GrEatThinkers,
Kuna wadau wametoa wazo la kutengeneza fulana za Dr. Slaa,
Ushauri wangu ni kuwa ktk maandamano ya Januari tuwe pia na Sare ya Fulana hizo ikiwezekana.
mnasemaje wadau??
Halafu ziwe za kiwango kuliko ile mipira ya ccm
Kwenye RED,Kaka kwani twaenda michezon???Kama maandamano ni ya kisiasa sawa, lakini nijuavyo mimi hayo ni maandamano ya utaifa kwahiyo sitavaa tisheti ya slaa wala jk
Nitavaa jezi ya taifa stars, au tisheti nyeupe kuonyesha amani ndio lengo langu
once you politicize everything, you ruin everything
Rubish!!