Maandamano ya UKUTA yasipofanyika...

Aisee hivi serikali ina hizo hela za kuhudumia hayo magari wakati kuna chanjo hazipo kwenye mahospitali ? Ukipewa bajeti ya hizi siku kazaa Polisi walizofanya mazoezi mitaani unaweza kushika kichwa ,halafu mbaya zaidi wajanja pia ndani ya Jeshi la Polisi wanatumia mwanya huo kupiga hela
 
You can call me whatever you want but it's a fact that UKUTA is not the way forward and majority of the citizens have realised that.The authorities have every reasonable excuse to crush the UKUTAS.
 
Kama UKUTA wakinywea na mwishowe kutokufanya hayo maandamano yao ambayo wamepanga kuyafanya hiyo tarehe 1 mwezi ujao, basi mheshimiwa MWENYE ENZI, MTUKUFU rais Magufuli atakuwa amepata ushindi mkubwa sana.

Hayo maandamano yasipotokea atakuwa kafanikiwa kuwatisha wananchi katika kutofanya yale ambayo hayampendezi yeye.

Na huu ndo utakuwa mwanzo tu. Huko mbeleni ikitokea kuna jambo ambalo halimpendezi yeye binafsi basi hatosita kutumia vyombo vya dola kuwatisha watu ili waache kufanya walichokuwa wamepanga kufanya.

Hiyo ndo Tanzania mpya. Tanzania ya MWENYE ENZI, Mtukufu rais John Pombe Joseph Magufuli [nahisi pia tutalazimishwa kuyatumia majina yake yote manne la sivyo wataokiuka watatafutwa na kuadhibiwa, hata kama wapo mitandaoni].

Na nyie wachora vikatuni nahisi dawa yenu inakorogwa huko maabara. Kama mkiendelea kumchora vibaya MWENYE ENZI, MTUKUFU rais John Pombe Joseph Magufuli basi siku zenu zinahesabika.

Yakiwatokea ya kutokea msije lalama eti sikuwaambia! Shauri yenu.
Hivi wewe unanufaika na nini nahayo maandamano au uumepewa tenda ya kutengeneza fulana na kofia za UKUTA,unataka nchi ikose utulivu au wewe ni mbeba box haupo hapa nchini.
 
Yani we inaonekana [HASHTAG]#MrMkurupuko[/HASHTAG] akikuambia umsujudie we utamsujudia ww kwa uoga wako na unafiki wa kujipendekeza
Kama hivi ama???!!
1472306149921.jpg
 
Jifunze kuandika,kisha ujifunze kusoma ulichoandika.
Asante kwa kunifundisha kuandika na kusoma unaonekana jinsi gani ulivyomsomi lakini uelewa Wako wa siasa Babi ni mchanga sana,Nakuomba hiyo tarehe moja uwe mstari wa mbele kutetea the so called vulnerable people you are representing,just to remind you Tanzania ina watu zaidi Ya millions arobaini na Yano
*your=you are

Na huu ndiyo ''uvumilivu'' wa kutofautiana mawazo na mtazamo mliokosa enyi wanafiki mliolewa madaraka.

the ''vulnerable'' are entitled to this land as well.
[HASHTAG]#lumumbabarbarianspotted[/HASHTAG]
Asante kwa kunikosoa ndugu yangu kui shi ndio kujifunza na unaonekana unajua mengi sana isipokuwa uelewa wako kwenye mambo Ya demokrasia bado ni zero,Hiyo tarehe moko go and represent the vulnerable people you are talking about,just to remind you tanzania ina raia zaidi Ya millions arobaini kuna mamilioni Ya raia hawajui hata ukuta nini nini.
 
Comrade ni kiazi sana. Hakuwaza barabara, hili ni tego la panya buku, akilikwepa ni kidume, lakini uwezekano mkubwa hili tego likamshinda comrade
 
Hivi wewe unanufaika na nini nahayo maandamano au uumepewa tenda ya kutengeneza fulana na kofia za UKUTA,unataka nchi ikose utulivu au wewe ni mbeba box haupo hapa nchini.
Kama maandamano ni ya amani huo utulivu utakosekanaje?
 
Mtukufu Mheshimiwa Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli...dah, hili jina refu kiasi linanikumbusha lile la mwenzake - Mobutu Sese Seko Kuku wa Nzagbendu!
Nini Mobutu...Yahya Jammeh ushaona jina na vyeo vyake?
 
Wataalamu kwa maana ya washirikina au?

No wonder nchi yenyewe imedumaa!!
Ndio manake,Un can go to hell,people dying in detention is normal,I can cure aids,waandishi wa habari kupotea kawaida tu na hakuna taifa lolote linalotoa kauli so in that case utaalam unafanya kazi ka Vipi muulize (mwezi wa kawnza yusuf marope)Alitoa wataalam huko sada hivi issue zake zimeyayuka hata hapa JF.
 
Kwani maana ya ukuta ni maandamano au ilikuwa ni kutagazia ulimwengu kuwa nchi inaendeshwa kidictator. Wananchi kutishwa na kushindwa kufanya iyo mikutana na maandamano ndyo inakuwa direct prove kuwa tz ipo under dictatorship.

Yani nimeogopa huu ubunifu wa CDM. Its like wanamcontrol Raic kwa Remote.
Wanampigia ngoma anacheza wao wanamove back and watch.
 
Kwani maana ya ukuta ni maandamano au ilikuwa ni kutagazia ulimwengu kuwa nchi inaendeshwa kidictator. Wananchi kutishwa na kushindwa kufanya iyo mikutana na maandamano ndyo inakuwa direct prove kuwa tz ipo under dictatorship.

Yani nimeogopa huu ubunifu wa CDM. Its like wanamcontrol Raic kwa Remote.
Wanampigia ngoma anacheza wao wanamove back and watch.
Wanampigia ngoma anacheza alafu wao wanamove back kisiasa huo ndio ukweli.
 
Politician are playing with your mind. Ili uwaweze wewe wapuuze fanya mambo yako...watakujazeni chuki ilhali wenyewe wakikutana wana kula na kucheka pamoja...sababu siasa ndio ajira yao...maoni yangu ni kila mmoja afanye yake...bora kuandamana kudai huduma bora za afya,elimu, maji, miundombinu, ajira, uchumi imara kuliko kukaa tunachezewa akili na watu ambao wanachukua matatizo yetu kama mtaji wa wao kuendelea kuwa kwenye game! Tubadirike watanzania!
 
Back
Top Bottom