Maamuzi ya baraza la mawaziri sasa ni kinga ya Mafisadi?

Ndallo........................tatizo la Warioba naye ana ufisadi wake pale...........................kwenye EPA alilamba hela hadi leo hajawahi hata kutuomba msamaha wala kuzirejesha na leo ndiye anaaminika kutuandikia katiba mpya ya kutunyongelea mbali akidai ndiyomatakwa ya wadanganyika................

Ni kweli Ruta! Lakini katika usemi huo wa Basi Inatosha kutoka kwa WaTZ hata yeye itamuhusu kama tuhuma hizo za Epa ni kweli.
 
Nashukuru umesema nilichotaka kuchangia.

Kimsingi cho chote kilichoamuliwa na Baraza la Mawaziri kimeamriwa na Rais, hao akina Mahalu sijui nani ni watekelezaji tu, hivyo inakuwa ngumu sana kuwatia hatiani mbele ya sheria, labda utumie udikteta ndo utamfunga. Na ndio maana hata Mramba anaanza kusema alisamehe kodi kwa amri ya Rais, kwahiyo naye ataachiwa tu, wanapoteza bure kodi zetu kwa kuendesha kesi kama hizo.
 
CCM ni mwendo wa kulindana tu kwa kuwa wanakula pesa za walipa kodi na wakipelekwa mahakamani wanateteana!

Chama Cha Mafisadi (CCM) kinafikia mwisho wa enzi za kutesa, kwani hata wananchi wa vijijini wameanza kuchoka. Sijuai mtamwongopea nani.
 
mkuu Rutashubanyuma,

Mimi kila ninapokumbuka mchoro wa wizi katika EPA na ukweli kuwa uliratibiwa na CCM na kupewa baraka zote na mkuu mwenyewe huwa nachoka kabisa na kwa kweli ingawa mimi sipendi kuwa cynic lakini naamini kwa dhati kabisa EPA imekuwa ni pandora's box ambayo imehalalisha wizi and all kind of nasty stuff by the system.

To me EPA imekuwa ni sinema ya kweli...kilichotokea ni kitu ambacho kingepaswa kutokea kwenye movie...but the reality ni kuwa kimetokea katika maisha halisi....astonishing!

Nilisoma kuhusu the so called chess masters and the like mfano katika novel fulani ikiitwa The Almighty ikimhusu jamaa akiitwa Edward Armstead(kama sijakosea, nliisoma long time nikiwa form two back in 1992)....the link is below:

Great Books that I liked: The Almighty (published in 1982) by Irving Wallace - A power drunk man

Mkuu, wanachokifanya sasa ni kutumia hiyo kinga ya raisi ya kutoshtakiwa...so, ukishasema nlipata approval ya rais..umemaliza...hakuna kesi hapo!

Like that Zakia Meghji alisingizia usalama wa taifa katika issue ya KAGODA pale delloitte auditors walipotaka some informations na Pinda akatumia the same excuse kukataa kujibu hoja ya Zitto Kabwe bungeni last year or the year before kuhusu MEREMETA.

Honestly, sasa naamini, nothing happens in this world that is not planned!!!

Am speechless!!!
 
Katika khali inayoonyesha kuwa serikali ya ccm inaoongozwa na taswira za upofu usio na tiba, sasa utetezi wa vinara wa kesi za ufisadi wamekuja na mbinu mpya kabisa........... wanatumia ubatili wa maamuzi wa vikao vya baraza la mawaziri na hata kumwita mahakamani kasisi wao Mkuu wa ufisadi Ben Mkapa kama ni kinga ya maovu waliyoyafanya dhidi ya raia wasio na hatia wa taifa hili!

kesi ya mahalu na wenzie ilifutwa kwa mbinu hizi chafu ambazo ni kinyume na sheria na ile ya Pesambili Mramba na wenzie inaonyesha mwelekeo uleule.........utetezi wenyewe una sura inayoshahibiana na hivi................kuwa serikali iliruhusu tuibe sasa kosa letu ni lipi..............na kama mnabisha iteni hata jemedari mkuu wa ufisadi ben Mkapa na hata wasaidizi wake wa karibu watawathibitishia hakuna rushwa kwa sababu baraza lote la mawaziri liliafiki tule na pengine hata baadhi yao ndiyo waliotutuma tuwaibie watanzania wanyonge...............kwa hiyo kama baraza zima la mawaziri liliweka tiki sasa sisi watekelezaji wa ufisadi tuna makosa gani kama wahariri wake hawaguswi siye tuna makosa gani...............................kwa lugha nyingine ni kuwa kama kweli taifa limeazimia kupambana na ufisadi inabidi tuanze kuliwajibisha baraza la mawaziri hususani mwenyekiti wa vikao hivyo..................kabla hatujawafikia dagaa kama hawa akina Pesambili, Mahalu na wenzao..............

