Maandamano ya CHADEMA Arusha: Mabomu yarindima, raia wauawa na viongozi wakamatwa

Wakati sisi tuiko bize na porojo na kumsifia JK angalieni hawa wenzetu, kanchi kadogo (populationwise) na kamepata uhuru juzi juzi tu!


Windhoek — Namibia is set to develop its rich uranium resources and intends to pursue uranium enrichment locally. It also plans to build its own nuclear electricity plant.
Nuclear energy experts from Finland's Nuclear and Radiation Authority are currently helping the Ministry of Mines and Energy (MME) to draft Namibia's first ever nuclear policy, which is to be completed mid-2011, together with relevant laws. Namibia plans to generate electricity from its own nuclear reactor by 2018.


"It is the expressed decision of the Namibian government to seriously consider the development of nuclear power in order to complete the national energy mix and provide sufficient energy for our development," said mining minister Isak Katali at an introductory nuclear policy conference recently.

"The uranium and nuclear energy policy to be developed will cover the entire nuclear fuel cycle, being uranium exploration, mining, milling and nuclear energy (generation)," Katali added.

The nuclear policy will include the establishment of a nuclear waste management fund, black economic empowerment through equity participation in the uranium sector, skills transfer to Namibians and using uranium only for peaceful purposes.
Namibia is producing about 5 000 tons of uranium annually and was the world's fourth-largest producer in 2009, providing nearly ten percent of the global needs.

w260x.jpg
Fifi Rhodes/New Era
The three reservoirs that will supply the Langer Heinrich Uranium Mine



"It is no secret that our government made the decision to develop nuclear power locally - the demand for energy is growing," says Joseph Iita permanent secretary in the MME.
"We have big uranium resources and we work together with the International Atomic Energy Agency (IAEA) to achieve a strong policy framework for a safe and efficient nuclear policy for peaceful purposes only."

Namibia is signatory to the Treaty on the Non-Proliferation of Nuclear Weapons (NPT), Comprehensive Safeguards Agreement in Connection with the NTP and Protocol Additional to the Safeguards Agreement. The country established the Namibian Atomic Energy Board in February 2009.

"Namibia is committed to achieving a world free of nuclear weapons, where nations and peoples can live in peace and harmony and we welcome the entry into force of the African Nuclear-Weapon-Free-Zone Treaty - the Pelindaba Treaty," Namibia's foreign affairs minister Utoni Nujoma told the NPT Review Conference in New York last year



"We regard this milestone as an important step for regional peace and security. Namibia is in the process of ratifying this important instrument," said Nujoma.

Due to the lack of a policy framework, the government put a moratorium on issuing uranium exclusive exploration licences (EPLs) in 2007.

Some 66, mostly foreign companies from Australia, Canada and China companies have EPLs for uranium exploration in Namibia, mainly in the coastal Erongo Region.
Only four uranium companies obtained uranium mining licences with two mines operational and two new mines under construction among them



The oldest mine, Rössing Uranium of British Rio Tinto started in 1976, only to be joined three decades later in 2007 by Langer Heinrich Uranium (LHU). LHU is owned by Australian mining outfit Paladin Energy, which produced 1,170 tons of processed uranium called yellow cake in 2009.

The Iranian government has a 15 percent stake in Rössing Uranium.
At least five more uranium mines are in the pipeline within the next three to four years and the national power utility NamPower is already expanding its power grid and electricity generation capability

The new uranium mining areas are partly located in a proclaimed national park and one of the most popular tourist hotspots in the country.

"Unless all this is well-managed and the necessary safeguards are in place, the uranium rush will negatively affect the environment - both at individual mine level and on a cumulative basis, which will affect sense of place, tourism, lives and livelihoods," says Peter Tarr, one of the experts who completed an in-depth study on the impact of the future uranium industry.



Peter Versveld works for a tourism company in the Namib Desert and takes visitors to breathtaking views over the rugged mountain ranges called the 'moon landscape' and to the famous Welwitschia desert plants, some of them being a thousand years old.

