Dyslexia
Senior Member
- Jan 19, 2011
- 188
- 0
[/COLOR]
Sasa hapo kazi ndio ipo, na wanaume nao wameanza kushtuka, hakuna anayetaka kuoa mpika ubwabwa, vijana wengi siku hizi hasa wasomi wanatafuta wanawake wanaojiweza!
na wanawake tumeshtuka wengi wetu hatutaki kukaa home kupika ubwabwa,tunajiendeleza hata kwa kuchelewa,na si tuweze!!!