wakiona hakimu hapokei rushwa wanamkataa na kutumia ushawishi wao kwa msajili wa mahakama kupata hakimu ambaye atatoa maamuzi wayatakayo........................

huu ni ushahidi tosheleza ya kuwa ufisadi unaanzia Ikulu na kutitirika hadi kwa balozi wa nyumba kumi na baadaye kwa kila raia kujivunia dhuluma................

Waswahili hulonga........"mwiba uingiliako ndiko utokeako."..............kwa vile ufisadi wote huanzia au kichocheo chake ni ikulu basi tuanzie huku kuushughulikia vinginevyo...................the war against graft is a huge distraction............................what do you think?

Wanajitundika kwenye maamuzi ya ikulu na Baraza la Mawaziri kwa sababu wanaelewa jambo likithibitika lilifanyiwa maamuzi kwenye ngazi hizo lazima kesi ife kwa sababu, tulipitisha sheria ya kinga kwa Rais hata baada ya kutoka madarakani, na kwamba maamuzi ya baraza la mawaziri ni matakatifu. Sina uhakika kama mtu anaweza kulipeleka baraza lote la mawaziri mahakamani.

Bunge letu pia hupitisha sheria kandamizi kwa wananchi lakini lenyewe linajiwekea kinga. Huwezi kulishitaki bunge. Wabunge pia hupitisha sheria za kodi kandamizi lakini wao hujisamehe kodi

Kwa hiyo tuanze kwenye sheria zetu, zitoe haki sawa kwa kila raia. Vinginevya huu mchezo utaendelea hadi nchi hii itaanza kupigana wenyewe kwa wenyewe kwa sababu wananchi watakua hawana njia nyingine ya kudhibiti wizi bali kupambana. Tukifikia hapo hata hao mafisadi watakimbia nchi watatuacha tukichinjana
 
Rutashubanyuma Ufisadi utaisha endapo mfumo mzima ilopo madarakani utaondolewa kabisa pamoja na katiba yao kiraka kwan katiba inawalinda wa haohao ndio wako madarakani hakuna kunguru ampigae kunguru mwenzio na ukiona wanapigana ujue wanacheza hao, sasa basi ni wakati wa kila mmoja mwenye kuhitaji Tanzania tukufu na si nyumba ya mafisadi anapaswa kubalika kwa kila kitu kwanza akatae katika nafsi yake kuwa anaichukia na kujiapiza ndani yake kuwa siko tayari kuona Tanzania na watanzania wake wasio na hatia wakitaabika na wachache wakifaidi neema zilizopo ndani yake, Kwa staili hii nina huakika ufisadi utakoma Tanzania tunahitaji viongozi au kiongozi mmoja mkuu ambaye atasimamia maslai ya taifa na si maslai binafsi. Watanzania muda wa kufanya mabadiriko ni sasa jamani tubadirike kwa kutumia chaguzi tuchague kiongozi na viongozi thabiti katika kusimamia maslai ya taifa letu na sio maslai yake binasfii
 
vipik2 ukiona katiba mpya bado raisi na tume yake fekki ya kimahakama ndizo zinaendelea kuteau majaji ujue ya kuwa tumetapeliwa.........................................ajira zote za umma lazima zitangazwe kwenye vyombo vya umma na zitoe fursa sawa kwa wote kuziomba siyo huu utamaduni wa kupeana ugali kwa kujuana halafu kazi inakuwa kuteteana.................................katika ufisadi............
inanipelekea kufikiri kwamba muda wa kuandika katiba mpya bado kwa vile uelewa wa wa-Tanzania walio wengi bado ni mdogo na unawapa nafasi wanasiasa wapotoshaji kupenyeza ajenda zao za ki-chama kwa kuangalia waliopo madarakani na sio kuandaa mfumo ambao utadhibiti watakaokuwa wameshikilia uongozi. mchezo wa sasa ni kulindana kwa sana na kwa siku za karibuni tusitegemee chochote kwani mahakama, bunge na utawala kama vile sauti yao ni moja badala ya kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzake, akisema mmoja hata kama kakosea wengine wanafyata
 
