Elections 2010 Mabango ya JK yaliyofichwa

poverty_reduction_tanzania.jpg
 
Hii ndiyo hali halisi ya Tanzania walio wengi wanaishi mijini ila hawajui hali ilivyo huko vijijini!!

Slaa kwa mabadiliko..
 
Kwani hayo yameanza wakati wa kikwete au yapo na yanaendelea hata wakati wa utawala wa Rais Kambarage?
 
DSC01238.jpg

DSC01234.jpg


ELIMU BORA
CHAGUA CCM
CHAGUA KIKWETE

Uvivu ndio unaoiua TANZANIA. Hivi wakati Mkapa alipotangaza kila kijiji chenye uwezo kijenge shule na serikali itatoa mabati, sementi, mbao na walimu, hawa wazee wao walikuwa wapi.

Amini usiamini, katika tarafa ninayotoka zimajengwa shule nyingi mpaka zinakosa wanafunzi. Huwezi kuamini kuwa shule zote za msingi ktk tarafa hiyo zina mkondo mmoja mmoja tu kila darasa. Yaani darasa la kwanza na la pili lina wanafunzi 15 kila darasa.

Maajabu kweli kweli, nguvu ya kuzaa hawa wazee wanazo, lakini ya kufyatua matofali na kukata miti ya kutengeneza madawati hawana, UVIVU!!!

Hawa wazee hawakustahili kuruhusiwa kuzaa hata mtoto mmoja kama mimi ningekuwa mtoa kibali cha kuzaa. Acheni propaganda za kuendeleza uvivu!!!!!!!!!
 
Uvivu ndio unaoiua TANZANIA. Hivi wakati Mkapa alipotangaza kila kijiji chenye uwezo kijenge shule na serikali itatoa mabati, sementi, mbao na walimu, hawa wazee wao walikuwa wapi.

Amini usiamini, katika tarafa ninayotoka zimajengwa shule nyingi mpaka zinakosa wanafunzi. Huwezi kuamini kuwa shule zote za msingi ktk tarafa hiyo zina mkondo mmoja mmoja tu kila darasa. Yaani darasa la kwanza na la pili lina wanafunzi 15 kila darasa.

Maajabu kweli kweli, nguvu ya kuzaa hawa wazee wanazo, lakini ya kufyatua matofali na kukata miti ya kutengeneza madawati hawana, UVIVU!!!

Hawa wazee hawakustahili kuruhusiwa kuzaa hata mtoto mmoja kama mimi ningekuwa mtoa kibali cha kuzaa. Acheni propaganda za kuendeleza uvivu!!!!!!!!!

Niambie Biti Ngoda(Fimbo kikwetu) wa miaka 50 ni wakina nani walitakiwa kuwaongoza hao wazee wasizae na wafyatue matofali?
 
Uvivu ndio unaoiua TANZANIA. Hivi wakati Mkapa alipotangaza kila kijiji chenye uwezo kijenge shule na serikali itatoa mabati, sementi, mbao na walimu, hawa wazee wao walikuwa wapi.

Amini usiamini, katika tarafa ninayotoka zimajengwa shule nyingi mpaka zinakosa wanafunzi. Huwezi kuamini kuwa shule zote za msingi ktk tarafa hiyo zina mkondo mmoja mmoja tu kila darasa. Yaani darasa la kwanza na la pili lina wanafunzi 15 kila darasa.

Maajabu kweli kweli, nguvu ya kuzaa hawa wazee wanazo, lakini ya kufyatua matofali na kukata miti ya kutengeneza madawati hawana, UVIVU!!!

Hawa wazee hawakustahili kuruhusiwa kuzaa hata mtoto mmoja kama mimi ningekuwa mtoa kibali cha kuzaa. Acheni propaganda za kuendeleza uvivu!!!!!!!!!

aliye na raha siku zote hamjui mwenye shida, vinginevyo usingeona hizi kama ni propaganda
 
aliye na raha siku zote hamjui mwenye shida, vinginevyo usingeona hizi kama ni propaganda

Ni propaganda!! Na kama sio propaganda basi ni kuendeleza na kuukubali uvivu.

Ninasababu ya kusema hivi; Unajua ninahuruma sana kwa mtu anayepata shida na hakupata nafasi ya kuondokana na shida zake. Namba mbili ni mtu aliyepoteza bahati zote za kuondokana na shida- Huyu simuonei huruma hata siku moja. Hawa ndio watu wanaotuchelewesha kusonga mbele.

Unajua hata kijiji nitokako tulikuwa katika hali hiyo kablöa ya pesa za Mkapa na Kikwete, lakini sasa hivi kijijini kwetu tunalilia walimu sio majengo na madawati.

