Maalim Seif: Tunataka Zanzibar yetu!

mie naenda sana Unguja, manenoi haya utayakuta sana Pemba ila cha AJABU sana Unguja upuuiz huu hawataki kuusikia, hata huko Pemba utakuta kwa wananchi wa kawaida sana ila watu walioenda shule hawakubaliani sana na hoja zao ila hadharani wanaitikia maana wanakuambia la sivyo mtakuwa maadui wa kudumu.

Mie ni muumini wa serikali tatu naamini la sivyo maneno na chokochoko hizi hazitakwisha kabisa

bado upo kweny usingizi to toro,hivi kwan zile takwimu za Warioba ni za upande wa Pemba tu? me nahisi bado Watanganyika wengi wanaendeleza fitna na kasumba za babu wa Taifa lenu, hamitaki kubadilika wala hamuongei kwa hoja madhubuti, hiku ni kuonesha jins gani munavyoshindwa kuutetea Muungano haramu ambao kwa upande wenu munahisi ni Uasi kwa Zanzibar kudai Mamalaka kamili, lakini tunawaambia hay a sio maoni ya Pemba wala Unguja, ni matakwa ya kila Mzanzibar anayeijali heshma na utu wake!! na wimbi hili daima halizuiliki kwa Propaganda za cijukuu vya Nyerere, Watanganyika wenziwe!!!
 
Maalim Seif Sharif Hamad ahutubia mkutano mkubwa wa hadhara kisiwani Pemba hii leo na anasema:

"Mimi sitafuni maneno kwamba ni muumini wa Zanzibar yenye mamlaka kamili kitaifa na kimataifa itakayofuatiwa na mashirikiano kati yake na Tanganyika kupitia Muungano wa Mkataba.

Namshangaa leo anakuja kiongozi wa Zanzibar anasema tuna bendera na muhuri na wimbo wa taifa, hayo yanatosha. Hivi huyu anajua anachokisema au anatumikia maslahi ya waliomtuma? Una bendera gani hii ambayo mwisho wake Chumbe? Mimi nataka niione bendera ya Dola ya Zanzibar inapepea Umoja wa Mataifa, New York pale. Nataka tuwe na Paspoti ya Zanzibar, nikisafiri nitoe Paspoti ya nchi yangu. Nataka tuwe na Ofisi za Kibalozi za Zanzibar katika nchi za nje. Leo hata mamlaka ya kiuchumi hatuna.

Tumeamua rasilimali yetu ya mafuta na gesi asilia yasiwe mambo ya Muungano, mpaka leo Tanganyika wamekwamisha, wanatuzuia tusinufaike na rasilimali zetu tukajenga uchumi wetu. Wanasema tuna viwango na mfumo mmoja wa kodi lakini bidhaa zikitoka Zanzibar wanazitoza ushuru tena. Lengo ni kuua uchumi wetu ili hatimaye tudhoofike na tusalimu amri kwao. Yaguju! Wasahau hilo.

Leo hata katika mikutano ya kimataifa, viongozi wetu wa Zanzibar hawapewi heshima ya uwakilishi wa nchi yetu. Inafika mahala hata Naibu Waziri tu wa Bara anaongoza ujumbe wa Tanzania wakati kuna Waziri kamili kutoka Zanzibar lakini haheshimiwi. Tutarejesha mamlaka yetu kamili.

Tuwe na Benki Kuu, tuwe na sarafu yetu ya Zanzibar, tupange uchumi wetu kwa maslahi ya watu wetu. Tunataka tuwe na uanachama katika jumuiya na mashirika yote ya kimataifa. Tuwe na Waziri wa Mambo ya Nje wa Zanzibar. Tuwe na uwezo wa kuingia mikataba na nchi za kigeni.

Hayo ndiyo tunayoyataka. Tukisema hivi hatuna maana tunataka ugomvi na Tanganyika. Hapana! Tunataka tuwe majirani wema na Tanganyika kama tutakavyokuwa na ujirani mwema na Kenya. Hayo yatafikiwa kupitia Muungano wa Mkataba wa Madola mawili huru kamili."


