spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
- Thread starter
- #21
Haya sasa tuangalie uwezekano wa kuzipata sasa, naomba kama kuna mwenzetu mwenye access na wakuu wa CDM awasilishe hoja yetu kwa niaba ya sisi wote tuliotayari...sio lazima tukubaliane na kila mtu.
Kwa kweli wazo hili ni zuri,
Fulana zitengenezwe, ziingizwe sokoni tuko wengi tunazingoja.
Please, ujumbe huu naamini umewafika walengwa tunaomba utekelezaji.