy: Muombe mungu, ambayo kama ningekuwa mimi hili ndo lingekuwa FirstGood luck………….