Jueni siku zote kua mtu akitumwa akaibe na boss wake basi mwenye kosa zaidi si yule aliyeiv
ba bali ni yule aliyemtuma maana asingetumwa asingeiba.. Ndio maana mataifa ya ulaya utakuta kama umefanya kosa na ulitumwa basi FBI au MI6 wako tayari kukupunguzia adhabu ili mradi umtaje aliyekutuma so kwa hapa bongo hawa watu wanaopelekwa mahakamani ni small fish tungekua na fbi hapa wasingehangaika na hao wao wangetaka big fish wenyewe bongo hatuwezi hiyo
 
.

mtu chake........... Tatizo la hawa wagagagikoko ni kuwa..........................baraza la mawziri kamwe haliko juu ya sheria sanasana wanachofanikiwa kufanya ni kuiumbua serikali yao kuwa fisadi mkuu na nambari one ni Raisi wa jamhuri wa Muungano ambao ni ukweli lakini je kisiasa huo ni utetezi kweli?

Kisheria yawezekana ukawa ni utetezi kwa kudai mbona kambale hamjakamata mmenikamata mie dagaa.......tu kwa hiyo mmenibagua......................................lakini utetezi wa kipumbavu kama huo unathibitisha ufisadi ulifanyika ila kuna hila y kumlinda bosi wao ambaye ndiye Raisi..............sasa hapo inaoonyesha ofisi ya DPP, AG na Takukuru haziko huru katika kufanya kazi zao..................vibosile pale hawana uhalali wa ofisi zao kwa sababu mbeleko za kuwabeba zinatoka kwa ridhaa ya fisadi mkuu ambaye ndiye Raisi na kawaweka pale ili wamsaidie kufunika maovu yako dhidi ya jamii.....

Ruta,
Uzi wako huu hitimisho lake ni kwamba ktk nchi yetu hakuna mtu wa kumkamata mwingine miongoni mwa vigogo. Mkapa hawezi kumtosa mtu ye yote ktk baraza lake kwa kuwa walikula wote wakati wao. Leo tukimshinikiza JK ampeleke Lowasa & co mahakamani hawezi kwa kuwa naye alikula nao sometimes some where. Vivyo hivyo, Jk hana moral authority ya kubadili Sheria na kumwajibisha Mkapa kwa sababu mkapa kwa network yake na intelligence anajua miradi yote yaliyoko mafichoni ya JK.
Suluhisho la kuondoa ufisadi Tz ni kuiondoa ccm madarakani. Full stop.
Hilo ndilo lilikuwa pia pendekezo langu jana ITV-malumbano wakati tunajadili Tz kufanya vibaya ktk olympik.

 
Kijereshi inabidi tuendelee kuhoji jinsi taasisi ya DPP na takukuru ikiwemo idara ya usalama zinaundwa vipi na kama kweli zina mchango wowote katika maendeleo ya taifa...............au tumerundika watu kutafuna helza za umma ili kushamirisha dhuluma tu?

