mabomu yatumika kutawanya mandamano ya CUF

Bado CDM hiyo tarehe 5 January wanayo sema wanaandama, wao ndio tutawamaliza kabisa , asiguse mtu barabarani, na kama mnabisha hata mliomo humu JF ambao mlikuwa na nia ya kufanya hivyo jaribuni muone dola itakavyo wafanya

sikutegemea kukutana na watu dhaifu wa mawazo na wakatisha tamaa kama wewe kwenye home of great thinkers. Nadhani unastahili kutoa michango yako kwenye blog ya ccm (kama ipo) huko akina Makamba na wenzake ndio wanashabikia wakatisha tamaa ili wajifurahishe. 'shame on u'
 
1.Mtego wa Noti « sasa mbona wanajibishia wenyewe? kwani wao si wako ndani ya serikali? sasa mbona wanatuchanganya?....anyway....ngoja wapigwe virungu...
....na bado.... «


2.Ledman Mtana. « Wanataka serikali ya mseto na bara. wameshaonja utamu huko zenji sio? »

3.Buchanan. « CCM - A inapambana na CCM - B, kaaazi kweli kweli! »

4.Maishapopote. « Hahahahhaha wavunjwe hata miguu »


Great thinkers

Munajidhalilisha kama uwezo wenu wa kufikiri ndio huu !

Yaani mtanzania mwenzako,anapigwa, anajeruhiwa au anauawa katika dai ambali wewe pia ungeandamana kama chama Chengine cha siasa kingeitisha maadamano hayo, sijui niite tabia gani !!

Hayo ya Polisi kupiga CUF inafaa muone kuwa CUF sio chama tawala kama wengi humu munavyotaka tuamini.

Halafu hili la kusema CUF kaolewa au wanalala kitanda kimoja inaonesha wazi vipi mawazo yetu yametawaliwa na fikra ya unyanyasaji wa kijinsia katika mila za hapa Tanzania. Tunaona wanawake ni watu wa « kufanywa tu »,kudharauliwa.

Tumesoma lakini hatujaelimika ! Fikra potofu. Munawatukana, munawadhalilisha mama na dada zenu na hizo dharau munazipeleka katika ulinganisho hata wa kisiasa.

Siku kibao kikiwageukia , nitawakumbushia thread hii.
Badilikeni kama tunataka mabadiliko ya kweli.

Mtakuwa chambo kwa kila kitu hadi lini?

Issue ya kupeleke rasimu wizarani inahitaji maandamano?

Mimi nafikiri CUF chair (leaders) wangeweka appointment na minister responsible waka -peleka hiyo rasimu kwa despatch

Then wakaita media

Wastage of energy, time, resources

Nilisema mmeimbishwa wimbo si wenu mkaitikia..poleni

Bado cdm walahi bila kibali cha maandamo watapigwa virungu....wanacheza na dola..siyo
 
JK ni Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote ya ulinzi na usalama (POLISI, JWTZ, MAGEREZA, JKT, MGAMBO, SECURICOR, ULTIMATE SECURITY, SUNGUSUNGU, KMKM, na kadhalika).

JK ndio aliyetoa amri ndiyo katiba yetu inavyosema.
 
WanaJF,

Hoja ya kutolewa muhanga Mtatiro.

Kwa wale ambao hawafuatilii au kwa makusudi wanapotosha umma ni kuwa
Lipumba alishawahi kuvunjwa mkono na polisi kwa sababu gani?
Seif Shrif alishawahi kuwekwa kizuizini, miaka mingapi?
Hamad Rashid kawekwa kizuizini(gerezani),miaka mingapi?

Kwa hiyo kama Mtatiro amepewa assignment ya kuongoza move ya leo, sioni ubaya wowote, na yeye lazima apate majaribu, kama ni jemedari anayefaa au jemedari mwoga!
Vipi uta-separate men from boys?


Katika harakati zozote zile za kudai haki,wanaokanyagwa na polisi, wanaoumia zaidi ni mlalahoi, mtu wa kawaida, washabiki, wanachama, wapenzi kwani viongozi huwa ndio wapangaji wa mipangao na mikakati, walalahoi hujitokeza kuisukuma ,kuipa nguvu mikakati hiyo.

Sawa na lile tukio la CHADEMA kuhudhuria mkutano kule Arusha, ni nani waliopata kisago kule?.

Tuache ushabiki usio na chembe ya kufikiri. We need political maturity. Hakuna ulazima kuwa tukubaliane kwa kila kitu lakini pia si vyema kuitana majina na kudharauliana pale tusipokubaliana. Tufanye siasa za kiungwana!


Napenda kutanabahisha kuwa mimi si mfuasi, mpenzi au shabiki wa chama chochote cha siasa. Ni mfuatiliaji tu wa karibu wa siasa za hapa TZ.
 
Mtakuwa chambo kwa kila kitu hadi lini?

Issue ya kupeleke rasimu wizarani inahitaji maandamano?

Mimi nafikiri CUF chair (leaders) wangeweka appointment na minister responsible waka -peleka hiyo rasimu kwa despatch

Then wakaita media

Wastage of energy, time, resources

Nilisema mmeimbishwa wimbo si wenu mkaitikia..poleni

Bado cdm walahi bila kibali cha maandamo watapigwa virungu....wanacheza na dola..siyo

Mkuu,

Kuna njia nyingi za kudai haki. Hiyo unayoipendekeza wewe ni moja wapo. Sio mbaya, pia ni vyema ungewafikishia ujumbe hao CUF ili waifikirie mara nyengine watakapopanga move nyengine kwa issue nyengine.

Tanzania haitajengwa na wafuasi wa chama kimoja tu cha siasa. Ni wananchi wote.wenye vyama na wasio na vyama.
Unachanganya sana mkuu,unafikiri kila anaechangia humu ni mwanachama ,au shabiki wa chama Fulani?
 
Wachangiaji wengi naona hawana upeo mkubwa wa siasa zetu. Hawajui hata kama ZNZ kuwa nchi ndani ya muungano. Hawajui kama znz wanakatiba yao SEIF HAMAD NI MAKamu wa 1. Tanganyika ni nchi isiyo na wenyewe. Wenyenchi wamelala usingizi mzito. Tuwashukuru CUF Angalau wanatuamsha, wanao uzoefu si mnakumbuka walivyofanya harakati hadi waliuliwa. Na leo angalau wapo ktk serikali.
 
Back
Top Bottom