Mabadiliko ya Katiba: Kikwete aongezewe muda wa miaka mitano

Quadratic

Member
Dec 30, 2010
23
3
Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA
Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa
Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK.

Sasa ameanza kuijenga nchi.
1. Elimu safi na itaendelea kuwa safi
2. Maji yanapatikana kila mahali na maeneo machache yasiyo na maji mikakati ya kuwapatia maji inaendelea
3. Afya bora inapatikana na amefanikiwa kuhamasisha upunguaji wa maambukizi ya VVU
4. Nchi ipo salama dhidi ya maadui wa ndani na wa nje
5. Watanzania bado tunapendana
6. Ametimiza ahadi yake kwa zanzibar kumalizwa kwa mpasuko
7............
8............

Nadhani katiba mpya imtendee haki, imwongezee miaka mingine mitano. Nina hakika Tanzania itakuwa kama Marekani.
Wapiga Tarumbeta kina Slaa ni Kelele za mlango tu.

Nawasilisha
 
Mawazo ya wana CCM yanafanana siku zote na hawaoni mbali hivyo hatushangai!
 
Kwenye sherehe ya MWENDAWAZIMU siku zote waungwana hujitenga pembeni.

Hili la JK na kuundwa tume ya katiba bila ya wadau wote kushiriki pamoja naye kwa kila hatua ni nayo pia ni sherehe ambayo waungwana hawatokawia kuugwaya na hata kupelekana mahakamani kuzuia matumizi mabaya ya kodi ya wananchi kwa zoezi ambalo hawana haki nalo.

Zoezi hilo likiendelezwa tu kwa ubabe uliozoeleka kwa CCM basi huenda mshahara wake ukawa mchungu zaidi kwa taifa letu.
 
Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA
Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa
Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK.

Sasa ameanza kuijenga nchi.
1. Elimu safi na itaendelea kuwa safi
2. Maji yanapatikana kila mahali na maeneo machache yasiyo na maji mikakati ya kuwapatia maji inaendelea
3. Afya bora inapatikana na amefanikiwa kuhamasisha upunguaji wa maambukizi ya VVU
4. Nchi ipo salama dhidi ya maadui wa ndani na wa nje
5. Watanzania bado tunapendana
6. Ametimiza ahadi yake kwa zanzibar kumalizwa kwa mpasuko
7............
8............

Nadhani katiba mpya imtendee haki, imwongezee miaka mingine mitano. Nina hakika Tanzania itakuwa kama Marekani.
Wapiga Tarumbeta kina Slaa ni Kelele za mlango tu.

Nawasilisha

Wewe lazima utakuwa "Dar es salaam" tu with a different ID. Bisha?
 
Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA

Nawasilisha

hivi waweza zungumzia wehu kama na wewe si mwehu..... utindio wa ubongo ni mali yako...... akili yako in a ncha kali sana ... ikiashiria ukingo na mwisho wa ufikiri..... sioni ajabu viongozi wa wehu RA na EL wakihujumu nchi bila huruma kwani wana element za ushetani kwa kupitia ugonjwa wa wehu
 
Hivi JK ameshaelewa sasa kinachoifanya Tanzania kuwa maskini? Mimi naona kuwa JK apunguziwe muda wa kukaa Ikulu, miaka 5 mingi sana! Wakati wa Serikali zilizopita JK alikuwa Waziri wa Nishati na Madini na alisaini mikataba mibovu ya madini! Pia baada ya kujua uovu uliofanywa na Serikali ya Mkapa, aliamua kuyafumbia macho na kuamua kudai kwamba "mzee (Mkapa) aachwe apumzike" kwa ufisadi aliofanya!

Tusidanganyane JK akiendelea kuwa Ikulu Tanzania itakuwa kama Somalia!
 
Upuuzi mwingine!
Hakuna shaka kuwa wapuuzi ni wale wanaoupinga ukweli. Hata kama una chuki binafsi na JK lakini kusema ukweli mema tunayaona.
Mradi wa mabasi yaendayo kasi umeshaanza, upo hatua ya mwanzoni
Flyovers nazo zipo mbioni...
Mnataka mfanyiwe nini watanzania??
 
Hivi JK ameshaelewa sasa kinachoifanya Tanzania kuwa maskini? Mimi naona kuwa JK apunguziwe muda wa kukaa Ikulu, miaka 5 mingi sana! Wakati wa Serikali zilizopita JK alikuwa Waziri wa Nishati na Madini na alisaini mikataba mibovu ya madini! Pia baada ya kujua uovu uliofanywa na Serikali ya Mkapa, aliamua kuyafumbia macho na kuamua kudai kwamba "mzee (Mkapa) aachwe apumzike" kwa ufisadi aliofanya!

Tusidanganyane JK akiendelea kuwa Ikulu Tanzania itakuwa kama Somalia!

Kwani akapunguziwe mara ngapi mbona watu wengi husema afya gogoro au ishakua poa?
 
hivi waweza zungumzia wehu kama na wewe si mwehu..... utindio wa ubongo ni mali yako...... akili yako in a ncha kali sana ... ikiashiria ukingo na mwisho wa ufikiri..... sioni ajabu viongozi wa wehu RA na EL wakihujumu nchi bila huruma kwani wana element za ushetani kwa kupitia ugonjwa wa wehu
Unatumia nguvu nyingi kupingna na hoja ndogo sana. Dig deep kwenye issues. Nasema hivi, JK amefanya mema mengi kwa Tanzania pamoja na Changamoto za kiutawala anazokutana nazo. Kubali hoja kwa hoja, pinga hoja kwa hoja. Hayo mengine unayoyasema ukayaseme kwa wenzako mnapokuwa mnasukana nywele au mkiteka maji...
 
Hivi JK ameshaelewa sasa kinachoifanya Tanzania kuwa maskini? Mimi naona kuwa JK apunguziwe muda wa kukaa Ikulu, miaka 5 mingi sana! Wakati wa Serikali zilizopita JK alikuwa Waziri wa Nishati na Madini na alisaini mikataba mibovu ya madini! Pia baada ya kujua uovu uliofanywa na Serikali ya Mkapa, aliamua kuyafumbia macho na kuamua kudai kwamba "mzee (Mkapa) aachwe apumzike" kwa ufisadi aliofanya!

Tusidanganyane JK akiendelea kuwa Ikulu Tanzania itakuwa kama Somalia!

Una utafiti wowote katika hili la somalia?? Nani akitawala Tanzania haitakuwa kama Somalia? Changamoto zipo na JK hajapinga changamoto na ndio maana hajishughulishi nazo. Bado hujajenga hoja ni kwa nini JK asiongezewe mhula mwingine wa tatu
 
Unatumia nguvu nyingi kupingna na hoja ndogo sana. Dig deep kwenye issues. Nasema hivi, JK amefanya mema mengi kwa Tanzania pamoja na Changamoto za kiutawala anazokutana nazo. Kubali hoja kwa hoja, pinga hoja kwa hoja. Hayo mengine unayoyasema ukayaseme kwa wenzako mnapokuwa mnasukana nywele au mkiteka maji...

nikupe thanks...., lakini utailipa.... kama unavyo mpa RA
 
Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA
Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa
Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK.

Sasa ameanza kuijenga nchi.
1. Elimu safi na itaendelea kuwa safi
2. Maji yanapatikana kila mahali na maeneo machache yasiyo na maji mikakati ya kuwapatia maji inaendelea
3. Afya bora inapatikana na amefanikiwa kuhamasisha upunguaji wa maambukizi ya VVU
4. Nchi ipo salama dhidi ya maadui wa ndani na wa nje
5. Watanzania bado tunapendana
6. Ametimiza ahadi yake kwa zanzibar kumalizwa kwa mpasuko
7............
8............

Nadhani katiba mpya imtendee haki, imwongezee miaka mingine mitano. Nina hakika Tanzania itakuwa kama Marekani.
Wapiga Tarumbeta kina Slaa ni Kelele za mlango tu.

Nawasilisha

Acha porojo wewe. Dr. Slaa alisema wakati wa kampeni kuwa kumchagua jk ni janga. Sasa wewe unasema tumpatie miaka 5 mingine!!!
 
Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA
Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa
Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK.

Sasa ameanza kuijenga nchi.
1. Elimu safi na itaendelea kuwa safi
2. Maji yanapatikana kila mahali na maeneo machache yasiyo na maji mikakati ya kuwapatia maji inaendelea
3. Afya bora inapatikana na amefanikiwa kuhamasisha upunguaji wa maambukizi ya VVU
4. Nchi ipo salama dhidi ya maadui wa ndani na wa nje
5. Watanzania bado tunapendana
6. Ametimiza ahadi yake kwa zanzibar kumalizwa kwa mpasuko
7............
8............

Nadhani katiba mpya imtendee haki, imwongezee miaka mingine mitano. Nina hakika Tanzania itakuwa kama Marekani.
Wapiga Tarumbeta kina Slaa ni Kelele za mlango tu.

Nawasilisha

Tena mimi naona ingekuwa kumi.
 
Acha porojo wewe. Dr. Slaa alisema wakati wa kampeni kuwa kumchagua jk ni janga. Sasa wewe unasema tumpatie miaka 5 mingine!!!

Sasa kama kasema Slaa ndo tuamini? Namheshimu Slaa, ametoa mchango mkubwa sana kwenye Taifa letu. Ni mtu makini lakini ni too small to be a president. JK aongezewe muda, full stop
 
Back
Top Bottom