Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 5,325
- 10,901
- Thread starter
- #101
Ok fine, Biblia ni neno la Mungu... Quran je? Ni neno la wanadamu wa kawaida au Maandiko yote mawili ni ya Mungu?...inawezekanaje andiko moja liwe la Mungu kwa maoni na mtazamo wako tu? ....Vipi upande wa pili unaweza kunipa uthibitisho wa Quran kama ni andiko la Mungu au sio la Mungu? Niamini kwamba Biblia ndio yenye usahihi zaidi....Mimi nitakupa maana kwa miaka sasa nimekuwa nazitoa JF bila hiyana. Ila uanze wewe uliyesema umefanya research na ukathibitisha somehow kuwa Biblia... narudia Biblia tena narudia ili iingie vizuri akilini mwako Biblia haina Divine Origin na kuwa haithibitishi in any way kuwa Mungu yupo.
Ukionesha hii nitakwenda nawe dot to dot kuonyesha si tu kwamba Mungu yupo na Biblia ni Neno la Mungu bali pia uko na hali mbaya mbele zake ikitokea ukavuta leo hii.
But kwanza leta research husika!