cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
Mimi pia naungana na watanzania wote, kumpongeza Rahisi wa Tanzania kwa atua hii nzuri ya mabadiliko, "Hakika sas Tanzania itapiga hatua ya Maendeleo. Wabunge Hongereni kwa uwamuzi mzuri mlio uchukua wakutaka mabadiliko kwa mawaziri.
naona idadi ya 'wahapa hapa' inazidi kuongezeka! ni ugonjwa mbaya kupita ebola! watu wenye huu ugonjwa ni wa kutengwa nao.