Maaskofu Tanzania watoa Tamko, wakemea udini, ukanda na ukabila!

Waislam kweli ni watu wa ajabu...sasa badala ya kuwaunga mkono maaskofu kuishinikiza serikali itoe maelezo kuhusu mfumo kristu mnaanza kuwalalamikia tena maaskofu. Kwanini tusiungane pamoja kuidai serikali itoe maelezo kuhusu hili maana waislam wengi wenye mtazamo kama wako hamuwezi kuamini kitu chochote kutoka kwa maaskofu...

Waislam waungane na Maskofu kuiambia serikali kuwa waislam ni wachochezi? Kweli wewe ni kituko cha mwaka.
 
Mohamed Said watakutukana,kukudhihaki ila unawachoma vibaya baadhi ya watu! Wakati watu wakipinga kitabu chako je nani mwenye "Gut" ya kuandika nyingine?

Nashangazwa na mhusika mkuu "nyerere" alikisoma na hakujibu why? Pamoja na kuulizwa sana na marehemu Prof Haroub Othman juu ya madai ya kupotosha historia ya kweli ya Tanganyika

pata picha kingekuwa kimeandikwa nyerere keshafariki? Ungeambiwa umemsingizia nafkiri!
 
Last edited by a moderator:
MzeeMwanakijiji,
Mzee wetu Mohamed anaujua udhaifu wa Waislaam wenzake. Anautumia vizuri mno hasa kwenye vyombo vyao habari na anapokutana nao kwenye hadhira mbalimbali. Anapata wasikilizaji kwa wingi tu hata kama anayoyaeleza yalishapitwa na wakati au hayajawahi kuwepo kabisa.

Kwa umri wake Mzee huyu tumwache atapita tu. Udini wake huu atapita nao kwani WATANZANIA walio wengi DINI ni kama mke/mme. Kwake yeye DINI ni zaidi ya mama au baba!

Allah katufunza Waislam.
Msidhulumu wala msikubali kudhulumiwa.

Hakika nitapita kama walivyopita wengi lakini
kauli ya Allah ni yenye kubakia daima.
 
Waislam kweli ni watu wa ajabu...sasa badala ya kuwaunga mkono maaskofu kuishinikiza serikali itoe maelezo kuhusu mfumo kristu mnaanza kuwalalamikia tena maaskofu. Kwanini tusiungane pamoja kuidai serikali itoe maelezo kuhusu hili maana waislam wengi wenye mtazamo kama wako hamuwezi kuamini kitu chochote kutoka kwa maaskofu...

kwa nini maaskofu wasiwaite masheikh waelezane mfumo kristo unakuja vipi? Serikali iwe mediator? Kwani kuiacha serikali itoe tamko ni kukimbia tuhuma!

Wanaodai mfumo kristo si watu wajinga HUTOA fact nadhani maaskofu wajikite hapo kwenye hayo madai moja baada ya jingine...serikali iwajibie tena?
 
Waislam waungane na Maskofu kuiambia serikali kuwa waislam ni wachochezi? Kweli wewe ni kituko cha mwaka.
Nisome vizuri nimesema kuhusu nini...malalamiko/uchochezi wote unatokana na huo mfumo kristo...sasa ni wajibu wa kila mmoja wetu kujua ukweli ni upi na pumba ni zipi ili tuinusuru nchi yetu na hatari inayotunyemelea...
 
Mohamed Said watakutukana,kukudhihaki ila unawachoma vibaya baadhi ya watu! Wakati watu wakipinga kitabu chako je nani mwenye "Gut" ya kuandika nyingine?

Nashangazwa na mhusika mkuu "nyerere" alikisoma na hakujibu why? Pamoja na kuulizwa sana na marehemu Prof Haroub Othman juu ya madai ya kupotosha historia ya kweli ya Tanganyika

pata picha kingekuwa kimeandikwa nyerere keshafariki? Ungeambiwa umemsingizia nafkiri!

Ahsante sana ndugu yangu.

Hivi sasa tunavyozungumza kuna watafiti wanaandika maisha ya Nyerere.
Nimefahamishwa kuwa wamewashauriwa wanihoji katika
utafiti huo.

Mpashaji wangu nimemwambia kuwa mimi niko tayari kuwapa yote ninayoyajua
na zaidi nitawapa hadi nyaraka za Nyerere nilizopata katika nyaraka za akina Sykes
na picha ambazo nilizokusanya sehemu mbalimbali.

Utafiti huu ulianzishwa na Prof. Haroub alipokufa sasa mkewe Bi. Saida ndiyo anauendeleza.
 
Cabinet ya juu ya serekal inaongozwa na waislam kuanzia Rais,makam,jaj mkuu etc kama kwel kilio chenu cha msingi wawatatulie ustake kuniaminisha eti askof amuongoze rais tena mbaya zaid kwenye iman yake.,nyie achen kujitambua mtalia hadi Mbingun mmeonewa.,2015 rais mkristo sijui ndo mtajilipua..
 
kwa nini maaskofu wasiwaite masheikh waelezane mfumo kristo unakuja vipi? Serikali iwe mediator? Kwani kuiacha serikali itoe tamko ni kukimbia tuhuma!

Wanaodai mfumo kristo si watu wajinga HUTOA fact nadhani maaskofu wajikite hapo kwenye hayo madai moja baada ya jingine...serikali iwajibie tena?
Unataka maaskofu waseme wakati wameshakataa kuwepo kwa kitu kama hicho? Serikali inayotoa hayo mabilioni kwa kanisa kupitia mou, serikali inayotoa ajira kwa upendeleo kwa wakristo, necta inayofelisha waislam nk ni vitu ambavyo serikali inahusika moja kwa moja na inapaswa kuvitolea maelezo...kutaka maaskofu wawajibu ni kutaka kuendeleza malumbano yasiyosha...
 
Ahsante sana ndugu yangu.

Hivi sasa tunavyozungumza kuna watafiti wanaandika maisha ya Nyerere.
Nimefahamishwa kuwa wamewashauriwa wanihoji katika
utafiti huo.

Mpashaji wangu nimemwambia kuwa mimi niko tayari kuwapa yote ninayoyajua
na zaidi nitawapa hadi nyaraka za Nyerere nilizopata katika nyaraka za akina Sykes
na picha ambazo nilizokusanya sehemu mbalimbali.

Utafiti huu ulianzishwa na Prof. Haroub alipokufa sasa mkewe Bi. Saida ndiyo anauendeleza.

pamoja na hayo sidhani kama itaandikwa kwa upana wake! Utanambia
 
pamoja na hayo sidhani kama itaandikwa kwa upana wake! Utanambia

Hilo nalijua sana.

Hawataweza kuweka mchango wa watu waliokuwa karibu na Nyerere kama Mshume Kiyate, Sheikh Hassan bin Amir, Sheikh Suleiman Takadir na wengine wengi.

Huo ulikuwa mtihani mkubwa kwake akiwa hai sembuse leo hayupo tena duniani.
 
Mohamed Said watakutukana,kukudhihaki ila unawachoma vibaya baadhi ya watu! Wakati watu wakipinga kitabu chako je nani mwenye "Gut" ya kuandika nyingine?

Nashangazwa na mhusika mkuu "nyerere" alikisoma na hakujibu why? Pamoja na kuulizwa sana na marehemu Prof Haroub Othman juu ya madai ya kupotosha historia ya kweli ya Tanganyika

pata picha kingekuwa kimeandikwa nyerere keshafariki? Ungeambiwa umemsingizia nafkiri!
Bandugu, acheni kuwasemea marehemu...kwani mnazo references zozote zinazoonyesha prof Haroub Othman kwa maneno yake mwenyewe alisema alimuuliza nyerere mara nyingi bila kupata majibu?
 
Last edited by a moderator:
Bandugu, acheni kuwasemea marehemu...kwani mnazo references zozote zinazoonyesha prof Haroub Othman kwa maneno yake mwenyewe alisema alimuuliza nyerere mara nyingi bila kupata majibu?

yah zipo bila utata! Na usidhani watu walimjua prof kwa kumsikia tu
 
Ukweli nasoma namna ya watu wanavyo changia humu (hasa Waislam) nashindwa kabisa kuelewa namna yao ya kufikiri ilivyo, nimewahi kwenda tibiwa mara kadhaa Bugando (BMC) baadhi ya madaktari na watu wa maabara nilikuta ni akina Saidi, Juma n.k, hivyo hivyo na Korandoto, KCMC, hivi kama hiyo MOU ikiondolewa (kwa tamk hili, yaelekea Wakristo wameisha fanya hesabu na kujua kua wanaweza kuendesha wenyewe) watu wale nao wapoteze kazi, anyway, kanda ya ziwa na kanda ya kaskazini hospitali za rufaa za serikali hakuna kule, kumbuka kanda ya ziwa, including Kigoma, wanategemea Bugando, kaskazini kule wanategemea KCMC, hospitali teule ya wagonjwa wa Ukoma ni Kolandoto (mwenye data tofauti anibishie) hivi hamuoni kama mnakua na wivu wa kike sana nyie watu, ndio maana kumbe kuna baadhi ya nchi duniani ukiwa na jina la kiislam tu hupewi nafasi hata ya kwenda, namna yenu ya kufikiri ipo chini sana hata kama mkienda shule. Sielewi hata namna Zanzibar inavyo wa treat wabara (wakiwepo waislam wenzao) na madai yao dhidi ya Bara, utakuta wanataka tuwape zaidi misaada lakini wanatengeneza sheria za kulinda rasilimali zao wazitumie wao tu, poor thinking capacity, mbaya zaid hata viongozi wengine hawaoni kama hili nalo ni tatizo, ngoja niishie hapa, nsije pigwa ban bure.
 
Udini upo Tz, ninakubaliana na maaskufu, Ukiliangalia Tamko utaona kwamba linataka serikali itumie vyombo vya dola kuwakamata Waislamu na kuwafungulia mashitaka, na kufanya hivyo sio suluhisho la kumaliza udini, bali utazidisha tatizo, kwa waislamu kuona pindi Maaskofu wanapo toa tamko lao, serikali inatekeleza.

Suluhisho ni kwa serikali kulichuklia hili suala ni janga la kitaifa na kulanzisha mjadala wa kitaifa juu hili jambo, na hasa kuwasikiliza wale wanao onekana kuhatarisha amani.
 
Jukwaa la jumiya ya kikristu leo imetoa tamko kuhusiana na mwenendo wa amani nchini, hasa likijikita kuelezea machafuko yaliyoongozwa na kuratibiwa na baadhi ya makundi ya kiislamu nchini.

Moja ya mambo yaliyotolewa ni kukanusha kuwa NCHI hii haiongozwi kwa mfumo kristu, na zaidi imefafanua kuwa:

Rais ni muislamu, Makamu wa rais ni Muislama, Mkuu wa jeshi la Polisi, ni Muislamu, Jaji mkuu ni Muisla, Mkuu wa usalama wa Taifa ni Muislamu,

Na kwa upande wa Zanzibar 100% ya viongozi wa serikali ni waislamu, na sikuwa kule Zanzibar hakuna wakristu wenye sifa za kuwa viongozi!

Akisoma maadhimio hayo kiongozi wa kiroho wa ukanda wa Kilimanjaro Dr Martin Shayo amezidi kusisitiza kuwa Jumuiya ya Kikristu inafikiria kuiomba serikali izirejeshe huduma za kijamii zilizokuwa chini ya makanisa hayo zinazoendeshwa na serikali ili na waislamu nao waweze kuendesha huduma hizo!

Ameiomba serikali kutoyafumbia macho mambo yanayohatarisha umoja wetu,
Kwanza kabisa hata hili tamko la maaskofu nalo limekaa kichokozi kwa sababu unaposema uongozi wa juu wa sasa wakati msingi uliotufikisha hapa ni kandamizi bado unaficha ukweli sababu, Nyerere amekaa madarakani miaka 24 na ktkt nafasi zote nyeti alihakikisha wanashika wakatoliki ili kugandamiza waislamu, angalia sekta ya elimu, ajira na zinginezo, unapoongela Mou kama ni kwa ajili ya makanisa kwanini iwezekane kwa makanisa halafu mikataba kama hiyox2 ya kiislam kujiunga na OIC kwa malengo yalex2 maaskofu haox2 wanapinga na kupigia kelex2? hapo nani ndo mchokozi kati ya waislamu na maaskofu.?

Kuongelea uongozi wa juu peke yake wakati %kubwa ya watendaji wakuu wa serikali ni wakristo bado maaskofu wanataka kuficha mambo ambayo hatma yake ni kuvunjika kwa amani kabisaaaa, bado haox2 watendaji wamekuwa wakiwanyanyasa waislamu kwa imani zao tu mifano ninayo, waislam wamekuwa wakipewa zile kazi ambazo ni ngumu na hzina maslahi ya kipato huku wenzao wakipewa green pasture safari na allowance mbalix2, promotion kwa waislam wachaapakazi imekuwa ndoto tena ukionekana mchapakazi wanakutafutia kila sababu ya kukuharibia ilikusudi usifiki nafasi za juu, hii nayo ni hatari na ni bomu. ambalo maaskofu wanataka kulificha kwa mtizamo wa nje huku roho zikiwasuta juu ya uonevu huu. na hili ni bomu tena la nuclea. hakuna mtu ambae atakubali yeye kuonewa tu milele, waislam wamekuwa watulivu kwa miaka 50, hvi mtu mwenye akili timamu hawezi kujiuliza.? wapo watu makazini wanashuhudia uovu huu ndo maana inauma kuona maaskofu wanaongea kiunafiki namna hii.

Tukubali tusikubali nchi hii ni yetu sote na stahili za msingi ikiwemo Elimu, ajira na afya ni haki ya kila mtu kwa usawa wake bila kubaguliwa lkn hapa kwetu imekuwa vinginevyo.

Tumeshuhudia kwenye sensa wakristo wamejitangazia kuwa wengi lkn pale ilipotakiwa kuprove ukweli huo wamegeuka na kuwa wao tena ndo hawataki,

Unapoongelea Zanzibar huwezi kuhusisha na bara kwa sababu zanzibar chimbuko lake ni nchi tena ya kiislamu na ratio ya wakristo na waislamu huwezi kulinganisha na bara, bara waislam ni wengi lkn wamehujumiwa kielimu na kiajira ndo maana wanalalamika.

Hayo yote ni mambo ambayo yanatakiwa kutupiwa macho ili kusudi hawa wanaojiita viongozi wa dini wenye matamko ya kinafki kama haya yasipewe nafasi. na ukweli usemwe ili ufanyiwe kazi kwa vitendo na sio maneno matupu mdomoni tu.

Kwa herini habari ndo hiyo.

Tafakari kabla hutafakariwa. tanzania bila ubaguzi uonevu na unyanyasaji inawezekana. Mungu Ibarriki Tanzania na watu wake pia.
 
According to TRA / HAZINA....

attachment.php



attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php




Halafu kuna watu wanathubutu kusema serikali haina dini
 
Kwanza kabisa hata hili tamko la maaskofu nalo limekaa kichokozi kwa sababu unaposema uongozi wa juu wa sasa wakati msingi uliotufikisha hapa ni kandamizi bado unaficha ukweli sababu, Nyerere amekaa madarakani miaka 24 na ktkt nafasi zote nyeti alihakikisha wanashika wakatoliki ili kugandamiza waislamu, angalia sekta ya elimu, ajira na zinginezo, unapoongela Mou kama ni kwa ajili ya makanisa kwanini iwezekane kwa makanisa halafu mikataba kama hiyox2 ya kiislam kujiunga na OIC kwa malengo yalex2 maaskofu haox2 wanapinga na kupigia kelex2? hapo nani ndo mchokozi kati ya waislamu na maaskofu.?

Kuongelea uongozi wa juu peke yake wakati %kubwa ya watendaji wakuu wa serikali ni wakristo bado maaskofu wanataka kuficha mambo ambayo hatma yake ni kuvunjika kwa amani kabisaaaa, bado haox2 watendaji wamekuwa wakiwanyanyasa waislamu kwa imani zao tu mifano ninayo, waislam wamekuwa wakipewa zile kazi ambazo ni ngumu na hzina maslahi ya kipato huku wenzao wakipewa green pasture safari na allowance mbalix2, promotion kwa waislam wachaapakazi imekuwa ndoto tena ukionekana mchapakazi wanakutafutia kila sababu ya kukuharibia ilikusudi usifiki nafasi za juu, hii nayo ni hatari na ni bomu. ambalo maaskofu wanataka kulificha kwa mtizamo wa nje huku roho zikiwasuta juu ya uonevu huu. na hili ni bomu tena la nuclea. hakuna mtu ambae atakubali yeye kuonewa tu milele, waislam wamekuwa watulivu kwa miaka 50, hvi mtu mwenye akili timamu hawezi kujiuliza.? wapo watu makazini wanashuhudia uovu huu ndo maana inauma kuona maaskofu wanaongea kiunafiki namna hii.

Tukubali tusikubali nchi hii ni yetu sote na stahili za msingi ikiwemo Elimu, ajira na afya ni haki ya kila mtu kwa usawa wake bila kubaguliwa lkn hapa kwetu imekuwa vinginevyo.

Tumeshuhudia kwenye sensa wakristo wamejitangazia kuwa wengi lkn pale ilipotakiwa kuprove ukweli huo wamegeuka na kuwa wao tena ndo hawataki,

Unapoongelea Zanzibar huwezi kuhusisha na bara kwa sababu zanzibar chimbuko lake ni nchi tena ya kiislamu na ratio ya wakristo na waislamu huwezi kulinganisha na bara, bara waislam ni wengi lkn wamehujumiwa kielimu na kiajira ndo maana wanalalamika.

Hayo yote ni mambo ambayo yanatakiwa kutupiwa macho ili kusudi hawa wanaojiita viongozi wa dini wenye matamko ya kinafki kama haya yasipewe nafasi. na ukweli usemwe ili ufanyiwe kazi kwa vitendo na sio maneno matupu mdomoni tu.

Kwa herini habari ndo hiyo.

Tafakari kabla hutafakariwa. tanzania bila ubaguzi uonevu na unyanyasaji inawezekana. Mungu Ibarriki Tanzania na watu wake pia.
Sasa mapovu ya nini wakati maaskofu wanataka serikali ieleze hayo yote unayoyasema ili ukweli ujulikane?
 
Kwani hiyo misamaha ya kodi waislam wamenyimwa? Kwanini mnawalalamikia wakristo kwa uzembe wenu wa kuchangamkia fursa zilizo sawa na wazi kwa madhehebu yote?
mkuu hapo ndo unapoona shule muhimu utafikir waliambiwa ni kwa wakristu tu
 
Back
Top Bottom