"We are very worried about the bad impact the uranium boom will have on the beautiful landscape here and the possibility of a nuclear reactor being built. It will negatively affect our tourism sector at the coast and the nearby desert," says Versveld.

But Johannes Goraseb, whose family has lived for generations in humble dwellings some 80 kilometres east of the coastal town of Swakopmund near another tourism hot spot - the Spitzkoppe Mountains, which gave ancient rock paintings - looks forward to getting a job.

"There are not enough tourists coming here to sustain all of us so when the uranium mine under construction nearby becomes operational, I hope I will get a job there," he says. "Already Areva, which owns the new mine, has donated water tanks to us. They bring development as they will also build a mining village for their staff and this will bring development here in the desert," he added.

Erongo Regional governor Samuel Nuuyoma says uranium mining was an important economic pillar and expected to grow from 5.54 percent of Namibian GDP in 2008 to 14.78 percent by 2015. "Contribution to the economy is expected to more than double from the current $ 150 million to $ 305 in 2015," Nuuyoma says. "

Mike Leech, the president of the Chamber of Mines, said, "Uranium producing countries such as Namibia are inevitably surrounded by questions of health, environmental and radiation safety, waste and non-proliferation".

With new uranium mines on the horizon and expansion projects at existing mines, it is estimated that thousands of jobs may be created in the Erongo region alone.

Source: Bonyeza hapa
 
Yalikuwa halali,
masaa 48 kabla tarifa ilishatolewa police kulinda maandamano, walikubali police kwa barua halali kwenda chadema, masaa 8 kabla tarifa ya kukataza ikatoka kwa utaratibu na kisheria unakataza pale ambapo umewasilisha vielelezo kwa nini umekataza na cdm wangeelewa, badala yake shem wa JK kupitia ch ten akakataza bila hata barua au maelezo kwenda cdm. So cdm walitumia barua yaa kwa kwanza kufanya maandamano na maandamano yako halali ila Mwema /JK wabebe jukumu la mauaji haya na vema ocampo aje Tanzania sasa
 
Yalikuwa halali,
masaa 48 kabla tarifa ilishatolewa police kulinda maandamano, walikubali police kwa barua halali kwenda chadema, masaa 8 kabla tarifa ya kukataza ikatoka kwa utaratibu na kisheria unakataza pale ambapo umewasilisha vielelezo kwa nini umekataza na cdm wangeelewa, badala yake shem wa JK kupitia ch ten akakataza bila hata barua au maelezo kwenda cdm. So cdm walitumia barua yaa kwa kwanza kufanya maandamano na maandamano yako halali ila Mwema /JK wabebe jukumu la mauaji haya na vema ocampo aje Tanzania sasa

Kwa hiyo walikatazwa au siyo?
 
Maandamano yaliyofanyika Arusha ambako inasemekana kuna watu wamepoteza maisha...je yaliruhusiwa kisheria na vyombo vya usalama au la?


yalikuwa halali. Haijalishi kama yaliruhusiwa au la. Swali ni mauaji yanayodaiwa kufanywa na vyombo vya dola yalikuwa halali?
 
ccm wamezoea kuvunja sheria makusudi,halafu wanasema ulieonewa aende mahakamani kutafuta haki,hiyo kesi inatumia miaka kumi....The tree of liberty must be refreshed from time to time with the blood of tyrants from time to time.....Oooh yes let the blood flow as long as its meant to bring about freedom to the oppressed.....Viva CHADEMA!
 
nchi itatawalika, huo ndio ukweli

na hawa wachache wanaodhani wanaogopwa watakumbana na mkono wa sheria


huu uhuni hauvumiliki, na kila ataeamua kuchagua njia ya kuunga mkono wenye kunadi nchi isitawalike tutawashughulikia na nchi itatawalika

wajue uchaguzi umeisha kilichobaki ni 2015 tukutane uwanjani sasa ni wakati wa kujenga nchi
 
Hivi unaruhusu vipi mkutano then unakataa maandamano? Hao watu wafike vipi huko? Ni sawa unasema watu waende kuangalia mechi ya Taifa Stars uwanja wa taifa saa kumi jioni lakini wasiende kwa pamoja aka maandamano....sasa watafika vipi kwenye mkutano wao??
 
