Maandamano ya UKUTA yasipofanyika...

Mandamano hayafanyiki na wachora katuni wataendelea kuchora!

Hizi kelele sio mpya na haziwezi kumalizika mpaka pale wapiga kelele watakapo tembea katika maneno yao kwa sababu vyama vinavyopiga kelele kuhusu demokrasia havina hata misingi ya demokrasia ndani ya vyama vyao.

CHADEMA wamechukua jukumu kubwa ambalo kwa sasa liko juu ya uwezo wao kama chama.

“...Democracy is not a bottle of Coca-Cola which you can import. Democracy should develop according to that particular country. I never went to a country, saw many parties and assumed that it is democratic. You cannot define democracy purely in terms of multi-partist parties...”-Mwl. Nyerere.

Tanzania is unique country!
Mkuu We lazma utakua ni jiniazi..

Hawa washikishwa ukuta wanatanga tanga tu saa hizi, baada ya kukosa legitimacy kwa ku embrace uozo walioupigia kelele for 8 long years, sasa wanakuja na vibweka vyao vya mara sijui ukuta mara sijui dikteta, mara sijui nini nini...
Watu tume chill tu kiaina tunawacheki jinsi wamedoda..
Kiama yao 2020.. we burry them for good...
 
The odd is unimodal thinking of our opposition brass - CDM knows no other political mobilisation tactic than mikutano ya hadhara na maandamano, period.
 
Watanzania hawataki ujinga huu mnausema. Hii ni akili ya upinzani uchwara. Ni ujinga tu. Watanzania wako busy kujitafutia maisha yao kwa kufanya kazi kwa bidii. Ukuta utawaongezea chochote katika uchumi wao. Acheni ujinga wa kuwapotezea watanzania muda wao. Hakuna lolote. Tunatafuta kiki tu ya kujionyesha kuwa tupo. Tunajua
 
Mheshimiwa nchi yeyote yenye serikali na demokrasia serikali ndio Baba Wa Taifa awe baba mzuri au mbaya ni baba yako tu,tofauti yako kati Ya wewe na mimi wewe Humpendi alichokisema Baba na mimi nimeaamua kumtii Baba kwa sababu sina uhakika nisipomtii nitafaidika na nini na wewe unajua usipomtii utafaidika na nini,mimi nasubiri mpake nikue ndio ntaacha kumtii Baba kwa sababu baba ndio kwanza ameanza kunilea sio muda mrefu
ninachokataa toka kwako ni unafiki wa kujifanya neutral...Unadhani ningepoteza muda wangu kubishana na Lizaboni anayejinasibu wazi yuko katika mrengo gani..?
 
Ewe rais wetu mheshimiwa...hatuhitaji mauwaji mengine hapo 1st Sept, tumeshafiwa na maaskari wetu inatosha, damu yao ienziwe kwa kulinda amani na si kuongeza mauwaji mengine. Kumbuka wanaotaka kuandamana si wakenya au wa nchi nyingine ila ni wananchi wako tena wengine walikupigia kura..Kwa nini basi usiwape haki yao ya kikatiba ya maandamano ya amani?? Nini shida?? Hata Mungu unayemtaja kila leo hatafurahia kuona damu ya wananchi wako inazidi kumwagika.
 
Amani ya kweli huletwa na kufuata katiba bora ya nchi na sheria zake. Siyo kwa mtutu wa bunduki. Hata waziri mkuu alitakiwa aitwe na Tume kwa kusema kuwa watalinda amani kwa njia yo yote ile. Ilitakiwa afafanue hili tamko. Njia yoyote ile ni ipi. Hivi kusema kweli ccm hawajui maana ya amani? Mbona kila wakati tunapata matamko ya aina ya "nchi yetu ina utulivu na amani" ebu muwaulize watu sasa hivi tujue ni wangapi wanadhani nchi ina amani. Huwezi kulazisha amani. Amani hupaliliwa wakati wote na njia kubwa ya kufanya hivyo ni kutoa haki za kibinamu sawa kwa wote. Amen
 
Hehhehe tupo vizur
1472286189895.jpg
 
No! No! No! Tanzania is not a unique country, the problem is illiteracy. In 1985 I went overseas for higher studies, we were 60 in the group, Ethiopia brought in 5000 students in the place.
 