Ruta, TAKUKURU inawezekana uundwaji wake ulikuwa na nia nzuri lakini watendaji wake coupled with uteuzi ni questionable na kauli zao nafikiri zinahakisi utendaji wao. Kumbuka incumbent oaboss alikabidhiwa mikoba ya mtangulizi wake wakati mtangulizi alikuwa hajatoa barua ya kujihudhuru au kufutwa kazi. Katika hali ya ukweli na uwazi (truth and transparency) huu sio utendauji uliojaa weredi na kusudio la kuwasaidia walengwa wanaoumizwa na vitendo vibaya vya rushwa. Kwanza kwa mtuliwa huwezi hata siku moja ukajiamini maana wakati wote unaogopa kivuli chako ukifikiri umma wanajua umehusika kumchongea mtangulizi wako, umeshindwa kuwa na kiburi cha kumwambia mteuzi afate uthristimas naaratibu hata kama mamlaka anayo lakini anatakiwa aongozwe na reservation na mwisho lazima ufanye kila kitu kwa kumfurahisha mteuzi ili lisije likakukuta lilimsibu mtangulizi. Huyu ndiye kinara wa kupambana na rushwa mtoto wa uteuzi wenye utata na maamuzi lazima yawe tata. Kwa mfano nitawapa sikukuu ya Christimas na Mwaka Mpya wakati wa saga la Richmond na mwisho aliishia kuwa hakimu wakati kazi yake ni kutetea kesi mahakamani. Angekuwa mkweli bunge lilipokuwa na shaka na maamuzi yake na kulijadili upya hata kabla Tume ya Mwakyebe haijamtuhumu alipaswa awe amejiuzuru na heshima yake mbele ya umma ingekuwa kubwa. Sasa katika taasisi yenye utata wa aina hii inabidi ifanyiwe overhaul maana naona ni kama pesa za walipa kodi zinaliwa bure maana through this institutions the county does niriot enjoy value for money. Afisa wa PCCB anachukua usafiri wa umma anatembea for some kilomenters kufukuzana na traffic polisi aliyekula rushwa chini ya laki moja au hakimu wa mahakama ya mwanzo aliyekula 50k, kweli hapa kuna logical and strategic decisions. Operational Costs kubwa kuliko alichoenda kukamata hapo hatujasema risk. Hawa wala rushwa ndogondogo wanahitaji kuboreshewa viapato vyao wa kuangaika nao ni wale waliosaini mikataba mikubwa ambayo kwayo tunapata ahsara ya trilions of money. PCCB ivunjwe, iundwe upya ipewe job descriptions that will hatch value for money na isteuliwe na wanasiasa bali na kamati maalumu ya bunge na wahisika wake waombe kazi sio uteuzi halafu iwajibike kwa bungw au mahakama na sio ikulu
 
Tetty na tudadasi hivi hawa maharamia ni vigezo vipi hutumika kuwateua kwa usiri mkubwa..................mbona raia waote hawapewi fursa sawa ya kuziomba nafasi husika?

mbona ushauri wa TISS na vyombo vingevyo haujaweza kutuletea viongozi bora......................tatizo liko wapi?

Rutu ya a, hapa Tanzania watendaji wetu wanashindwa kuwa na hofu ya Mungu na ndio maana tumeweka vyombo visivyojulikana ili kuwajengea wanannchi hofu ya kuhoji. Bwana Yesu alisema vizuri kuwa hakuna nayewasha taa na kuiweka uvunguni bali huweka juu ya meza ili ipate kuwamulika watu. Sasa hiyo TISS ni kama taa iliyowekwa chini ya uvungu wa kitanda na hatujui inammulika nani. Na kwa jinsi ilivyoshindwa kujua majukumu yake ni kuwasaidia watu gani-vionogozi tena wasio na tija au wananchi sasa inajitokeza kujibu shutuma kiajabu ajabu. Mambo ya aibu yaefanyika wakati eti tuna chombo nyeti kilichoshindwa kuzuaia hayo mambo-EPA, RICHMOND, Meremeta, Tangold, Symbion, BOT Majengo Pacha, ATC na ukodishwaji wa ndege, TICS, Bandari, oh litania ni ndefu. We need overghaul. Kenya wamelijua ndio maana kazi nyingi za utendaji sasa hivi zinatangzwa na watu wanaomba na kufayiwa usahili kweupe katika jua la utosi na kila mwananchi anaona na kufatilia
 
Katika khali inayoonyesha kuwa serikali ya ccm inaoongozwa na taswira za upofu usio na tiba, sasa utetezi wa vinara wa kesi za ufisadi wamekuja na mbinu mpya kabisa........... wanatumia ubatili wa maamuzi wa vikao vya baraza la mawaziri na hata kumwita mahakamani kasisi wao Mkuu wa ufisadi Ben Mkapa kama ni kinga ya maovu waliyoyafanya dhidi ya raia wasio na hatia wa taifa hili!

