COURTESY
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 2,006
- 706
Kuna siku lilitokea valangati la kimapenzi kwenye Pub Dada mmoja akatoa shoka kwenye hilo begi
fix at work
Kuna siku lilitokea valangati la kimapenzi kwenye Pub Dada mmoja akatoa shoka kwenye hilo begi
Kuna siku lilitokea valangati la kimapenzi kwenye Pub Dada mmoja akatoa shoka kwenye hilo begi
Hata yule sista aliyempiga Malima alikuw na kama hili
Hope hata nyie mnao wapenzi au wake zenu fanyeni kuyavizia mfungue na kuona humo ndani huwa kuna nn?Wakina dada wa jf tu kwa umakin naomba mseme wenyewe huwa mnabeba nini kwnye mipochi yenu manake, juzi namwona dada mmoja had kapinda mabega kisa beg la kila sku. Tusaidien jama.....
fix at work
Wakina dada wa jf tu kwa umakin naomba mseme wenyewe huwa mnabeba nini kwnye mipochi yenu manake, juzi namwona dada mmoja had kapinda mabega kisa beg la kila sku. Tusaidien jama.....
Ndani kuna hotpot lina mihogo, ukimtoa out atakula kidoogo, mkiachana anakula kona anafungua hotpot lake anatoa mihogo anashushia na azam kola.
hahahahah daah! Sawa bana.
Unabisha? Nimeshaprove hilo, halina ubishi.
Wengine unakuta ni wapangaji wanahama nyumba hivyo wanakua wanahamisha vitu kidogokidogo..