Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

RAISI ALITOA AHADI ZAIDI YA 80 KATIKA UCHAGUZI WA MWAKA JANA AMBAPO GHARAMA ZA KUZITEKELEZA NI SHILINGI TRILION 98,NA KWA BAJETI YETU YA TRILION SABA KWA MWAKA MKWERE ANAHITAJI MIAKA 15 KUTIMIZA AHADI ZAKE

WITO

NAMUOMBA MUHESHIMIWA AKUBALI MABADILIKO YA KATIBA MAPEMA IWEZEKANAVYO ILI HUENDA WATANZANIA WAKAKUBALI KUBADILISHA MUDA WA RAISI KUKAA MADARAKANI NA KUMUONGEZEA MKWERE MIAKA MINGINE KUMI ILI aTIMIZE AHADI ZAKE.

nilikuwa naskia tu kitu kinachoitwa ndoto; kumbe ndoto ziko ivi?
 
Hata apewe miaka milioni 1 hakuna cha maana atakachofanya!Sana sana atazidi kutuchonganisha tu!
 
Ni mwadilifu,
mcha mungu,
anatupenda (kaoa kiislam...cjuw idad ya wake).... so siyo muhuni.
akivaa suti, is so cute!


ishu zingine, ni mattatzo ya Mungu......
umeme, aaaah,iko sku mtasahau.

nchi ya amani,
hata kugoma hatuwez...........
 
ukisoma hapa....... jaribu kumpongeza rais wako japo leo tuuuuuu
............nawaombeniiiii""""

TURN UNHAPPINESS INTO HAPPINESSS...

.
 
We lazima utakuwa na msongo wa mawazo, kwahiyo unajaribu kujifariji, nina wasiwasi kwamba umemfumania mpenzi wako, maana hata haujielewi.
 
Ni mwadilifu,
mcha mungu,
anatupenda (kaoa kiislam...cjuw idad ya wake).... so siyo muhuni.
akivaa suti, is so cute

ishu zingine, ni mattatzo ya Mungu......
umeme, aaaah,iko sku mtasahau.

nchi ya amani,
hata kugoma hatuwez...........

jina pasco linaniambia kuwa ni mwanaume wewe na ni hatari kwa mwanaume kuongea maneno kama uliyoongea wewe kwenye red hapo juu,..mpunga nini wewe??magamba mna magamba mengi ya kuvua zaidi ya ufisadi..mashallah
 
Mimi nasema hivi yeye si Mbunge atoe maarifa yake tu; anayo maarifa gani na anapendekeza kitu gani. Kwa sababu toka Uhuru mabwawa tuliyotengeneza ni Kidatu MW200, Mtera MW80, Kihansi MW 165 mimi nilipokuwa Waziri wa Nishati, pale Pangani tumeongeza.
Sasa ufikirie kwamba toka Uhuru tumeweza kuzalisha umeme wa MW600, lakini toka 2009 mpaka Disemba mwaka huu tutakuwa tumeongeza MW300! Ni jitihada kubwa. Mimi nasema kwamba usipozitambua hizo ni kwamba wewe mwenyewe siyo mkweli.

Sasa ni hivi, unajua hii mitambo ya umeme si mitambo unaenda kununua kama unavyonunua jaketi lako hili. Ni kwamba ukitaka mitambo ya umeme, lazima uweke order wakutengenezee. Huu mtambo unaofika mwaka huu Disemba order tuliweka mwezi wa Juni mwaka jana. Inachukua muda huo kutengeneza. Sasa ingekuwa mnaenda kutafuta mitumba, mitumba ya mitambo tu ya kununua iko mingi kweli. Tukasema hatuwezi kufanya hivyo.

Mimi nasema hivi, kitu kikubwa ni kuwa na subira. Tumefanya jitihada kubwa. Ni lazima watu watambue kuwa tumefanya jitihada kubwa
katika miaka hii toka 2009 mpaka sasa hivi 2011 Disemba tutakuwa tumeongeza MW300 kulinganisha na MW600 ambazo tumeziongeza katika miaka yote hii. Nasema ni lazima watu watambue hivi. Sasa kama kuna mtu ana maarifa ya haraka zaidi nasema mtu atoe maarifa hayo na sisi kama yapo tutayafanyia kazi.