Ukweli Tanzania ya leo hii wanafunzi wanalia na ukosefu wa walimu sio mijengo na madawati. Kijijini kwetu kila mtoto akiingia darasa la kwanza ni lazima aje na dawati lake. Kama baba unaweza kumchongea kiti na meza ya kukaa nyumbani mtoto wako, kwanini ushindwe kumtafutia kiti cha kukaa mtoto wako pale shule anapotumia zaodi ya masaa 7, siku 5 kwa wiki.

Eti ninawapenda watoto wangu, ni lazima utafsiri neno kupenda kwa vitendo. Sina huruma na hawa watu hata kidogo, lazima wachangie katika elimu kama hawana pesa basi ni misuli yao ndio inahitajika.
 
hehehe... naona slaa akipata hawa woote watagukuwa katika shule za maghorofa" elimu bure endeleeni kujidanganya" lakini JK amefanya mengi katika swala zima la elimu kushinda viongozi wa CCM waliopita
 
Ni propaganda!! Na kama sio propaganda basi ni kuendeleza na kuukubali uvivu.

Ninasababu ya kusema hivi; Unajua ninahuruma sana kwa mtu anayepata shida na hakupata nafasi ya kuondokana na shida zake. Namba mbili ni mtu aliyepoteza bahati zote za kuondokana na shida- Huyu simuonei huruma hata siku moja. Hawa ndio watu wanaotuchelewesha kusonga mbele.

Unajua hata kijiji nitokako tulikuwa katika hali hiyo kablöa ya pesa za Mkapa na Kikwete, lakini sasa hivi kijijini kwetu tunalilia walimu sio majengo na madawati.

Ukweli Tanzania ya leo hii wanafunzi wanalia na ukosefu wa walimu sio mijengo na madawati. Kijijini kwetu kila mtoto akiingia darasa la kwanza ni lazima aje na dawati lake. Kama baba unaweza kumchongea kiti na meza ya kukaa nyumbani mtoto wako, kwanini ushindwe kumtafutia kiti cha kukaa mtoto wako pale shule anapotumia zaodi ya masaa 7, siku 5 kwa wiki.

Eti ninawapenda watoto wangu, ni lazima utafsiri neno kupenda kwa vitendo. Sina huruma na hawa watu hata kidogo, lazima wachangie katika elimu kama hawana pesa basi ni misuli yao ndio inahitajika.

ccmwatoke.jpg


bye bye
 
Kuna uhusiano gani kati ya maisha ya watoto hawa na serikali iliyoko madarakani? kama tungekuwa tuna uhusiano wa aina hii Dar-es-Salaam ndio wangekuwa wa kwanza kuikataa CCM.. but guess what? watachagua madiwani wengi wa CCM, wabunge wengi CCM na usishangae JK akipata kura nyingi Dar!!!
 
Ni propaganda!! Na kama sio propaganda basi ni kuendeleza na kuukubali uvivu.

Ninasababu ya kusema hivi; Unajua ninahuruma sana kwa mtu anayepata shida na hakupata nafasi ya kuondokana na shida zake. Namba mbili ni mtu aliyepoteza bahati zote za kuondokana na shida- Huyu simuonei huruma hata siku moja. Hawa ndio watu wanaotuchelewesha kusonga mbele.

Unajua hata kijiji nitokako tulikuwa katika hali hiyo kablöa ya pesa za Mkapa na Kikwete, lakini sasa hivi kijijini kwetu tunalilia walimu sio majengo na madawati.

Ukweli Tanzania ya leo hii wanafunzi wanalia na ukosefu wa walimu sio mijengo na madawati. Kijijini kwetu kila mtoto akiingia darasa la kwanza ni lazima aje na dawati lake. Kama baba unaweza kumchongea kiti na meza ya kukaa nyumbani mtoto wako, kwanini ushindwe kumtafutia kiti cha kukaa mtoto wako pale shule anapotumia zaodi ya masaa 7, siku 5 kwa wiki.

Eti ninawapenda watoto wangu, ni lazima utafsiri neno kupenda kwa vitendo. Sina huruma na hawa watu hata kidogo, lazima wachangie katika elimu kama hawana pesa basi ni misuli yao ndio inahitajika.

Wewe Dada,
Labda kijiji chenu ni Bumbuli kwa Makamba....vinginevyo haya ni matusi kwa watanzania wenzio amabo hizo hela za Mkapa na Kikwete hazikufika makwao
 
Ni propaganda!! Na kama sio propaganda basi ni kuendeleza na kuukubali uvivu.

Ninasababu ya kusema hivi; Unajua ninahuruma sana kwa mtu anayepata shida na hakupata nafasi ya kuondokana na shida zake. Namba mbili ni mtu aliyepoteza bahati zote za kuondokana na shida- Huyu simuonei huruma hata siku moja. Hawa ndio watu wanaotuchelewesha kusonga mbele.

