juma ismail idrisa
Member
- May 30, 2017
- 49
- 15
Hakumfananisha Osama na Mange ila ametumia falsafa ya Osama.Osama Vs Mange hawa ni watu wawili tofauti kabisa wala huwezi kuwalinganisha
Hakumfananisha Osama na Mange ila ametumia falsafa ya Osama.Osama Vs Mange hawa ni watu wawili tofauti kabisa wala huwezi kuwalinganisha
Haha, unakikumbusha gazeti la zamani la Sani. Kulikuwa na cartoon ina jina la Pimbi.Huyo kiongozi wa chama cha ujiji alishapoteza mwelekeo siku nyingi!unazijua tabia za mnyama anayeitwa Pimbi ?
shindwaKwa Magufuli kila goti litapigwa.
Narudia tena nilisha sema zamani, 2020 hakutakuwa na chama cha upinzani chenye nguvu.
Your problem is thinking that farting is the same as talking! You are wrong!Mratibu as maandamano ni chama cha demokrasia ya matusi....huyo mange ubavu hana....usifikiri wote humu ni Pimbi au nyumbu kama wewe
Ahhh haaah haaahh Salary Slip ,ombeni chenji kwa Dada wa taifa,hatukumlipa kufanya vituko alivyofanya,yaani maandamano ya watu 6Hii mada itaunganishwa tu!
JF utadhani si wahanga!
TATIZO KUBWA NI KUIJENGA HIYO MISINGI. NA HUENDA LIKAWA NI FUMBO LA MAUTI. KILA SIKU HUWA NAJIULIZA WAPI TULIKOSEA. TUNAWEZA TUKAWA TUNAPIGA KELELE KILA SIKU BILA KUJUA NINI CHANZO. KUMBE CHANZO NI MFUMO TULIO NAO. NCHI AMBAYO HAINA POLICY. KILA KIONGOZI AKIINGIA ANAKUJA NA YAKE YA MIAKA 5Tanzania tunahitaji jamii iliyojengwa katika misingi ya kupendana. Yaani kuanzia kiongozi wa juu mpaka wa chini tofauti na sasa kuwa vingoz wetu wanachojua nakuamini ni kuwa wao ndo wanaofanya tanzania yetu isimame!
Nawakumbusha Kuwa MUMGU WETU ANAPENDA WATU WOTE ndiyo maana anataka uthaminiana.
Profesa wa chama cha demokrasia ya matusi mitandaoni! mijitu mizima mlikatanguliza hako kajitu! midume mioga ilikua nyuma iliogopa kukaa mstari wa mbele!mamake....Leo mngepokea kipigo cha mbwa koko!Prof,mange kimambi umeshinda Vita,wao wametumia bunduki na vifaru wewe ametumia kalamu,umewaumiza sana sema wanakaza tu,lkn kipigo ulichowapa ni kipigo kitakatifu utabaki kwenye historia ya taifa letu kama Nyerere na kina mandela
Mbona kaweza kuwaandamanisha polisi Tanzania nzima. She deserves PhD, kushinda ya bichwa.
Naona leo gari la wazi limeonekana ni old fashion. Mkuu ameogopa nini?
Sijifariji kwa sababu nilikuwa na uhakika hakuna maandamano! Nitajifariji kwa kipi?Wacha kujifariji
Narudia kukuambia ficha upumbavu wako
Serikali imsikilize anaye t
Tatizo lako unachanganya mambo mengi ambayo hayana hata mantiki katika msingi wa hoja.
Kwa kukusaidia ili uelimike zaidi, Nchi inaitwa masikini kwa sababu wananchi wengi ni masikini na inaitwa tajiri kwa sababu wananchi wake wengi ni tajiri.
Rais alichaguliwa na wananchi wengi waliojitokeza kupiga kura. Suala sio waliojiandikisha kupiga kura bali waliojitokeza kupiga kura. Huu ni utaratibu wa kisheria uliowekwa nchini.
Kama hoja ni ujumbe, mbona kila siku wananchi wanatoa ujumbe kwa serikali/wanasiasa kupitia majukwaa mbali mbali.
Familia moja kujikusanya katika Tanzania House halafu unasema hayo ni mafanikio inaonyesha ni jinsi gani ulivyokuwa umeweka malengo katika mzani wa chini sana.