===================================================================

JK hajui kuwa Megawati 600 zilizojengwa wakati hakuna kompyuta hata moja ni zaidi ya mara mia ya megawati 300 zitakazojengwa leo wakati tuna smartphones. Miaka hiyo ya sitini, sabini na themanini ilikuwa ni vigumu sana mtu kuwa na generator ya kW10 nyumbani, leo mimi nimefunga moja kule uwani na wala haikunigharimu sana kununua kuliko ambavyo ingegharimu katika miaka hiyo!!
 
Mimi nasema hivi yeye si Mbunge atoe maarifa yake tu; anayo maarifa gani na anapendekeza kitu gani. Kwa sababu toka Uhuru mabwawa tuliyotengeneza ni Kidatu MW200, Mtera MW80, Kihansi MW 165 mimi nilipokuwa Waziri wa Nishati, pale Pangani tumeongeza.
Sasa ufikirie kwamba toka Uhuru tumeweza kuzalisha umeme wa MW600, lakini toka 2009 mpaka Disemba mwaka huu tutakuwa tumeongeza MW300! Ni jitihada kubwa. Mimi nasema kwamba usipozitambua hizo ni kwamba wewe mwenyewe siyo mkweli.

Sasa ni hivi, unajua hii mitambo ya umeme si mitambo unaenda kununua kama unavyonunua jaketi lako hili. Ni kwamba ukitaka mitambo ya umeme, lazima uweke order wakutengenezee. Huu mtambo unaofika mwaka huu Disemba order tuliweka mwezi wa Juni mwaka jana. Inachukua muda huo kutengeneza. Sasa ingekuwa mnaenda kutafuta mitumba, mitumba ya mitambo tu ya kununua iko mingi kweli. Tukasema hatuwezi kufanya hivyo.

Mimi nasema hivi, kitu kikubwa ni kuwa na subira. Tumefanya jitihada kubwa. Ni lazima watu watambue kuwa tumefanya jitihada kubwa
katika miaka hii toka 2009 mpaka sasa hivi 2011 Disemba tutakuwa tumeongeza MW300 kulinganisha na MW600 ambazo tumeziongeza katika miaka yote hii. Nasema ni lazima watu watambue hivi. Sasa kama kuna mtu ana maarifa ya haraka zaidi nasema mtu atoe maarifa hayo na sisi kama yapo tutayafanyia kazi.

===================================================================

JK hajui kuwa Megawati 600 zilizojengwa wakati hakuna kompyuta hata moja ni zaidi ya mara mia ya megawati 300 zitakazojenwag leo wakati tuna smartphones. Miaka hiyo ya sitini, sabini na themanini ilikuwa ni vigumu sana mtu kuwa na generator ya KW10 nyumbani, leo mimi nimefunga mja kule uwani na wala haikunigharimu sana kununua kuliko ambavyo ingegharimi katika miaka hiyo!!

Hiyo ni sawa na urahisi wa mtu wa kawaida leo hii kuweza ku-afford kununua gari mtumba kutoka Japan au Malaysia ukilinganisha na enzi zilizopita, ilhali miundo mbinu ya barabara bado imedumaa. Matatizo yake yanakuwa magari yanakuwa mengi wakati barabara hakuna. Ujenzi wa wide-scale infrastructures kama vyanzo vya umeme na ugavi wa umeme, barabara etc ni tofauti.
 
12618125.gif

uhoh.gif
uhoh.gif
uhoh.gif
 
Shaka salli aliwahi kusena huwa anashangaa sana watawala wa Afrika..na kwamba amefanya mahojiano nao wengi akabaki amedumaa kwamba huyu ndie Rais wa nchi ya afrika inayotaka kujinasua na umasikini!! Mm pia nashngaa kama Shaka salli
 
Ni mwadilifu,
mcha mungu,
anatupenda (kaoa kiislam...cjuw idad ya wake).... so siyo muhuni.
akivaa suti, is so cute!



ishu zingine, ni mattatzo ya Mungu......
umeme, aaaah,iko sku mtasahau.

nchi ya amani,
hata kugoma hatuwez...........

U need to see a doctor
 
Back
Top Bottom