Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
good point,hawana haja na muungano huu. Ni haki yao ya msingi kuchagua watakacho.
Waondoke sasa, maneno matupu kila siku hayasaidii.
Nimeona mwingineanasema watanganyika wadai tanganyika yao ili wao znz waondoke..alaaaa....nanianataka kuondoka? Anayeona tabu aondoke, full stop.
Muungano huu wa kijanja janja, ondokeni basi na msilete habari za mikataba hapa. Muingie kwenye ea community kama nchi kamili, tushirikiane katika level hiyo.
Kelele za nini?
laiti mngeweka mazingira rahisi kama unavyosema mbona zamani muungano usingekuwepo. Mnau;inda kwa magego na nguvu zote. Rais wa nchi moja kuondolewa urais na kuwekwa chini ya ulinzi kwa kuukataa muundo huu, unazani ingekua mnataka kirahisi hicho si mngemruhusu akarudi zanzibar na mkawauliza wazanzibari wenyewe wanasemaje?
Mkaweka sheria kali hata muungano usisemwe ukisema muungano utajuta. Majeshi yakachanganywa.. Security ya zanzibar ikauliwa na kuachwa ya muungano ili kijulikane kila kitendekacho zenji. Mmetungangania halafu mudai tuondoke