Hahahaaaa yataka roho ngumu sana kaka. Kuna kipindi ukiwa njiani unawaza hivi niko timamu kweli kichwani au nishakuwa msukule napelekwa kuzimu!!? Kitakacho kupa nguvu ni abiria wezako tena wengine wahajui hata watafikia wapi lkn wako wanalisongesha mbele tu. Lakini huko kwetu vijana wengi tu wako Mali wanafanya mining job sasa angalia Mali na hapa South ucheki umbali.
Dada naamini hata haya yanaenda kwa sababu ya kuipenda familia yangu. Asante sana japo tarudi kwanza na kugeuza tena kikazi zaidi.Usiisahau familia yako, maisha ni mbele kwa mbele, unaweza ukatoka zaidi kimaisha.
Watu wa kanda ya ziwa kwa story kama kaka yao Shigongo
Karibu sana, Durban hapo janaWatu wa kanda ya ziwa kwa story kama kaka yao Shigongo
Umejiunga Jamiiforum 2013 Dec 29Watu wa kanda ya ziwa kwa story kama kaka yao Shigongo
Tupe feedback mkuu Ng'wanapagiKaribu sana, Durban hapo jana
Niko busy kutafuta hela kwa njia sahihi badala ya kuuza utu wangu na heshima ya mke wangu kwa kuolewa na wanawake.Umejiunga Jamiiforum 2013 Dec 29
Likes received 1
Posts 52
Baadhi ya posts zako:
-Anaejua namba ya huduma kwa wateja CRDB
-Eneo la hekari 5 linauzwa Dodoma
-Mengi na Gesi Mtwara
Msaada ninaokupa,kuhusu CRDB geuza nyuma ya kadi yako ya ATM utaziona hizo namba kwaheri.
Feedback ni kwamba kuzamia si jambo jepesi,unatakiwa uwe kama chizi fulani, mwachie mungu na si binadamu,mnaotaka au kama una ndoto za kuzamia kwanza usikimbilie kuoa kama mimi utakuwa na mambo mengi sana kichwani hasa fursa kama mazigira yakikuvutia. Pia kutembea ni bonge la chuoTupe feedback mkuu Ng'wanapagi
Wazo zuri na mimi niko napambana na maisha ndani na nje ya nchi kwa kapani ya mtu yoyote mwema.Niko busy kutafuta hela kwa njia sahihi badala ya kuuza utu wangu na heshima ya mke wangu kwa kuolewa na wanawake.
According to your story yeah ni watu wema na utatoka tu kaka kaza buti.Wazo zuri na mimi niko napambana na maisha ndani na nje ya nchi kwa kapani ya mtu yoyote mwema.
Hahahaaaa na ki ingilishi juu safi sana mkuu brightoscar.According to your story yeah ni watu wema na utatoka tu kaka kaza buti.
ile simu yetu Nokia Asha ya 150000,inatoa picture nzuri hivi???Karibu sana, Durban hapo jana
we mchokozi balaaaile simu yetu Nokia Asha ya 150000,inatoa picture nzuri hivi???
natania,feedback plz.
Kumbe ulizamia, vipi ulionana na maza wa south? Na wa Botswana?Hahahaaaa na ki ingilishi juu safi sana mkuu brightoscar.