Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,734
Habari zenu JF Doctors.,
Jamani mi nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la macho kuwasha na kutoa machozi kila niuguapo mafua. Nashindwa kuelewa hii connection, why kila nikiugua mafua lazima na macho nayo yaige and vice versa? mbaya zaidi macho huwasha sana kiasi kwamba muda mwingi nashinda nafikicha hadi limekuwa jekundu karibia na nyanya.
Msaada, nifanye nini wanajamii? dawa zipi can kill this connection?
Jamani mi nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la macho kuwasha na kutoa machozi kila niuguapo mafua. Nashindwa kuelewa hii connection, why kila nikiugua mafua lazima na macho nayo yaige and vice versa? mbaya zaidi macho huwasha sana kiasi kwamba muda mwingi nashinda nafikicha hadi limekuwa jekundu karibia na nyanya.
Msaada, nifanye nini wanajamii? dawa zipi can kill this connection?