Ndugu Zangu,


JUMA lililopita Watanzania, na dunia pia, tuliona kupitia televisheni na vyombo vingine vya habari, picha zikiwaonyesha polisi wetu wakipambana na waandamanaji wafuasi wa Chama Cha Wananchi, CUF. Ilisikitisha sana.


Pengine polisi ‘kupambana' na waandamanaji si neno sahihi. Mara nyingi tunachokiona ni polisi 'kuwaandama' waandamanaji. Hii ni pamoja na polisi kuwatawanya waandamanaji kwa virungu, mabomu ya machozi, risasi za mipira na hata za moto.


Jana tena, Watanzania na dunia, tumeona picha za televisheni zikiwaonyesha polisi wetu wakipambana ama kuwaandama waandamanaji wafuasi wa CHADEMA kule Arusha . Imeripotiwa na BBC kuwa kuna Watanzania waliopoteza maisha. Inasikitisha sana. Na unapoangalia picha hizi zenye kuharibu taswira njema ya nchi yetu ndani na nje ya mipaka yetu unajiuliza; KWANINI?


Kinachonijia haraka kichwani ni hofu ya mfumo. Linanijia pia neno ´MAANDAMANO´. Afrika MAANDAMANO ni neno baya sana ukilitamka mbele ya watawala. Kuandamana ni 'kuiandama' Serikali. Ni kama ilivyokuwa katika nchi za Kikomunisti kabla ya kuangushwa kwa ukuta wa Berlin. Kwa wasiojiamini ndani ya mifumo ya kiutawala Afrika, kuandamana ni sawa na kutaka ´Kuuvunja Ukuta´. Na kwa watu wa nchi zetu hizi, nao wameanza kuuona ukuta.


Kwa watawala Afrika, hakuna msamiati wa ' Maandamano' , kuna ' MATEMBEZI ya MSHIKAMANO'. Afrika hakuna dhambi ya kuandamana kuunga mkono au kupongeza kauli au jambo lililotendwa na upande wa utawala. Dhambi ni kuandamana kupinga. Tujiulize tena; nini maana ya maandamano?


Tunaamini katika demokrasia, maandamano ni namna pia ya kujieleza. Muhimu katika maandamano ni kuhakikisha kuwa yanakuwa ni ya amani na utulivu. Wenye kuandamana waandamane na wengine waendelee na shughuli zao. Na hapa ni jukumu la wenye kuandaa maandamano kwa kuwashirikisha polisi.


Kuwepo na utaratibu unaoeleweka. Wapi waandamanaji watakusanyikia kabla ya kuanza maandamano. Hivyo basi, wapi maandamano yataanzia, umbali wa kilomita ngapi, kwa kupita barabara zipi na wapi yataishia. Hayo yanaweza kufanyika kwa ustaarabu kabisa.


Jukumu la polisi litakuwa ni kuyaongoza na kuhakikisha hakuna vurugu zinazotoka miongoni mwa waandamanaji, na si kinyume chake. Kwanini kuwepo na hofu ya vurugu wakati wenye kuandamana ni wafuasi wa chama au kikundi kimoja cha kijamii kwa wakati mmoja, tena wakiwa na viongozi wao?


Katika nchi za wenzetu, polisi huwa na kazi ngumu na hata kufikia kuwaambia waandaaji wa maandamano kusitisha maandamano kama maandamano husika yatasababisha kuwepo na maandamano ya kupinga maandamano hayo katika wakati mmoja kutoka kwa kundi lingine. Sisi hatujafikia huko. Kwa mfano, Dar wafuasi wa CUF wakiandamana kwa amani, wafuasi wa CCM huwaoni kufanya maandamano ya kuwapinga CUF kwa wakati huo huo, na kinyume chake.


