mabomu yatumika kutawanya mandamano ya CUF

Mambo ya wana ndoa hayo tusiyaingilie. Lipumba hakuwepo wala Maalim Seif hakuwepo!!!! Waliweka chambo chao ;;; Kafiri Julius ndio aongoze maandamano!!!


Watu tunaoona mbali tumeshalisema hili mara nyingi, sioni hata haja ya kuchangia chochote kwenye thread hii, sasa wewe uliona wapi chama tawala kikaandamana kuipinga serikali yao wao wenyewe? maalim seif ndio katibu mkuu wa CUF je alikuja kuongoza hayo maandamano?
Huyu kijana anayeitwa Mtatiro nadhani ana kaswende ya ubongo, anadhani anaweza kupata public sympathy kirahisi kwa movement za kitoto namna hii. sisi Watanganyika asije akazani anaweza kutufananisha na wapemba, wenye chama chao cha Cuf wanajulikana wazi ni Lipumba na Maalim Seif, na wao wamekaa pembeni hivi mtu unaejuwa namna nzuri ya kufikiri unaweza kumsikiliza mwehu kama mtatiro?
wapemba wengi wamepoteza maisha yao kule pemba kwa sababu ya mwehu mmoja tu ambaye shida yake ilikuwa ni tumbo lake tu, wanafikiri hapa Tanganyika kuna majuha wa kuwaingiza mkenge huo?
Angalizo: Asiyekijuwa vizuri chama cha CUF aende kwa Profesa Abdalah Safari atapata kuijuwa CUF.
 
Mwiba ameshiriki maandamano ya CUF? au anasubiri ya CDM ili alalamike tena CDM wanaanzisha vurugu.
 
CUF wanadai Katiba mpya au Serikali ya MSETO?


Acha unafiki wewe Suala la kudai Katiba ni la wtz wote. Sio la chama fulani wala kikundi fulani cha watu. Ndio nyie wote mnaoshabikia Katiba mpya kwa sababu mtu fulani kasema. Si ajabu hata Katiba iliyopo hujawqahi kuiona. Usishabikie kwa kitu kwa kuwa kimefanywa na mtu fulani, angalia km kina MASLAHI KWA TAIFA.
 
Vyanzo vya habari kadhaa vyaarifu kuwa risasi za moto na mabomu zimetumika katika kutawanya maandamano ya CUF mitaa ya Buguruni hali haikuwa shwari asubuhi hii.
inaonekana kuna mabomu na silaha nyingine zinakaribia ku-expire maana hii use ya force inakua common siku hizi
 
Mwiba ameshiriki maandamano ya CUF? au anasubiri ya CDM ili alalamike tena CDM wanaanzisha vurugu.
mkuu achana na yule asiyejua maana, utapoteza energy yako bure ni bora uitumie kumwagilia bustani au hata kushangaa feri...:eek:
 
Watu tunaoona mbali tumeshalisema hili mara nyingi, sioni hata haja ya kuchangia chochote kwenye thread hii, sasa wewe uliona wapi chama tawala kikaandamana kuipinga serikali yao wao wenyewe? maalim seif ndio katibu mkuu wa CUF je alikuja kuongoza hayo maandamano?
Huyu kijana anayeitwa Mtatiro nadhani ana kaswende ya ubongo, anadhani anaweza kupata public sympathy kirahisi kwa movement za kitoto namna hii. sisi Watanganyika asije akazani anaweza kutufananisha na wapemba, wenye chama chao cha Cuf wanajulikana wazi ni Lipumba na Maalim Seif, na wao wamekaa pembeni hivi mtu unaejuwa namna nzuri ya kufikiri unaweza kumsikiliza mwehu kama mtatiro?
wapemba wengi wamepoteza maisha yao kule pemba kwa sababu ya mwehu mmoja tu ambaye shida yake ilikuwa ni tumbo lake tu, wanafikiri hapa Tanganyika kuna majuha wa kuwaingiza mkenge huo?
Angalizo: Asiyekijuwa vizuri chama cha CUF aende kwa Profesa Abdalah Safari atapata kuijuwa CUF.
[/QUOTE



Msubirini bwana wenu Silaha aandame ndio muunge mkono. Kumbe mnashabikia watu sio jambo linalohusu maslahi ya Taifa? kweli Tz ni zaidi ya uijuavyo. Hawa ndio % kubwa ya Watz tulionao, wakati mwingine hata hamjui kinachoongelewa zaidi ya ushabiki tu. Poleni sana.
 
Makamu wa kwanza wa rais wa Zenj anayo taarifa hii? Au yeye ndo ametoa maelekezo kwa polisi kurusha risasi? Naona Mtatiro na Zitto wangebadilishana vyama (swap)!
 
KAMA CUF WAMEENDAMANA SABABU YA KATIBA BIG UP SANA ILA KAMA NILINGINE JAMBO HAPO SIWAKUBALI! hUKU TANGANYIKA HATUTAKI SERIKALI YA MSETO TUNATAKA MGOMBEA ANAYESHINDA ZAIDI YA ASILIMIA 50 NDIE AONGOZE...
 
naam kumekucha


kwa kweli haya mambo yanahitaji vyama vya siasa kukaa na kujiangalia pamoja na jeshi la Polisi


watanzania tumechoka kusikia vurugu za kijinga kila uchao mara CUF na Polisi mara Chadema na Polisi ni upuuzi mtupu


kaeni mtazame jinsi ya kuendesha siasa za kistaarabu hebu igeni CCM
 
ipo siku mabo haya yatafikia ukomo, kama kukomoana sasa kunaelekea kwisha. mbona maandamano yoyote ya CCM ( hata kama ni ya kipuuzi na yasiyo na maslahi kwa taifa) yanaruhusiwa. jamani polisi wetu msiwe watumwa kwa wanasiasa kulinda maslahi yao huku watoto wenu na ndugu zenu wakiendelea kuteseka. hakika Tanzania mabadiliko ni ya lazima.
 
