uyo uliyemwona alikuwa mfanyabiashara wa forever living!
Kuna siku lilitokea valangati la kimapenzi kwenye Pub Dada mmoja akatoa shoka kwenye hilo begi
Dah, nyie watu leo mngekuwa karibu, ningewapa zawadi. Mmenitengua mbavu lol
Nimependa sana haya majibu.
Hata yule sista aliyempiga Malima alikuw na kama hili
Kuna siku lilitokea valangati la kimapenzi kwenye Pub Dada mmoja akatoa shoka kwenye hilo begi
Kuna siku lilitokea valangati la kimapenzi kwenye Pub Dada mmoja akatoa shoka kwenye hilo begi
Hata yule sista aliyempiga Malima alikuw na kama hili
Halafu na hiyo afya ya huyo aliyebeba umeiona chief..Haki ya nani hili gunia ama kiroba.Hilo pochi linaweza kutumika kuingiza wahamiaji haramu mpakani.
Hata kwenye ule uvushaji wa sukari kwenda kesha hili lafaa sana hapo kilo ishirini zanavuka kiulaini.
.Dah, nyie watu leo mngekuwa karibu, ningewapa zawadi. Mmenitengua mbavu lol
Nimependa sana haya majibu.
Halafu na hiyo afya ya huyo aliyebeba umeiona chief..
Hahahaaa!Kamwili kadogo sana nadhani ili abebe hili begi likiwa limejaa kwa siku nzima ni lazima alambe glucose ya kutosha..Ila wenzetu Ulaya wengi wana magari hili analiweka kwenye buti saaafi kabisa.