Maandamano ya kupinga Wamarekani kuishambulia Libya (Picha)

Mkuu, wewe endelea kutoa matusi JF yako bwana..
Angalia hata waandamanaji wenyewe ni walewale, waangalie kwa makini.
paperclip.png
Attached Thumbnails
 
Mungu wasamehe kwa sababu hawajui watendalo, maskniii yani ukiwaangalia ukawapiga sachi mfukoni hakuna hakuna hata mwenye buku 10 :lol::lol::lol::lol:
 
Nafikiri Mufti akiziona picha hizi atafurahi sana ndiyo maandamano anayotaka.
 
Hawa jamaa sijui tufanye nini labda tuwaloweke kwenye vikombe vya maji ya babu. Nimechoka sasa kuandika habari zao. Sasa sijui taifa lao ni lipi hapa duniani.
-Binadamu anakuwa katika stage hizi (mtoto-->kijana----->mtu mzima----> mzee ) sasa hawa jamaa ni hivi
(mtoto-------> mzee ) yaani hizi stage mbili za katikati wanaziruka ndo maana unaweza kusema huyu mtu ni punguani au? maana ukisubiri awe kijana labda atafanya la maana hakuna bure kabisa. Haiingii akilini kwamba nchi yako inaangamia halafu unaenda kuandamana kwa ajili ya dictator abaki madarakani kisa alikupa msaada. Aaaaaaaaaaaaah nimechoka sasa.
 
Maumivu ya kichwa huanzaa taraaatibuuu !!! fore brain na medula oblongata havina mawasiliano ndio maana wanaandamana !!!!!!
 
Hivi Mungu wa Waislamu Tanzania ni Waarabu. Mbona sikuwaona kuandamana wakati waislamu wa Darfur wakiuawa na Waarabu wa Sudan Kasikazini?
 

Vehicles belonging to forces loyal to Libyan leader Muammar Qaddafi explode after an air strike by coalition forces, along a road between Benghazi and Ajdabiyah March 20. (Goran Tomasevic/Reuters)

bp2.jpg

2
Libyan rebels carry an injured comrade following a failed attempt to take the town of Ajdabiya from Moammar Khadafy's forces on March 21 as news reports said Libyan government forces pulled back 60 miles from rebel-held Benghazi after Western-led air strikes destroyed much of their armor. (Patrick Baz/AFP/Getty Images) #

bp3.jpg

3
A Libyan jet bomber crashes after being shot down in Benghazi on March 19 as Libya's rebel stronghold came under attack, with at least two air strikes and sustained shelling of the city's south sending thick smoke into the sky. (Patrick Baz/AFP/Getty Images) #

bp4.jpg

4
A rebel fighter supporter shoots into the air as she reacts to the news of the withdrawal of Libyan leader Moammar Khadafy's forces from Benghazi March 19. (Goran Tomasevic/Reuters) #

bp5.jpg

5
Rebel fighters ride on a tank captured from Libyan leader Moammar Khadafy's forces in Benghazi March 19. (Goran Tomasevic/Reuters) #

bp6.jpg

6
Libyan army soldiers stand on a building, destroyed in what the government said was a Western missile attack, inside Bab Al-Aziziyah, Khadafy's heavily-fortified Tripoli compound March 21. (Zohra Bensemra/Reuters) #

bp7.jpg

7
A supporter of Moammar Khadafy shows pieces of shrapnel from what the government said was a Western missile attack on a building inside Bab Al-Aziziyah, Khadafy's heavily-fortified Tripoli compound March 21. (Zohra Bensemra/Reuters) #

bp8.jpg

8
A man fires his pistol in the air during a celebratory rally after the United Nations approved a no-fly zone over the country on March 18 in Tobruk, Libya. Libya declared an immediate cease-fire after the UN vote but reports indicated that Moammar Khadafy's forces were still shelling two cities. (Joe Raedle/Getty Images) #

bp9.jpg

9
A rebel fighter shows hand grenades found on fighters loyal to Moammar Khadafy after they were killed by rebel fighters in Benghazi March 19. Khadafy's forces pushed into the rebel-held city of Benghazi on Saturday, defying world demands for an immediate ceasefire. (Goran Tomasevic/Reuters) #

bp10.jpg

10
Aisha Khadafy, daughter of Moammar Khadafy, holds a Libyan flag as she greets supporters at Bab Al-Aziziyah in Tripoli March 19. Thousands of Libyans packed into Moammar Khadafy's heavily fortified Tripoli compound on Saturday to form a human shield against possible air strikes by allied forces. (Zohra Bensemra/Reuters) #

