wanaandamana,wanashinikiza nini?
njaa mbaya
namwona shangazi yangu naye yupo kwenye msafara wakati anasifia maisha bora wakati watoto tunamlelea
kupewa fomu na tume,afu we ni kiazi
Tunaingia usa river wilayani,tukio limepangika vya kutosha.kidumu chama tawala
Tunaingia usa river wilayani,tukio limepangika vya kutosha.kidumu chama tawala
Mzee unachoka tu no one is interested maandamano ya CCM yalishapoteza mvuto toka enzi ya chama kimoja, yangekuwa ya Chadema mtiti wake ungeuona hadi kina Saidi Mwema ungewasikia kwenye vyombo vya habari.Tunaingia usa river wilayani,tukio limepangika vya kutosha.kidumu chama tawala
Tupo hapa kikatiti ndo maandamano yanaanzia kumsindikiza Mgombea mteule wa ccm Sioyi Sumary Kuchukua fomu kwa mkurugenzi usa river..updates
Tupo hapa kikatiti ndo maandamano yanaanzia kumsindikiza Mgombea mteule wa ccm Sioyi Sumary Kuchukua fomu kwa mkurugenzi usa river..updates
Wazee wa kuchakachuwa!!
View attachment 48747
kisaa kya nii moose kuchu!!!!!kwa mtaji huo lazima CHADEMA waibuke kidedea mimi nilifikiri NEC ina nguvu kuliko EL!
Na huu atawasaidia mshinde.Ndo jamaa sioi anakabidhiwa fomu na msimamizi wa uchaguzi Trasias Kagenzi,aliwahi simamia pia uchaguzi mdogo tarima alikoshindia Charles Mwera
Wewe ni sehemu ya tatizo, ungemuachia mwenyewe Mama yako mdogo ajuwe uchungu wa kulipia shool fees asingethubutu kushiriki upuuzi.Hahahah mkuu umenichekesha sana,hao ndio wanachama wengi wa magamba walivyo!yaani wengi wao ni wa zito sana kifikra,mwenyewe nina mama yangu mdogo yaani yeye na c.c.m ni kama kucha na kidole,ila mtoto wake namsomesha mimi!anakuambia c.d.m hawana jipya na wataleta fujo,kuna siku mpaka nikachukia nikamuambia tatizo huko mmelishwa ujinga mpaka vichwa vimekua vigumu kama mawe ya milima uluguru
acha uzandiki,pita na shughuli yako.picha cwezi coz natumia simu