Acha unafiki wewe Suala la kudai Katiba ni la wtz wote. Sio la chama fulani wala kikundi fulani cha watu. Ndio nyie wote mnaoshabikia Katiba mpya kwa sababu mtu fulani kasema. Si ajabu hata Katiba iliyopo hujawqahi kuiona. Usishabikie kwa kitu kwa kuwa kimefanywa na mtu fulani, angalia km kina MASLAHI KWA TAIFA.
Toa mahasira mwenzko kauliza CUF wanadai katiba au serikali ya mseto kwani kuna kosa gani hapo au hasira za mabomu unataka kuzimalizia JF.
 
Police force ni tawi la ccm tusishangae wanashindwa kuthidibit wezi wanadhibit wanaodai haki -polisi na ccm wanatupeleka wapi jamani polisi inapswa kulaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaniwa
 
hilo jna lako 2 ndg yng nakusamehe bure. We nenda zako sokon ukauze naz, au chai na kashata mana ndlo unaloliweza. Ccm kn cha kuiga???
naam kumekucha


kwa kweli haya mambo yanahitaji vyama vya siasa kukaa na kujiangalia pamoja na jeshi la Polisi


watanzania tumechoka kusikia vurugu za kijinga kila uchao mara CUF na Polisi mara Chadema na Polisi ni upuuzi mtupu


kaeni mtazame jinsi ya kuendesha siasa za kistaarabu hebu igeni CCM
 
Vyanzo vya habari kadhaa vyaarifu kuwa risasi za moto na mabomu zimetumika katika kutawanya maandamano ya CUF mitaa ya Buguruni hali haikuwa shwari asubuhi hii.

Kaazi kweli kweli!!!
Hivi tunataka kuandika ngonjera au katiba? kwanini watu wazima wasikae watulie wakaandika katiba ya kueleweka kama issue ni katiba au kama ili kuwa kukabidhi rasimu ya Katiba ya CUF maandamano ya nini? si mpeleke kama Mnyika alivyo peleka hoja yake ofisi ndogo ya Bunge? waandishi wa habaro walikuepo and nobody was hurt ustaarabu kitu cha bure! and remmember lazima ijadiliwe wala si mwisho wa discussion unless CUF wanadhani lazima vyama vyote vikubaliane nao!!! Hivi wanajua maana ya katiba ya nchi? LAAAAAAAAAAAZIMA TUIKUBALI WOOOOOOTE !!!!!!!!!!!!!!!!! DO YOU UNDERSTAND? YOU CAN ANDAMANA AS YOU LIKE LAKINI MWISHO WA SIKU TUTAKAA TUIJADILI AND WE SHALL HAVE TO AGREE TO DISAGREEE ON SOME ISSUES!!. I am out.
 
Watu tunaoona mbali tumeshalisema hili mara nyingi, sioni hata haja ya kuchangia chochote kwenye thread hii, sasa wewe uliona wapi chama tawala kikaandamana kuipinga serikali yao wao wenyewe? maalim seif ndio katibu mkuu wa CUF je alikuja kuongoza hayo maandamano?
Huyu kijana anayeitwa Mtatiro nadhani ana kaswende ya ubongo, anadhani anaweza kupata public sympathy kirahisi kwa movement za kitoto namna hii. sisi Watanganyika asije akazani anaweza kutufananisha na wapemba, wenye chama chao cha Cuf wanajulikana wazi ni Lipumba na Maalim Seif, na wao wamekaa pembeni hivi mtu unaejuwa namna nzuri ya kufikiri unaweza kumsikiliza mwehu kama mtatiro?
wapemba wengi wamepoteza maisha yao kule pemba kwa sababu ya mwehu mmoja tu ambaye shida yake ilikuwa ni tumbo lake tu, wanafikiri hapa Tanganyika kuna majuha wa kuwaingiza mkenge huo?
Angalizo: Asiyekijuwa vizuri chama cha CUF aende kwa Profesa Abdalah Safari atapata kuijuwa CUF.

Siku nyingine uiachie akili yako ifikiri sawasawa.
Kama una chuki binafsi na Mtatiro kuwa muwazi tu, manake najua mmekasirika sana Mtatiro kushika nafasi ya naibu katibu mkuu, mlitaka apewe nanihii lakini Lipumba kamchinjia baharini, ingawa hata hivyo Mtatiro ana uwezo na upeo mkubwa kuliko huyo mtu wenu.
Suala la katiba mpya ni la watanzania wote, sio suala la cuf, cdm,tlp wala ccm na polisi.
 
Tusishabikie kwa mawazo hasi, tunapaswa tushangae nchi yetu inaelekea wapi maana kila kona maandamano
- Chadema Arusha - uchaguzi bomu wa meya
- Chadema Kigoma - uchaguzi bomu wa meya
- Chadema nchi nzima - upandaji bei umeme
- CUF - Katiba mpya
- Chadema - Katiba mpya
- UDOM - mazingira duni ya kusomea
- Ardhi University - mikopo ya elimu
- Muhimbili???
n.k.
Hivi si vitu vya kuchekelea, tunatakiwa tujiulize wapi pana shida ili parekebisho badala ya kushabikia. Amani ikitoweka mimi na wewe hatutapata fursa ya kukaa mbele ya Laptop/handset na kuandika ushabiki kama tunavyofanya sasa.
 
Back
Top Bottom