bp11.jpg

11
Libyan girls receive gifts from their school during celebrations in their classroom of Children's Day, which was marked in the Libyan capital Tripoli on March 21. (Mahmud TukiaAFP/Getty Images) #

bp12.jpg

12
A soldier from the Libyan army stands at Green Square in Tripoli March 20. Western forces pounded Libya's air defenses and patrolled its skies on Sunday, but their day-old intervention hit a serious diplomatic setback as the Arab League chief condemned the "bombardment of civilians". (Zohra Bensemra/Reuters) #

bp13.jpg

13
Libyans mourn during the funeral of the people who were killed after air strikes by coalition forces, at the martyrs' cemetery in Tripoli March 20. (Ahmed Jadallah/Reuters) #
 
cha ajabu ni kwamba Walibya wanaandamana kumng'oa dikteta Al-Qaddafi; wengine huku ati wanaandamana kumtetea Al-Qaddafi.

big shame!

Hakuna raia wa Libya aliyeandamana kumpinga Gaddafi, usiropoke tu. Wanaompinga wamepandikizwa na Mataifa ya Magharibi. Ndio maana Gaddafi anaconfidence ya kuwapa wananchi wake silha wapambane na majehi ya NATO.
 
Mbona hawakuandamana kupinga mauaji ya wananchi wa Arusha wakati wa kudai haki ya uchaguzi huru wa Meya?
 
Nimefanya observations katika Mijadala mbalimbali humu JF, na nimegundua yafuatayo:-

Asilimia 90 (90%) ya Uchambuzi/maoni ya humu ndani ya hili jamvi umebase zaidi katika bias za itikadi za Kidini, Kichama, Kikanda. Imefikia wakati watu hawapimi kimeongelewa NINI bali wanaangalia kwanza NANI kazungumza, na yuko position gani katika hizo criteria 3 hapo juu.Hii ni hatari sana sana, hasa kwa kundi la watu ambao ndio kidogo katika jamii ya wengi lina upeo wa uelewa wa mambo.
 
Mbona watu wenyewe wachache hivi. Hata wasipo andamana hawana impact bado ya chadema maandamano yatajaa sana tu watu.
 
Hakuna raia wa Libya aliyeandamana kumpinga Gaddafi, usiropoke tu. Wanaompinga wamepandikizwa na Mataifa ya Magharibi. Ndio maana Gaddafi anaconfidence ya kuwapa wananchi wake silha wapambane na majehi ya NATO.

Siyo kweli wamepandikizwa na Magharibi. Jaribu kufatilia kiundani, ukiangalia Bhangazi ambapo ndiyo kuna pressure kubwa ndipo maeneo alipotoka Mfalme Idris aliyepinduliwa na Gaddafi september 1, 1969. Pamoja na Gaddafi kujisafisha nje ya Libya kwa kutoa misaada, bado alikuwa akiwanyanyasa sana watu wa maeneo haya. Kama ni chuki, siyo magharibi, bali ni utawala wake mwenyewe. Wewe hushangai hata Umoja wa Falme za Kiarabu unaunga mkono gaddafi aondoshwe, sisi kwa sababu ya misaada yake (ingawa alimsaidia hata Nduli Idd Amin katika vita dhidi ya Tanzania) paoja na dini basi ndiyo tufate propaganda ya Marekani na washirika zake. Sasa anayeongoza mashambulizi kule ni NATO wanashirikiana na Falme za Kiarabu, sijui tutaitangaza picha gani Tanzania kwa tukio hili. Na sijui maudhui ya kuandamana yatasimamia wapi baadaye....
 
Hakuna raia wa Libya aliyeandamana kumpinga Gaddafi, usiropoke tu. Wanaompinga wamepandikizwa na Mataifa ya Magharibi. Ndio maana Gaddafi anaconfidence ya kuwapa wananchi wake silha wapambane na majehi ya NATO.

You must be in denial because of your chronic ignorance.
Watch Al Jazeera.
I suspect you may end up saying even those demonstrators in Yemen, Syria and Bahrain are NATO's puppets!
 
Kukosa elimu ni sawa na kuugua kansa ya damu. Walibya wanafurahia kuwepo kwa majeshi ya mataifa hayo, wewe mtanzania ambaye walibya wanakuona kama takataka eti unadhani unajua mahitaji ya libya kuliko wao. Poleni majuha walibya watapata uhuru wao na wataendesha taifa lao kama wanavyotaka.
Well said mkuu

Kina Nani haoo?
Wakamateniiiii...

