mkurugezi wa mafunzo wa chadema wa taifa anau2bia uku wakisema mabalozi na diwani wa kata anakotokea Sumaye wamerudisha kadi za ccm na kujiunga chadema uku akimchambua mkwere na jeshi lake la polisi.
mkurugezi wa chadema wa mafunzo anasema kama Nyerere alikataa kumlipa Valumbia alipokwenda ICC iweje leo 2mlipe Dowans.
Pia anasema kaka Mbowe anakuja na hoja ya Dowans kupeleka bungeni.
mkutano ndo umeisha ila wanafunzi wa vyuo ndio waliokuwa wengi ktk mkutano. Na tamko la wanadodoma ni SIKU DOWANS WAKILIPWA NI KUANDAMANA kama Tunisia.
Ila nilichokiona hapa Dodoma watu wanahitaji mabadiliko tena makubwa kwa kuwapa hoja zilizojengwa na zenye tija kutetea taifa ndivyo alivyofanya mkurugenzi wa mafunzo wa chadema wa taifa na kuwaacha wanadodoma wakisema pindi Dowans ikilipwa wataandamana kama Tunisia
.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.