bure ina gharama zake.... waone wataalamu wa afya ya uzazi kwa maelekezo ya uhakika.... wakishinwa basi irejee imani yako, "watoto wanatoka kwa Mungu"Wakuu Habari? Mimi ni kijana wa miaka 39 ambaye ni baba wa watoto 6(wote wasichana.
Nimetafuta mtoto wa kiume kwa muda mrefu bila mafanikio. Nampenda mke wangu na nisingependa kuowa au kazaa na mwanamke mwingine. JF inatusaidia kupata ushauri wa bure. Naombeni mnishauri nifanyeje kwani nilipanga kuwa na watoto watatu, leo na watoto 6 kwasababu hitaji langu bado halijakamilika.
Naomba ushauri kwani nimepata ushauri wa kitabibu bila mafanikio.
Kula vyakula vya protein kwa wingi, matunda na mbegu( karanga ), kaa kuanzia wiki tatu kabla ya mechi, hapo Y zitakuwa na nguvu.Wakuu Habari? Mimi ni kijana wa miaka 39 ambaye ni baba wa watoto 6(wote wasichana.
Nimetafuta mtoto wa kiume kwa muda mrefu bila mafanikio. Nampenda mke wangu na nisingependa kuowa au kazaa na mwanamke mwingine. JF inatusaidia kupata ushauri wa bure. Naombeni mnishauri nifanyeje kwani nilipanga kuwa na watoto watatu, leo na watoto 6 kwasababu hitaji langu bado halijakamilika.
Naomba ushauri kwani nimepata ushauri wa kitabibu bila mafanikio.
Yuko sahihiunamwingiza chaka mwenzio. Ulichosema sio kweli. Tafadhali jaribu kutafuta source nzuri ya taarifa zako. Asante
Nilickiaga n kushuhudia.. Uwa inakuwa hivi... Subir ile cku mamaa anapatwa n mzuka wa hatar... Ful genye yan ful kukusumbua mwanaume! Then apo apo ss n u usimlazie dam cku io.... Muwah fasta mpge mambo then tulia, nlickiaga n nkajaga kushuhudia pia io njia ilileta mafanikio... But ushuhuda nliambiwa tuuuWakuu Habari? Mimi ni kijana wa miaka 39 ambaye ni baba wa watoto 6(wote wasichana.
Nimetafuta mtoto wa kiume kwa muda mrefu bila mafanikio. Nampenda mke wangu na nisingependa kuowa au kazaa na mwanamke mwingine. JF inatusaidia kupata ushauri wa bure. Naombeni mnishauri nifanyeje kwani nilipanga kuwa na watoto watatu, leo na watoto 6 kwasababu hitaji langu bado halijakamilika.
Naomba ushauri kwani nimepata ushauri wa kitabibu bila mafanikio.
Haupo sahihi. Kwanza amesema mbegu za kike na zakiume wakati sio mbegu ni chromosomes, alafu pia Y chromosomes ndio zinaogelea kwa haraka kuliko X chromosomes ila Y hazina endurance kubwa kama X. Upo hapo arif?Yuko sahihi
Napiga mikao Karibu yote. Hadi ule wa kitonyoMkuu kuna mikao ya kugegedana ili kupata jinsia ya mtoto umtakaye!,hebu njoo ukuje hapa na useme mikao utumiayo ili nikupe maujanja..
Nimejaribu kuvumilia nimeshindwa jamani. Nakosa amani ya maisha.Mshukuru Muumba kwa hao ulionao na usisoneneke, weka roho itulie na atakupatia. Ila kuna wataalamu humu wa kusema kuna siku na siku za mambo na utampata.
Sechi pia threads zilizopita.
Inaitwaje hiyo dawa?Mama yangu mkubwa anatoa hiyo dawa ndo tulijua majuzi baada ya dada kuzaa wasichana tuu. Dada yangu alikuwa na watoto wa3 wa kike mme kaanza kutafuta nje si ndo mama mkubwa kaamua kumpa dawa sasa hivi mtoto wake wakiume ana mwaka. Ila alishawapa wengi ambao tumewajua baada ya tukio
Hiyo dawa haina mashariti anakunywa mwanamke tu.
Ushauri ongea na 0ngea na mama zako watu wazima hizi dawa za kubadilisha uzazi zipo kila sehemu. Ingawa wanafanyaga kwa siri sana. Uwezi kujua kuwa furani ana hiyo dawa mpaka mtu alokunywa hiyo dawa akwambie.
Nakunywa bia tuUnatumia kileo?
Nawapenda sana. Tatizo wengiAcha ujingaaa weweee unadhan wewe kuzaliwa wa kiume ni bora kuliko hao mabint wazur mwenyez mungu aliokujalia????kubali baraka ulizopewa na aliye juuuu wacha kumkufuru aliekuumba