Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,472
- 12,901
- Thread starter
- #201
Hv bro na yule braza smati sana alikua anajiita Cool James......alikua akija dar kutoka Sweden ilikua balaa na kigari chake kile enzi hizo early 90,s...Unamkumbuka?????Yule jamaa mtu wa kuingia frontline kitambo. Yani jamaa si muoga kabisa, anajiamini kupita maelezo.
Anavaa pamba kali afu kasuka na alikua makamo yenu ila baadae alifariki miaka ya 2000,s...kwa ajali ya gari..
Unamkumbuka???