Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

Joyboy

JF-Expert Member
Sep 16, 2023
1,360
3,400
Habari zenu šŸ–

Naomba niwasimulie story fupi iliyotokea kipindi flani cha nyuma.

Kuna siku flani tulikuwa tumekaa na washkaji na baadhi ya mademu bac tunapiga story, jamaa mmoja baada ya kuona mademu akaanza sifa za kuji-mwambafy, bac yule jamaa nikamtuliza vizur tuu kwa upendo, bhana acha anitukane mbele za watu na kujifanya kama anataka kunipiga.

Mimi nikamsoma nikajua tuu huyu hana lolote ni muoga tuu sema anafanya hivo kisa ameona mademu anatafuta sifa, ulimbukeni wa ajabu sana.

Mimi sikufanya chochote nikamwambia bac yaishe, umeshinda.

Nilim-mind sana, tulivotoka pale kesho yake nikamfata personally alikuwa peke yake kwaio tulikuwa peke yetu "Ntu mbili" mm na yeye, nikamwambia "mwanang jana si ulitaka unipige, nipige bac asaiv" akaanza kujifanya kama haelewi, nikamwambia tena kwa sauti ya juu "nataka tupigane kama ulivotaka tupigane jana, si ulikuwa unatafuta sifa kwa wale mademu njoo bac asaiv tuzichape ntu mbili" jamaa akaanza kuomba msamaha mwanang na kusema hakuwa serious eti alikuwa anatania.

Hapa tunajifunza nini?? "The more quiet the man is, the more dangerous he is"

Kuna thread za mabifu nimeona zimeongezeka humu JF tokea juzi na watu wakitaka kupigana, Kwenu UMUGHAKA Hance Mtanashati GENTAMYCINE LIKUD Mjanja M1 na wote weny mabifu, ukiona mtu anakuja kweny uzi wako na anaanza kukutukana na kukuoneshea ubabe bila sababu achana nae msianze kupanga siku za kukutana kupigana vitasa, wanaoweza hayo mambo huwanaga mdomo wa kujitambatamba na kujionesha kwa watu.
 
Wana matatizo mtu humjui eti unapanga kupigana nae.
Kabla ya kufika hapo, mtu usiyemjua anakupandishaje hasira namna hiyo?

Unajua mtu akikujua akisema lolote juu yako ndipo mtu hupata hisia za maumivu na hasira, na wengi wao ni watu wazima kabisa!

Sijui, ila hayo wengine tuliyafanya wakati tunajiunga JF tukiwa watoto wa early 20ā€™s.
 
Habari zenu šŸ–

Naomba niwasimulie story fupi iliyotokea kipindi flani cha nyuma.

Kuna siku flani tulikuwa tumekaa na washkaji na baadhi ya mademu bac tunapiga story, jamaa mmoja baada ya kuona mademu akaanza sifa za kuji-mwambafy, bac yule jamaa nikamtuliza vizur tuu kwa upendo, bhana acha anitukane mbele za watu na kujifanya kama anataka kunipiga.

Mimi nikamsoma nikajua tuu huyu hana lolote ni muoga tuu sema anafanya hivo kisa ameona mademu anatafuta sifa, ulimbukeni wa ajabu sana.

Mimi sikufanya chochote nikamwambia bac yaishe, umeshinda.

Nilim-mind sana, tulivotoka pale kesho yake nikamfata personally alikuwa peke yake kwaio tulikuwa peke yetu "Ntu mbili" mm na yeye, nikamwambia "mwanang jana si ulitaka unipige, nipige bac asaiv" akaanza kujifanya kama haelewi, nikamwambia tena kwa sauti ya juu "nataka tupigane kama ulivotaka tupigane jana, si ulikuwa unatafuta sifa kwa wale mademu njoo bac asaiv tuzichape ntu mbili" jamaa akaanza kuomba msamaha mwanang na kusema hakuwa serious eti alikuwa anatania.

Hapa tunajifunza nini?? "The more quiet the man is, the more dangerous he is"

Kuna thread za mabifu nimeona zimeongezeka humu JF tokea juzi na watu wakitaka kupigana, Kwenu UMUGHAKA Hance Mtanashati GENTAMYCINE LIKUD Mjanja M1 na wote weny mabifu, ukiona mtu anakuja kweny uzi wako na anaanza kukutukana na kukuoneshea ubabe bila sababu achana nae msianze kupanga siku za kukutana kupigana vitasa, wanaoweza hayo mambo huwanaga mdomo wa kujitambatamba na kujionesha kwa watu.
Thatā€™s why I donā€™t beef online, anymore.

Most JF folks are pussies. And Iā€™m old school.

Ukinizingua tukikutana, itā€™s on-site.

Disrespect has no expiry date.

Iā€™d rather people say it to my face halafu tuone kama mtu atarudi na meno yake nyumbaniā€¦.
 
Thatā€™s why I donā€™t beef online, anymore.

Most folks are pussies. And Iā€™m old school.

Ukinizingua tukikutana, itā€™s on-site.

Disrespect has no expiry date.

Iā€™d rather people say it to my face halafu tuone kama mtu atarudi na meno yake nyumbaniā€¦.
Upheld and seconded brother.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom