Quadratic
Member
- Dec 30, 2010
- 23
- 3
Ni wehu tu watakaopinga kuwa JK amefanya mema mengi kwa WATANZANIA
Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa
Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK.
Sasa ameanza kuijenga nchi.
1. Elimu safi na itaendelea kuwa safi
2. Maji yanapatikana kila mahali na maeneo machache yasiyo na maji mikakati ya kuwapatia maji inaendelea
3. Afya bora inapatikana na amefanikiwa kuhamasisha upunguaji wa maambukizi ya VVU
4. Nchi ipo salama dhidi ya maadui wa ndani na wa nje
5. Watanzania bado tunapendana
6. Ametimiza ahadi yake kwa zanzibar kumalizwa kwa mpasuko
7............
8............
Nadhani katiba mpya imtendee haki, imwongezee miaka mingine mitano. Nina hakika Tanzania itakuwa kama Marekani.
Wapiga Tarumbeta kina Slaa ni Kelele za mlango tu.
Nawasilisha
Madudu ya EPA, MEREMETA et al yamefanyika wakati wa Mkapa
Muda mwingi amevumilia kutukanwa kwa ajili ya makosa ya wengine. Hakuna ikomavu wa kisiasa unaofanana na waa JK.
Sasa ameanza kuijenga nchi.
1. Elimu safi na itaendelea kuwa safi
2. Maji yanapatikana kila mahali na maeneo machache yasiyo na maji mikakati ya kuwapatia maji inaendelea
3. Afya bora inapatikana na amefanikiwa kuhamasisha upunguaji wa maambukizi ya VVU
4. Nchi ipo salama dhidi ya maadui wa ndani na wa nje
5. Watanzania bado tunapendana
6. Ametimiza ahadi yake kwa zanzibar kumalizwa kwa mpasuko
7............
8............
Nadhani katiba mpya imtendee haki, imwongezee miaka mingine mitano. Nina hakika Tanzania itakuwa kama Marekani.
Wapiga Tarumbeta kina Slaa ni Kelele za mlango tu.
Nawasilisha