Dunia imebadilika, tunahitaji kubadilika pia. Jeshi letu la polisi lijipange upya. Kwa jinsi picha za televisheni zinavyoonyesha polisi wetu wanavyowapiga virungu na hata kuwarushia risasi waandamanaji wasio na silaha inaamsha hisia mbaya kwa Watanzania. Inaleta taswira mbaya ya nchi yetu kwa jumuiya ya kimataifa. Inasikitisha sana. Ni aibu kwa nchi yetu tuliyozaliwa na tunayoipenda sana. Tubadilike.
Maggid,
Iringa
mjengwa
 
huu ndo ujinga wa hii nchi, ambayo mjinga fulani anaamua kila anachotaka
 
wafanye tuone

na wakileta ujinga chama tunakifuta tunarejea chaguzi majimbo yote waliochukua
 
Hayo wanaambiwa sana mapolisi lakini wanadhani nmnaimba taarab au pambio tu. Polisi wa kiafrika wanafurahia matumizi ya nguvu maana ndio mahali pa kujifunzia jinsi ya kujeruhi na kuua kwa kutumia dola, maana vitavita sio kawaida Tanzania. Zamani wakati wa vita ya ukombozi maaskari walipelekwa kule kwa mazoezi, kwa sasa wanajifunzia humuhumu nchini kwa kutwanga raia na kuona wanavyokufa na kujeruhiwa, kisha wanafanya sherehe na kupandishwa vyeo. Tusubiri mapolisi sasa kupandishwa vyeo na kusifiwa na washika dola kwa kazi nzuri. Unakumbuka enzi za Nkapa mauaji ya raia Zanzibara yalifuatiwa na sifa kemkem na kupandishwa vyeo mapolisi utadhani njugu, wakati misiba bado inaendelea? Huo ndio uafrika. Nguvu ni marufuku kutumiwa dhidi ya wafuasi wa chama tawala. Mpinzani tafsiri ya wakubwa wetu ni "mkorofi asiyestahili kuishi" Hawasemi kwa maneno lakini wanatafsiri kwa vitendo.
 
Yalikuwa halali,
masaa 48 kabla tarifa ilishatolewa police kulinda maandamano, walikubali police kwa barua halali kwenda chadema, masaa 8 kabla tarifa ya kukataza ikatoka kwa utaratibu na kisheria unakataza pale ambapo umewasilisha vielelezo kwa nini umekataza na cdm wangeelewa, badala yake shem wa JK kupitia ch ten akakataza bila hata barua au maelezo kwenda cdm. So cdm walitumia barua yaa kwa kwanza kufanya maandamano na maandamano yako halali ila Mwema /JK wabebe jukumu la mauaji haya na vema ocampo aje Tanzania sasa

Nadhani hii Hali silo ya kuanza kutolea maelezo simple namna hiyo, hauko Arusha nadhani!!!
 
Maandamano yaliyofanyika Arusha ambako inasemekana kuna watu wamepoteza maisha...je yaliruhusiwa kisheria na vyombo vya usalama au la?

Tuambie kama CHADEMA imeshawahi, hata mara moja, kupewa kibali cha kufanya maandamano toka polisi.

 
Hivi polisi wasingezuia maandamano ya chadema nini kingetokea? Mi naona hizo vurugu zisingetokea kama wangeruhusu maandamano hayo.
 
Kama maandamano yatasemwa kuwa sio halali, je mauaji ya raia na matumizi ya nguvu kubwa dhidi ya raia wasio na silaha na tena wanaotaka kufahamu sababu ya kukamatwa viongozi wao wakati wa amani na kuswekwa rumande ndiyo halali?

Hivi kumbe kisheria inaruhusiwa na sio kosa kufanya kosa dhidi ya kinachodhaniwa ni kosa hilo?
 
Back
Top Bottom