kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
Re: mabomu yatumika kutawanya mandamano ya CUF
Tusishabikie kwa mawazo hasi, tunapaswa tushangae nchi yetu inaelekea wapi maana kila kona maandamano
- Chadema Arusha - uchaguzi bomu wa meya
- Chadema Kigoma - uchaguzi bomu wa meya
- Chadema nchi nzima - upandaji bei umeme
- CUF - Katiba mpya
- Chadema - Katiba mpya
- UDOM - mazingira duni ya kusomea
- Ardhi University - mikopo ya elimu
- Muhimbili???
n.k.
Hivi si vitu vya kuchekelea, tunatakiwa tujiulize wapi pana shida ili parekebisho badala ya kushabikia. Amani ikitoweka mimi na wewe hatutapata fursa ya kukaa mbele ya Laptop/handset na kuandika ushabiki kama tunavyofanya sasa.
jaji werema - dowans lazima walipwe
- Chadema Arusha - uchaguzi bomu wa meya
- Chadema Kigoma - uchaguzi bomu wa meya
- Chadema nchi nzima - upandaji bei umeme
- CUF - Katiba mpya
- Chadema - Katiba mpya
- UDOM - mazingira duni ya kusomea
- Ardhi University - mikopo ya elimu
- Muhimbili???
n.k.
Hivi si vitu vya kuchekelea, tunatakiwa tujiulize wapi pana shida ili parekebisho badala ya kushabikia. Amani ikitoweka mimi na wewe hatutapata fursa ya kukaa mbele ya Laptop/handset na kuandika ushabiki kama tunavyofanya sasa.
jaji werema - dowans lazima walipwe