Maamuzi ya baraza la mawaziri sasa ni kinga ya Mafisadi?

UWEZO WA KUFIKIRI UNAISHIA PALE AMBAPO MWANADAMU ANALAUMU BILA KUTOA SULUHISHO.iweje leo tuna chama kikuu cha upinzani CDM bado tuna mawazo mgando ya kuwa hawawezi kufanya lolote?Nchi zote zilizofanya mabadiliko ya kidemokrsia viongozi wake wastaafu wamewajibika.mf zambia,malawi.Sisi tunabaki tunaongea pumba kali about CDM. tAFAKARI CHUKUA HATUA ACHA KULALAMIKA.
[MENTION]
ngalelefijo[/MENTION] mwenzetu ambaye huna mawazo mgando mbona unatoa mifano ya nchi ambazo ziliwaamini wapinzani lakini baada ya miaka 20 wakarudi kulekule walikotoka baada ya kugundua tatizo ni mfumo na wala siyo vyama...............rekebisha mfumo wa kiutawala na kuuleta mikononi mwa raia na hapo kutakuwa na uwajibikaji ambao ni endelevu..........................kama haya ni mawazo mgando hebu tusaidie mawazo yako ambayo ni ni ya kileo.
 
Jamani mkifuatilia sana haya mambo ya Ufisadi nchini mtajapata pressure bure..! This style is likely to the Jungle law so kila mtu aendelee kula kulingana na urefu wa kamba yake. Watz hatuna namna ya kuyaondoa haya zaidi ya kuendelea kuona usanii tu ukitendeka. Namkumbuka sana Darwin ninapoyaona haya! MUNGU ATUSAIDIE!
[MENTION]
Negembo[/MENTION] tatizo ni kuwa vya kuiba vitakapokwisha itakuwa zamu ya kutafunana wenyewe mchana kweupe......................na ndiyo maana waswahili husema usipoziba ufa utajenga ukuta........
 
Mimi binafsi nimechoka kuijadili Tanzania na serikali yake na vilongozi wake maana wote ni waongo wanafiki wazembe wazee wafitina walevi..oops sorry i meant wezi nk nk nk nk wacha wafanye vile wanataka mwisho upo unakuja.. wamenichosha mimi hawa watu.

Pakawa kuchoka tu haitoshi............wakatae
 
Last edited by a moderator:
Ruta, tunacheza mchezo wa aina yake kweli...ngoja tuone mambo yanavyokwenda.Kikatia, kwani baraza la mawaziri liko juu ya sheria kwa maamuzi yake?

Ndahani hawa watawala wamejipanga kudai maamuzi ya baraza la mawaziri yapo juu ya sheria na mkakati wao ni kuonyesha hivyo kupitia mahakimu amabao waliwapa upendeleo katika kuwaajiri.................yaani vihiyo.
 
Last edited by a moderator:
Basi maamuzi ya Baraza la mawaziri na BORA zaidi na yatupasa tuyaenzi kwani hakuna na wala hutuwezi kuwa na BARAZA au MABARAZA mengine yaliyo bora zaid ya tuliyonayo au tuliyowahi kuwanayo!. (hii ni kutokana na msimamo wako kuwa CCM ni bora zaidi). Na kwa kuwa CCM hawataki kubadilika na hawatawahi kubadilika wakiwa madarakani!. Maoni yangu ni kuwa uache kulalamikia maamuzi yanayotokea kwani unakubaliana na watekelezaji wake.

By the way, Mfumo huu unaoutumia kama kinga kwa YOUR UNTOUCHABLE PART CCM umeshushwa na Mungu yupi?
na ni nani ataubadilisha na kwa utaratibu ipi?.
[MENTION]
Kyaiyembe[/MENTION] kumbuka mjenga nchi ni mwananchi na mvunja nchi ni mwananchi...................tusikate tamaa hapo kama uwezo wa kulirekebisha hili pantoni bado tunao.........
 
Katika khali inayoonyesha kuwa serikali ya ccm inaoongozwa na taswira za upofu usio na tiba, sasa utetezi wa vinara wa kesi za ufisadi wamekuja na mbinu mpya kabisa........... wanatumia ubatili wa maamuzi wa vikao vya baraza la mawaziri na hata kumwita mahakamani kasisi wao Mkuu wa ufisadi Ben Mkapa kama ni kinga ya maovu waliyoyafanya dhidi ya raia wasio na hatia wa taifa hili!

kesi ya mahalu na wenzie ilifutwa kwa mbinu hizi chafu ambazo ni kinyume na sheria na ile ya Pesambili Mramba na wenzie inaonyesha mwelekeo uleule.........utetezi wenyewe una sura inayoshahibiana na hivi................kuwa serikali iliruhusu tuibe sasa kosa letu ni lipi..............na kama mnabisha iteni hata jemedari mkuu wa ufisadi ben Mkapa na hata wasaidizi wake wa karibu watawathibitishia hakuna rushwa kwa sababu baraza lote la mawaziri liliafiki tule na pengine hata baadhi yao ndiyo waliotutuma tuwaibie watanzania wanyonge...............kwa hiyo kama baraza zima la mawaziri liliweka tiki sasa sisi watekelezaji wa ufisadi tuna makosa gani kama wahariri wake hawaguswi siye tuna makosa gani...............................kwa lugha nyingine ni kuwa kama kweli taifa limeazimia kupambana na ufisadi inabidi tuanze kuliwajibisha baraza la mawaziri hususani mwenyekiti wa vikao hivyo..................kabla hatujawafikia dagaa kama hawa akina Pesambili, Mahalu na wenzao..............

