Lakini hasa safari hiyo anafuata nini huko DC.
Mkutano wa UN General Assembly(UNGA), ambao pia utajidili masuala yanayohusu magonja yasiyo ya kuambukizwa hasa Malaria, JK ni mwenyekiti wa marais wanaopambana na Malaria.
Nakuambia CCM wanafikiri nguvu ya soda ngoja tuone kama watu hawajaanza kukimbia nchi
tunapambana kwa kujificha kwenye chandarua! hii kali.
hahahahahaah....nimekumbuka maneno ya gadafi nae alisema maneno yanayo shabiiana na haya lakini leo hajulikani yuko shimo gani wahuni wana kula bata....Ndoto za mchana hizo. Wahuni hawatakaa watawale nchi hii!!....period!
Mkutano wa UN General Assembly(UNGA), ambao pia utajidili masuala yanayohusu magonja yasiyo ya kuambukizwa hasa Malaria, JK ni mwenyekiti wa marais wanaopambana na Malaria.
CCM mlichobakiza ni udini na ukabila tu pole sana...If you have better solution kwani nini usisaidie ndugu zako au unasubiri rais wa nchi hii awe mchaga?
CCM mlichobakiza ni udini na ukabila tu pole sana...
<br />If you have better solution kwani nini usisaidie ndugu zako au unasubiri rais wa nchi hii awe mchaga?
<br />
<br />
Ulitakiwa kwanza ufungiwe jiwe shingoni then utupwe bahari!HUFAI HATA KWA DAWA!Nyambafu
Hivi jamani maandamano yapo?