Unajua hata kijiji nitokako tulikuwa katika hali hiyo kablöa ya pesa za Mkapa na Kikwete, lakini sasa hivi kijijini kwetu tunalilia walimu sio majengo na madawati.

Ukweli Tanzania ya leo hii wanafunzi wanalia na ukosefu wa walimu sio mijengo na madawati. Kijijini kwetu kila mtoto akiingia darasa la kwanza ni lazima aje na dawati lake. Kama baba unaweza kumchongea kiti na meza ya kukaa nyumbani mtoto wako, kwanini ushindwe kumtafutia kiti cha kukaa mtoto wako pale shule anapotumia zaodi ya masaa 7, siku 5 kwa wiki.

Eti ninawapenda watoto wangu, ni lazima utafsiri neno kupenda kwa vitendo. Sina huruma na hawa watu hata kidogo, lazima wachangie katika elimu kama hawana pesa basi ni misuli yao ndio inahitajika.

It's all about responsibilities kati ya mzazi na serikali iliyopo madarakani. Responsibility ya mzazi ni kulipa kodi kwa serikali, kuchagua viongozi, nk. Na serikali responsibility yake ni kutumia kodi na mapato mengine kwa ajili ya kuendesha nchi, shule, madawati, walimu vikiwemo.

Pale unapoona kuwa wazazi wanafanya responsibilities za serikali ujue kuwa hiyo ni dalili ya a failed state. Mahali ambapo serikali haifanyi majukumu yake huku vingozi wake wakishiriki kwenye wizi mkubwa wa mali za umma na kuishi maisha ya kifalme.

Kwa hiyo dadaangu nchi haiendeshwi hovyo hovyo kama hii ya kwetu, kuna mgawanyo wa majukumu na hapo ndipo nchi inapokuwa na efficiency na maendeleo yanaonekana.
 
DSC01238.jpg

DSC01234.jpg


ELIMU BORA
CHAGUA CCM
CHAGUA KIKWETE

Ndugu wapiga kura mkituchagu sisi watoto hawa tutawanunulia ingalau yeboyebo mpya na mashati na kaptula, si hivyo tu ndugu zangu tutawanunulia school bus ili wawahi shule. mchana tutahakikisha wanapata chips mayai na juice! CCM OYEEEE, CCM OYEEE. Tatizo la walimu tutalimaliza kwani kila mkuu wa shule pamoja na walimu tutawajengea nyumba za ghorofa na kuwaongezea mshahara maradufu. CCM OYEEEE. Kama mnavyoona watoto hawa wana wanakabiliwa na hatari ya wanyama pori, lile tatizo la kujisaidia vichakani litakwisha maana tutawajengea vyoo vya uhakika vya kuvuta na bwawa la kougelea CCM oyeeeeeeeeeee. CCM SAFIIIIiiiiii?
 
It's all about responsibilities kati ya mzazi na serikali iliyopo madarakani. Responsibility ya mzazi ni kulipa kodi kwa serikali, kuchagua viongozi, nk. Na serikali responsibility yake ni kutumia kodi na mapato mengine kwa ajili ya kuendesha nchi, shule, madawati, walimu vikiwemo.

Pale unapoona kuwa wazazi wanafanya responsibilities za serikali ujue kuwa hiyo ni dalili ya a failed state. Mahali ambapo serikali haifanyi majukumu yake huku vingozi wake wakishiriki kwenye wizi mkubwa wa mali za umma na kuishi maisha ya kifalme.

Kwa hiyo dadaangu nchi haiendeshwi hovyo hovyo kama hii ya kwetu, kuna mgawanyo wa majukumu na hapo ndipo nchi inapokuwa na efficiency na maendeleo yanaonekana.

Point yako ni nzuri sana, lakini hukuifanyia utafiti kwani hiyo inawezekana katika nchi ambazo wasiokuwa na kazi ni 10-15%. Kwa maneno mengine umeleta nadharia uliyosoma Ulaya bila kuitafsiri katika mazingira ya Afrika au Tanzania kama ukipenda.

Katika nchi kama Tanzania ambayo ina watu wasio na kazi mpaka kufikia 35% hiyo nadharia haifanyi kazi. Kwa vile suala la elimu sio la kungoja, ndio maana seriukali ikaja na mtindo- kama huna kazi basi pata kazi ya kujenga shule, vyatua tofali na kujenga na serikali kwa kutumia hizo kodi ndogo itajazia pale pesa inapohitajika.

Mkisoma ulaya, pindi mnaporudi nyumbani mnakazi kubwa sana ya kutafsiri hayo mliyoyasoma katika mazingira mnayofanyia kazi, vinginevyo elimu mliyosoma ni kazi bure.
 
Back
Top Bottom