Hangaikia maisha yako, kwa mfano ukiwekewa vikwazo unapata nini? Machafuko yakitokea usalama wako uko wapi? Hao mabeberu watapoteza nini? Shida zote ni kwako unayepumua shida, unayekohoa shida na ujinga kwakushindwa kujishughulisha na badala yake umekalia kuandika kuichafua Serikarikali