wakiona hakimu hapokei rushwa wanamkataa na kutumia ushawishi wao kwa msajili wa mahakama kupata hakimu ambaye atatoa maamuzi wayatakayo........................

huu ni ushahidi tosheleza ya kuwa ufisadi unaanzia Ikulu na kutitirika hadi kwa balozi wa nyumba kumi na baadaye kwa kila raia kujivunia dhuluma................

Waswahili hulonga........"mwiba uingiliako ndiko utokeako."..............kwa vile ufisadi wote huanzia au kichocheo chake ni ikulu basi tuanzie huku kuushughulikia vinginevyo...................the war against graft is a huge distraction............................what do you think?

hata mimi nimeanza kushtukia huu mpango wao wa kumtaja 'mkapa' kwenye kesi zao za uhujumu uchumi.

mimi nafikiri katiba mpya iingize sheria za Uchina kidogo, watu wanyongwe, nadhani hawa mafisadi watayeyuka kama theluji ipigwayo na jua na nchi yetu hatimaye itapiga hatua kimaendeleo.
 
na ikumbukwe mtoto wa Mramba ni mmoja wa wamiliki wa hiyo kampuni feki...................na pia BOT Bodi ya magavana ipo pale kwa ridhaa ya waziri wa fedha..................huyu inavyoelekea atafungwa tu.........

...hahahahaha..nikumbushe mahusiano ya mkapa na mramba..wanaunganishwa wapi?...nimesahau kdg
 
Yote uliyosema yanajulikana, wenye akili washajionea kuwa ni sarakasi zilezile..............hatua ya kwanza ni kufanya jitihada ya kuondoa hii kinga ya Rais............Katiba mpya regardless itapatikana lini lazima Rais apunguziwe madaraka na Umungu wake uondolewe.
 
Yote uliyosema yanajulikana, wenye akili washajionea kuwa ni sarakasi zilezile..............hatua ya kwanza ni kufanya jitihada ya kuondoa hii kinga ya Rais............Katiba mpya regardless itapatikana lini lazima Rais apunguziwe madaraka na Umungu wake uondolewe.
[MENTION]
Elizabeth Dominic[/MENTION] hivi unaamini kuna kinga ya Raisi kwenye makosa ya jinai?
 
...hahahahaha..nikumbushe mahusiano ya mkapa na mramba..wanaunganishwa wapi?...nimesahau kdg
[MENTION]
mtu chake[/MENTION] Mkapa alimteua mramba kuwa wziri wake wa fedha..inamaanisha alimwamini.....................mramba anadai hii Alex Stewart ni mashinikizo ya Mkapa na BOT..........kama huoni mpira umechezwa vipi basi endelea kuuchapa...........
 
hata mimi nimeanza kushtukia huu mpango wao wa kumtaja 'mkapa' kwenye kesi zao za uhujumu uchumi.

mimi nafikiri katiba mpya iingize sheria za Uchina kidogo, watu wanyongwe, nadhani hawa mafisadi watayeyuka kama theluji ipigwayo na jua na nchi yetu hatimaye itapiga hatua kimaendeleo.

Ng'wanangwa tatizo la kunyonga ni kuwa hakuna ushahidi wowote watu wanahofu kunyongwa na hivyo kuabdili mienendo yao.........................pili utakapobaini umenyonga asiye na hatia hivi unaanzia wapi kumfidia yeye na wsale wanaomtegemea?
 
Last edited by a moderator:
....pili utakapobaini umenyonga asiye na hatia hivi unaanzia wapi kumfidia yeye na wsale wanaomtegemea?

ndo maana watu wanapinga kuteuliwa kwa majaji vihiyo. enzi za 'sheria za mchina' zitakapowadia integrity ya majaji itakuwa juu pia, hawawezi kutoa hukumu kwa shinikizo la maagizo ya wanasiasa kama ilivyo sasa kwa baadhi ya kesi.
 
ndo maana watu wanapinga kuteuliwa kwa majaji vihiyo. enzi za 'sheria za mchina' zitakapowadia integrity ya majaji itakuwa juu pia, hawawezi kutoa hukumu kwa shinikizo la maagizo ya wanasiasa kama ilivyo sasa kwa baadhi ya kesi.
[MENTION]
Ng'wanangwa[/MENTION]

Katiba mpya inapaswa kuweka sifa za utumishi wa umma ambazo zitaonyesha ya kuwa nafasi zote zitatangazwa kwenye vyombo vya khabari na kutoa ushiriki sawa kwa watanzania wote katika kuajiriwa............pili, kutakuwa na utaratibu wa "vetting' ambaoio raia yeyote mwenye malalamiko nayo haki ya kufika kwenye jopo la usaili kutoa dukuduku zake..................kwa kufanya hivyo majaji vihiyo tutawapunguza sana.........
 
Back
Top Bottom