Sisi wananchi wa Tanzania tunaomba elimu kuhusu Katiba Mpya itolewe kwa muda wa miaka mitano

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,177
7,750
Sisi wananchi wa maeneo ya vijijini na mikoa ya pembezoni tunayo heshima kubwa kumuomba waziri wa katiba na sheria kutoa elimu kwetu sisi kwa kipindi cha miaka mitano sio miaka mitatu.

Ileleweke kuwa katika kutoa elimu kuna baadhi yetu wanaweza kuelewa kwa haraka lkn wengine uelewa ni mdogo hivyo inahitaji muda zaidi kuelemisha.

Jambo la katiba sio la kwenda haraka kama wanavyo dai wanasiasa na asasi binafsi.

Ili tuweze kupata katiba bora ni lazima tuende taratibu, hatua kwa hatua, tusiende kwa msukumo wa wanasiasa wanao lenga nafasi za kisiasa tu bila kutujali sisi wananchi.

Tunaomba elimu juu ya katiba mpya itolewe kwa muda wa miaka 5
 
Sisi wananchi wa maeneo ya vijijini na mikoa ya pembezoni tunayo heshima kubwa kumuomba waziri wa katiba na sheria kutoa elimu kwetu sisi kwa kipindi cha miaka mitano sio miaka mitatu.

Ileleweke kuwa katika kutoa elimu kuna baadhi yetu wanaweza kuelewa kwa haraka lkn wengine uelewa ni mdogo hivyo inahitaji muda zaidi kuelemisha.

Jambo la katiba sio la kwenda haraka kama wanavyo dai wanasiasa na asasi binafsi.

Ili tuweze kupata katiba bora ni lazima tuende taratibu, hatua kwa hatua, tusiende kwa msukumo wa wanasiasa wanao lenga nafasi za kisiasa tu bila kutujali sisi wananchi.

Tunaomba elimu juu ya katiba mpya itolewe kwa muda wa miaka 5
Unataka kusoma degree ya katiba au... Ndio unampigia kampuni Ndumbalo? Tunawaelea nia yenu ila hatuku jambo lenu hata kidogo... 😁 😁
 
Hiyo sisi hapo ndo unakosea kila mwanadamu ana version na mission zake so akili yako sio ya mwenzako
 
Back
Top Bottom