Tarehe 1september JWTZ inaadhimisha miaka 52 ya kuundwa upya Kwa jeshi hilo,wataadhimisha Kwa kufanya usafi nchi nzima.
Hongera JWTZ Kwa kuamua kuingilia suala la usafi katika nchi yetu.
Hatuna shaka na ninyi katika hilo,tunaomba hili litoke mioyoni mwenu kabisaaaaa na Mungu anayeabudiwa na mh.mtukufu anawaona.
 
Tarehe 1september JWTZ inaadhimisha miaka 52 ya kuundwa upya Kwa jeshi hilo,wataadhimisha Kwa kufanya usafi nchi nzima.
Hongera JWTZ Kwa kuamua kuingilia suala la usafi katika nchi yetu.
Hatuna shaka na ninyi katika hilo,tunaomba hili litoke mioyoni mwenu kabisaaaaa na Mungu anayeabudiwa na mh.mtukufu anawaona.
Kitu chochote ambacho kipo mahali kisipotakiwa kuwepo huitwa uchafu. Mfano, mtu anapita barabarani akiwa na bango lenye ujumbe fulani wakati alipaswa kutokuwa mahali hapo, na yeye ni sehemu ya uchafu, ambao unapaswa kuondolewa. Nadhani nimeeleweka.
 
No! No! No! Tanzania is not a unique country, the problem is illiteracy. In 1985 I went overseas for higher studies, we were 60 in the group, Ethiopia brought in 5000 students in the place.
Duh..kama ni hivi basi we are very far behind!
 
ninachokataa toka kwako ni unafiki wa kujifanya neutral...Unadhani ningepoteza muda wangu kubishana na Lizaboni anayejinasibu wazi yuko katika mrengo gani..?
Mimi sipo
UKUTA neno la kawaida tu baada ya tarehe moko litasahaulika Kama maneno mingine,mfano komando yosso,Ngagari vs ngunguri, Balali,Epa,Babu wa Loliondo,
 
Hawa CHADEMA wanapenda sana kulisumbua jeshi la polisi na serikali kiujumla. Wamepiga ngoma na kuilazimisha serikali iicheze hiyo ngoma na kweli imecheza.

Najiuliza tu hivi ikitokea wakaahirisha maandamano yao hiyo September mosi hadi October, je polisi wataendelea kufanya hayo mazoezi ya kuzuia?

Na je ikifika October pia wakasema wanaahirisha hadi November, je pia maigizo yataendelea?? Ni wazi CHADEMA wameamua kuichezea akili dola na serikali, hawa CHADEMA they're very creative.
 
Mimi sipo

UKUTA neno la kawaida tu baada ya tarehe moko litasahaulika Kama maneno mingine,mfano komando yosso,Ngagari vs ngunguri, Balali,Epa,Babu wa Loliondo,
cha kujiuliza ni kwa nini inatumika nguvu kubwa kuzuia kitu kinachoaminika ''kitasahaulika'' kama maneno mengine...
 
ninachokataa toka kwako ni unafiki wa kujifanya neutral...Unadhani ningepoteza muda wangu kubishana na Lizaboni anayejinasibu wazi yuko katika mrengo gani..?
If your not happy in Tanzania you can move to Rwanda and start preaching about democracy and dictatorship,majority of Tanzanians are more than happy.
 
cha kujiuliza ni kwa nini inatumika nguvu kubwa kuzuia kitu kinachoaminika ''kitasahaulika'' kama maneno mengine...
Natoa mfano tu wanaukuta wakilishinda jeshi la polisi wakarisambaratisha tukawa na kila mwanaukuta ajichukulie sheria mkononi hivyo ndo yo unavyotaka
 
Zamani mazoezi haya yalikuwa yakifanywa kwa siri lakini kufuatia kitu kinachoitwa Open Government Initiative, kila kitu kinachofanyika openly na ni mazoezi ya ukakamavu ya kawaida has nothing to do with maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima! .

Pasco
 
Zamani mazoezi haya yalikuwa yakifanywa kwa siri lakini kufuatia kitu kinachoitwa Open Government Initiative, kila kitu kinachofanyika openly na ni mazoezi ya ukakamavu ya kawaida has nothing to do with maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima! .

Pasco
Mbona before ukuta sijawahi kuwaona mkuu? Au nyakati zao zimegongana
 
Back
Top Bottom