kesi ya mahalu na wenzie ilifutwa kwa mbinu hizi chafu ambazo ni kinyume na sheria na ile ya Pesambili Mramba na wenzie inaonyesha mwelekeo uleule.........utetezi wenyewe una sura inayoshahibiana na hivi................kuwa serikali iliruhusu tuibe sasa kosa letu ni lipi..............na kama mnabisha iteni hata jemedari mkuu wa ufisadi ben Mkapa na hata wasaidizi wake wa karibu watawathibitishia hakuna rushwa kwa sababu baraza lote la mawaziri liliafiki tule na pengine hata baadhi yao ndiyo waliotutuma tuwaibie watanzania wanyonge...............kwa hiyo kama baraza zima la mawaziri liliweka tiki sasa sisi watekelezaji wa ufisadi tuna makosa gani kama wahariri wake hawaguswi siye tuna makosa gani...............................kwa lugha nyingine ni kuwa kama kweli taifa limeazimia kupambana na ufisadi inabidi tuanze kuliwajibisha baraza la mawaziri hususani mwenyekiti wa vikao hivyo..................kabla hatujawafikia dagaa kama hawa akina Pesambili, Mahalu na wenzao..............

wakiona hakimu hapokei rushwa wanamkataa na kutumia ushawishi wao kwa msajili wa mahakama kupata hakimu ambaye atatoa maamuzi wayatakayo........................

huu ni ushahidi tosheleza ya kuwa ufisadi unaanzia Ikulu na kutitirika hadi kwa balozi wa nyumba kumi na baadaye kwa kila raia kujivunia dhuluma................

Waswahili hulonga........"mwiba uingiliako ndiko utokeako."..............kwa vile ufisadi wote huanzia au kichocheo chake ni ikulu basi tuanzie huku kuushughulikia vinginevyo...................the war against graft is a huge distraction............................what do you think?

kesi ya Mahalu haikufutwa kwa sababu hizo..Ilifutwa kwa kuwa ilikuwa ni kesi yenye majungu na upuuzi mtupu..so hakukuwa na jambo la maana katika kesi ile..wa kulaumiwa ni Jk anayefanya mambo kwa visasi
 
inanipelekea kufikiri kwamba muda wa kuandika katiba mpya bado kwa vile uelewa wa wa-Tanzania walio wengi bado ni mdogo na unawapa nafasi wanasiasa wapotoshaji kupenyeza ajenda zao za ki-chama kwa kuangalia waliopo madarakani na sio kuandaa mfumo ambao utadhibiti watakaokuwa wameshikilia uongozi. mchezo wa sasa ni kulindana kwa sana na kwa siku za karibuni tusitegemee chochote kwani mahakama, bunge na utawala kama vile sauti yao ni moja badala ya kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzake, akisema mmoja hata kama kakosea wengine wanafyata

Silly tukijielewa tulipo ni hatua ya kujikomboa kutoka kwenye minyororo ya watawala.........
 
Last edited by a moderator:
kesi ya Mahalu haikufutwa kwa sababu hizo..Ilifutwa kwa kuwa ilikuwa ni kesi yenye majungu na upuuzi mtupu..so hakukuwa na jambo la maana katika kesi ile..wa kulaumiwa ni Jk anayefanya mambo kwa visasi
[MENTION]
Yaya Toure[/MENTION] hebu fafanua kama sheria ya manunuzi ilifuatwa katika mchakatuo huo.......................hata mkapa alikiri kuwa haukufuatwa ila ni maamuzi ya baraza la mawaziri.............swali la kujiuliza hivi baraza la mawaziri lipo juu ya sheria? Jibu ni kuwa hapana............................sasa majungu yako wapi wakati sheria hazifuatwi na kuna masilahi gani ya kukwepa sheria?
 
Rutu ya a, hapa Tanzania watendaji wetu wanashindwa kuwa na hofu ya Mungu na ndio maana tumeweka vyombo visivyojulikana ili kuwajengea wanannchi hofu ya kuhoji. Bwana Yesu alisema vizuri kuwa hakuna nayewasha taa na kuiweka uvunguni bali huweka juu ya meza ili ipate kuwamulika watu. Sasa hiyo TISS ni kama taa iliyowekwa chini ya uvungu wa kitanda na hatujui inammulika nani. Na kwa jinsi ilivyoshindwa kujua majukumu yake ni kuwasaidia watu gani-vionogozi tena wasio na tija au wananchi sasa inajitokeza kujibu shutuma kiajabu ajabu. Mambo ya aibu yaefanyika wakati eti tuna chombo nyeti kilichoshindwa kuzuaia hayo mambo-EPA, RICHMOND, Meremeta, Tangold, Symbion, BOT Majengo Pacha, ATC na ukodishwaji wa ndege, TICS, Bandari, oh litania ni ndefu. We need overghaul. Kenya wamelijua ndio maana kazi nyingi za utendaji sasa hivi zinatangzwa na watu wanaomba na kufayiwa usahili kweupe katika jua la utosi na kila mwananchi anaona na kufatilia
[MENTION]
Bigaraone[/MENTION] tatizo letu sisi ni wavivu kufuatilia na matokeo yake tukipewa peremende nyakati za uchaguzi tunajiuza kwa bei poa khalafu baada ya uchaguzi subira hutuandama..........na tunawalilia walewale wanaotudhulkumu ati watulegezee masharti................................itawezekana hapo?
 
