LoyalTzCitizen
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,234
- 883
Maisha bora kwa kila mtanzania! Hawa watoto na huyo mwalimu wao ni viherehere vyao!!!!! teh! thh! teh! teh! teh! na wabunge nao wanacheka wote teh! teh! teh! mashangingi yanawangoja bunge liishe wooote waanza misafara ya kurudi Dar, wale wa Mfaranyaki na kiherehere chao cha kutuchagua sisi wa CCM kuwa wabunge wao wakome!!!!! :music: