IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,468
- 7,390
Kama nilivyosema na narudia kusema nguruwe ukicheka nae anaingia na wewe..........
sasa ndicho kinachoendelea sasa njia zote huku mjini zinafungwa kwa wajili ya punguan wachache
ukiwauliza nani kawaruhusu maandamano awana jibu na hii ni kutokana na kuachwa na kuchekewa
walipoanza na sensa
Raha ya sensa umpe ee bwana na Mwanga wa Ponda umuangazie apumzike segerea kwa Amani
amin
Ingekuwa police wa arusha ni lazima wangeua_wa dar kidogo wastaarabu.