Tulia
Pigo gani za kiumbea hizo mkuu
Hongera mkuuKwenye swala la kufua najitahidi aise. Kwa wiki naweza fua mara mbili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko Dar Kuna washing machine mpaka za laki 4 zinafua na kukaushaWapo, itabidi niwapelekee tu niache ubahili wa kifara
Ikiwezekana nunua mashine, 500,000 tu!!Ubachela huu noma, takea lini sijui nina nguo chafu nasemea tu kufua,
Leo mida hii nipo nazichek tu nguo chafu hapa dah! Ila leo itabidi tu nifue
Mabachela wenzangu muna-survive vipi na usafi wa nguo
View attachment 2215966