Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,125
- 8,627
- Thread starter
- #261
Dada ni kweli ila nisamehe niliblok akaunti ya whatsapp kuepusha maswali ila nishawahi siku moja kukuambia kabla ya shambulio la huko kwenu kuhusu kusafiri kuja huku kama unakumbuka. Unakuja lini Tz?. Lengo la huku ni kuja kufahamiana na kufahamu nini nafanya kwa ajili ya life langu then tageuza home na kurudi mazima.sikuiona hii,vipi upo Botswana ama?halafu kwa nini hukunicheki whatsapp dada yako mie ningekushauri mawili matatu