Ruta, TAKUKURU inawezekana uundwaji wake ulikuwa na nia nzuri lakini watendaji wake coupled with uteuzi ni questionable na kauli zao nafikiri zinahakisi utendaji wao. Kumbuka incumbent oaboss alikabidhiwa mikoba ya mtangulizi wake wakati mtangulizi alikuwa hajatoa barua ya kujihudhuru au kufutwa kazi. Katika hali ya ukweli na uwazi (truth and transparency) huu sio utendauji uliojaa weredi na kusudio la kuwasaidia walengwa wanaoumizwa na vitendo vibaya vya rushwa. Kwanza kwa mtuliwa huwezi hata siku moja ukajiamini maana wakati wote unaogopa kivuli chako ukifikiri umma wanajua umehusika kumchongea mtangulizi wako, umeshindwa kuwa na kiburi cha kumwambia mteuzi afate uthristimas naaratibu hata kama mamlaka anayo lakini anatakiwa aongozwe na reservation na mwisho lazima ufanye kila kitu kwa kumfurahisha mteuzi ili lisije likakukuta lilimsibu mtangulizi. Huyu ndiye kinara wa kupambana na rushwa mtoto wa uteuzi wenye utata na maamuzi lazima yawe tata. Kwa mfano nitawapa sikukuu ya Christimas na Mwaka Mpya wakati wa saga la Richmond na mwisho aliishia kuwa hakimu wakati kazi yake ni kutetea kesi mahakamani. Angekuwa mkweli bunge lilipokuwa na shaka na maamuzi yake na kulijadili upya hata kabla Tume ya Mwakyebe haijamtuhumu alipaswa awe amejiuzuru na heshima yake mbele ya umma ingekuwa kubwa. Sasa katika taasisi yenye utata wa aina hii inabidi ifanyiwe overhaul maana naona ni kama pesa za walipa kodi zinaliwa bure maana through this institutions the county does niriot enjoy value for money. Afisa wa PCCB anachukua usafiri wa umma anatembea for some kilomenters kufukuzana na traffic polisi aliyekula rushwa chini ya laki moja au hakimu wa mahakama ya mwanzo aliyekula 50k, kweli hapa kuna logical and strategic decisions. Operational Costs kubwa kuliko alichoenda kukamata hapo hatujasema risk. Hawa wala rushwa ndogondogo wanahitaji kuboreshewa viapato vyao wa kuangaika nao ni wale waliosaini mikataba mikubwa ambayo kwayo tunapata ahsara ya trilions of money. PCCB ivunjwe, iundwe upya ipewe job descriptions that will hatch value for money na isteuliwe na wanasiasa bali na kamati maalumu ya bunge na wahisika wake waombe kazi sio uteuzi halafu iwajibike kwa bungw au mahakama na sio ikulu
[MENTION]
Bigaraone[/MENTION] hakuna nia nzuri pale ambapo teuzi hizi hufanyika kwa usiri bila ya kuwauliza raia wanawaonaje wasailiwa.....................tuangalie Kenya wameonyesha njia siye tumebaki karne ya 18..................
 
Hakuna alie msafi ndani ya ccm!
[MENTION]
Mtoboasiri[/MENTION] mfumo mbovu ndiyo umezaa viongozi walafi.............kwa hiyo ccm haina tatizo bali tujifunge kibwebwe turekebishe mfumo na tuwe na mfumo utakaotuzalishia viongozi wazuri ambao kiukweli wanawajibika kwa raia................badala ya huu uwajibikaji ni kwa viongozi siyo kwa raia........
 
Back
Top Bottom