tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
hahaha eti kuna dogo wa shule kawaona anasema eti watu wenyewe wamevaa VIPEDO na mindevu mingi hahahahahahahahahahahaah
vipedo!!???? unatafuta fatwaa wewe!!
hahaha eti kuna dogo wa shule kawaona anasema eti watu wenyewe wamevaa VIPEDO na mindevu mingi hahahahahahahahahahahaah
...sijaona mtu anaeandamana kuipinga serikali ya Tanzania.. sijaona!Kina Nani haoo? Wakamateniiiii...
Yaani watu tunaandamana kuipinga serikali ya Tanzania, wao wanaandamana kuipinga Marekani!!!
<br /><font face="Lucida Sans Unicode"><font color="sienna">Mungu wasamehe kwa sababu hawajui watendalo, maskniii yani ukiwaangalia ukawapiga sachi mfukoni hakuna hakuna hata mwenye buku 10 <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/lol.gif" border="0" alt="" title="Lol" smilieid="219" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/lol.gif" border="0" alt="" title="Lol" smilieid="219" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/lol.gif" border="0" alt="" title="Lol" smilieid="219" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/lol.gif" border="0" alt="" title="Lol" smilieid="219" class="inlineimg" /></font></font>
<br />Huu ni unafiki wa hali ya juu, hatuwezi tukaendelea kwa hali hii. January waTZ walipigwa risasi kwenye maandamano halali kule Arusha hawaandamani leo libya walibya wanataka kumtoa dicteta wao eta TZ kuna watu wanaandamana. Waambieni watoe uwendawazimu.<br />
<br />
Tuendelee na kazi ya kuikomboa TZ
<br />
<br />
acha blah blah hapa unasahau haraka sana. Unakumbuka Arusha tu enh! Vipi Pemba na mwembechai waliuwawa wangapi? Nani aliandamana? Si walionekana wahuni?
<br />Tunazungumzia TZ ya Mwaka 2010 na 2015, ulikwpo kwenye maandamano ya jana nini?, Kikubwa hapa waTZ tusiwe kiherehere wa mambo ya wenzetu. tuangalie mambo ya waTZ, Umenikumbusha vizuri nilichukia sana kwa vurugu zile za pemba.
How many Black Africans have been massacred? Hatujasikia hata wakilaani, HAO WAMENUNULIWA NA WAARABU tu hakuna jingine, ndugu zao waarabu wabantu siyo ndugu zao, MENTAL SLAVERY kuisha kazi!