msaada wenu naomba kujua..
Which buses are there for dar / mtwara ??
luxury bus.
Hivi kile kipande korofi cha Lindi-Kibiti walishamaliza kukitengeneza,kama bado usitegemee kupata Luxury bus pande hizo..
Kile kilishaishaga.
Kwani bado wakwe zako hawajahamia Dar.
ASANTENI..
HIZI MABASI YA Amanju,Buti la zungu,Machinga express. ...
NI LUXURY ?
WITH A/C ?
SITAKI KUNUKA NA JASHO..!
HOW MUCH IS PLANE TICKETS ?
Walihamia Pemba ya Msumbiji baada ya mtoto wao kukataliwa
kisa ubovu wa barabara ,halafu unakumbuka jana nilikuona na nani..??
Sasa hapo ndipo tunapokorofishana.
Mambo ya Uraiani utayaletaje humu?
Nikiachika kwa waume zangu,nakuja kwako,
jishaue tu.
Rangi ya Chungwa tu si unajua we msiri wangu bana,
tutarekebisha tu wenyewe watajiuliza mara tatutatu
kwa jinsi utakavyozidi kuwaka
Hahaha mkuu panda tu ndege naona sasa unajifanya tajiri kichwa...Mtwara na Lindi hakuna Marcopolo wala Yutong...
Hayo mabasi hayana AC...........nauli ya ndege andaa 350,000/- 2 way.ASANTENI..
HIZI MABASI YA Amanju,Buti la zungu,Machinga express. ...
NI LUXURY ?
WITH A/C ?
SITAKI KUNUKA NA JASHO..!
HOW MUCH IS PLANE TICKETS ?
Thubutuu8!!!
Ina maana unataka kuwapindua wenzako?
Ushindwe na ulegezwe.
Ktdadadeki.
Naweza lakini au umesahau..??
Nitakumwagia radhi mimi.
Rangi ya Chungwa tu si unajua we msiri wangu bana,
tutarekebisha tu wenyewe watajiuliza mara tatutatu
kwa jinsi utakavyozidi kuwaka
Sasa hapo ndipo tunapokorofishana.
Mambo ya Uraiani utayaletaje humu?
Nikiachika kwa waume zangu,nakuja kwako,
jishaue tu.
Usiku au mchana..??
Kama usiku mwake tu,
ila mchana naogopa..