Yaani watu tunaandamana kuipinga serikali ya Tanzania, wao wanaandamana kuipinga Marekani!!!

Hao ndio watanzania mkuu!
.....wakimaliza hayo maandamano, nawaomba waandamane kupinga skyrocketing inflation in Tanzania!!!
Hilo neno(red) ni gumu sana kwao!
Mmmh! Hiyo kali! wamarekani wenyewe wameombwa saana na sasa wanageukwa, lakini nadhani ni kwa watu wetu wenye akili hapa TZ!!! Hahahaha!!!!
Inasikitisha hii mkuu!
hao ni wehu waliokosa kazi za kufanya. wanahimizana kupinga maandamano ya kudai haki katika nchi yao, lakini wanajifanya kuandamana kudai haki za Walibya. unafiki tu.
Njaa zinawasumbua, washaridhika na visima vya maji chumvi na vipaza sauti!
Mbona yalizuiliwa, inakuwaje hapo, habari za kiintelijensia hazijawafikia wenye nchi?
Wamelala wanafaidi mavituz! from the american people!
Inflation! kwa hao wanaoandamana hilo ni jina la mtu!!!!!!!!
Tena mwarabu!
polisi walishapiga marufuku,niliona tbc jana kova akisema
polisi wepi? hawa hawa?
Elimu bana kitu cha muhimu sana!!! badala ya kuandamana sky-rocketing ya price za bidhaa mbali mbali, migawo ya umeme, uongozi mbovu wao wanaandamana upuuzi

wenyewe libya wameandamana? very absurdy... simply stupid move
Mkuu hapo kwenye redi, Hao ni wasomi wetu ambao wametangulia kusoma chuo, ndio wakaanza darasa la kwanza... mtoto mdogo anasoma chuo, lazima atadumaa tu.
 
Mie sijui kwanini watu wanadharau kubwa kiasi hiki.Halafu ni lini wa tanzania tutafanya uchunguzi wa jambo kabla hatujaanza kuzungumza mbele ya umma wenye mchanganyiko wa watu wa dini na makabila na vyama mbalimbali.Unawezaje kuita watu kuwa hawana elimu wakati huwajui na huna ushahidi wa hicho unachokiandika.
Ninachokijua mimi ni kuwa maanadamano hayo yameandaliwa na shura ya maimamu tanzania lengo ni kupinga mauaji yanayofanyika libya kwani waislamu wanaamini muislamu yoyote ni ndugu yake bila kujali taifa na hii ndo imani yao tuiheshimu.TUMIA AKILI
Sasa unaposema hawana elimu ni kwamba unataka kusema waislamu hawana elimu na je unawezaje kujustify kwanini hawana elimu na nini chanjo chake.TUMIA AKILI
Unaposema wamevaa vipedo na midevu huoni kama unakashifu imani ya wenzako na je waislamu nao watakapoanza kujibu kwa kukashifu imani ya watu wengine hatima yake nini TUMIA AKILI.
Unaposema hao ni cuf unaushahidi gani umewapekua uakaona wana kadi za CUF kwanini hukusema ni CHADEMA inaelekea mzimu wa udini unakusumbua maana hata historia husomi kuihusisha cuf una uislam ni uvivu wa kufikiri kwani hujui kama cuf chimbuko lake ni zanzibar ambapo kuna waislam wengi kama si wote ulitegemea nini ila je umeshawahi kusoma katiba na manifesto ya cuf ukaona kama wanahubiri QURAN tunaomba kama unakipengele unachokifahamu ndani ya manifesto ya cuf kinachohubiri dini y akiislam ukitoe hapa kwa wana JF tukisome.TUMIA AKILI ACHA KUFUATA MKUMBO
W atu kama nyie manaozungumza mambo bila kuwa na utafiti ndo mnaopelekea hata baadhi ya watu nao kuamin CHADEMA ni chama cha wakristo kisa kimechipukia Kaskazini ambapo walio wengi ni wakristo na Katibu wake ni mchungaji lakini kwenye manifesto yao hakuna kipengele kinachohubiri Bible.TUMIA AKILI NA JARIBU KUHESHIMU DINI YA WENGINE KABLA HUJACHANGIA MADA
JE KWA KASHIFA NA DHARAU NA PROPAGANDA KAMA HIZI TANZANIA TULOIRIDHI KUTOKA KWA BABU ZETU AMBAO WALIKUWA WANAHESHIMIANA KWA IMANI ZAO ITAWEZEKANA.mungu ibariki tz mungu wabadili wenye nyoyo za udini waheshimu imani za wengine
 
Back
Top Bottom