Ukweli ni kwamba JK anakuja kwenye mkutano wa UN ambao unafanyika kila mwaka mwezi wa tisa hivyo haji kwasababu ya Diaspora. Balozi alilengesha muda wa mwezi wa tisa kwasababu viongoizi wengi watakuwa hapa USA kwenye mkutano wa UN na ingekuwa rahisi kuwaalika kama inawezekana.
Mimi navyoona hii drama ni bora JK asije kwenye mkutano wa diaspora!. Na ni wazo baya kuchanganya huu mkutano na Ubalozi kwasababu inaleta siasa wakati kila mwaka tunafanya huu mkutano bila siasa za aina yeyote.
Kuliko hii drama ni bora tusimwalike JK tena!!
Mimi navyoona hii drama ni bora JK asije kwenye mkutano wa diaspora!. Na ni wazo baya kuchanganya huu mkutano na Ubalozi kwasababu inaleta siasa wakati kila mwaka tunafanya huu mkutano bila siasa za aina yeyote.
Kuliko hii drama ni bora tusimwalike JK tena!!