Kama utasoma kwa Umakini Speech hii utaona Dhulma wanayofanyiwa wazanzibar na CCM
Mkuu nakushauri wewe pambana na Tanganyika, Maalim yeye anapambana na Zanzibar.
 
kweli na akiri zetu tukae jamvini tuanze kumjadili self chizi wa zanzibar mpenda madaraka,anaye hatarisha usalama wa zanzibar,kwanza uongozi wake alionewa huruma maana aling'ang'ania sana.wazee wa ngunguli wapi na wapi?
 
kweli na akiri zetu tukae jamvini tuanze kumjadili self chizi wa zanzibar mpenda madaraka,anaye hatarisha usalama wa zanzibar,kwanza uongozi wake alionewa huruma maana aling'ang'ania sana.wazee wa ngunguli wapi na wapi?
Wazanzibar twashkuru kwa chizi wetu Maalim Serif bado yupo hai na anatumia vuzuri pumzi zake ktkt kutuongoza na kuutanabahisha umma wa kizanzibar juu ya hili Jinamizi la Muungano ambalo CHIZI Nyerere alikuja nalo kwa lengo la kuimeza Zanzibar yetu, lakin Allah ameinusuru Zanzibar kutoka kweny mikono ya maluuni Nyerere, akaondoka yeye Zanzibar ameiyacha pale pale...!! na hakika ipo cku itakuwa kweli, hata kama Watanganyika watachukia!!
 
bado upo kweny usingizi to toro,hivi kwan zile takwimu za Warioba ni za upande wa Pemba tu? me nahisi bado Watanganyika wengi wanaendeleza fitna na kasumba za babu wa Taifa lenu, hamitaki kubadilika wala hamuongei kwa hoja madhubuti, hiku ni kuonesha jins gani munavyoshindwa kuutetea Muungano haramu ambao kwa upande wenu munahisi ni Uasi kwa Zanzibar kudai Mamalaka kamili, lakini tunawaambia hay a sio maoni ya Pemba wala Unguja, ni matakwa ya kila Mzanzibar anayeijali heshma na utu wake!! na wimbi hili daima halizuiliki kwa Propaganda za cijukuu vya Nyerere, Watanganyika wenziwe!!!

Wanapenda kukashifu mama zao kusingizia wametembea nae wakazaliwa wao. Hawaoni hata aibu. Eti wanamlilia sasa 'baba wa taifa' na duh ameacha mayatima mbululu kweli. Mpaka wa Zanzibari ndio wame wazindua kudai Tanganyila yao sasa wana Chadema kwa vile wako anti-Islam wanasaidia CCM kukandamiza Zanzibar!
 
Una uhakika na unachokisema ama ndiyo umejifunzia siasa kwenye Jamiiforums?

mie naenda sana Unguja, manenoi haya utayakuta sana Pemba ila cha AJABU sana Unguja upuuiz huu hawataki kuusikia, hata huko Pemba utakuta kwa wananchi wa kawaida sana ila watu walioenda shule hawakubaliani sana na hoja zao ila hadharani wanaitikia maana wanakuambia la sivyo mtakuwa maadui wa kudumu.

Mie ni muumini wa serikali tatu naamini la sivyo maneno na chokochoko hizi hazitakwisha kabisa

Amelewa madaraka huyo
 
Kitu gani ambacho hujaelewa hapo mkuu?

umemsoma Sefu kwa umakini au umekurupuka tu.

Leo mmepata Gesi mmeanza ubinafsi hivi bara tunarasimali asilia ngapi na hatujawai kufikiria kuwatenga.

hao wabunge walio kwenye Bunge la muungano wana kazi gani, na kwa nini wabunge watanganyika hawamo kwenye baraza la wawakilishi.

Nipe mchango wa serikali ya Zanzibar kugharamia serikali ya muungano.

Ni maslai ya ccm ndio yanayowafanya tuwe pamoja mpaka leo.
Kifupi Zanzibar ni Mzigo kwa Tanganyik kupitia ccm.!!

mie kweli naamini kwamba "siasa yako umejifunza JF" maana hata hujui jinsi gani Muungano wetu unavyoendeshwa, ila ntajitahidi nikufunue akili yako......
1 kwanza ujue kwamb rasilimali sio suala la Muungano, hivyo wew kama Mtanganyika usijivunie rasilimali zenu kwamb zinawanufaisha Wazanzibar, hilo si kweli na ndio viongozi wenu (Wavimba macho) bado wanakodolea macho mafuta na gesi ya Zanzibar kuifanya iwe ya Muungano huku dhabahu na migodi yao ikisalia nje ya Muungano!!!
2 baada ya Muungano, Nyerere alifanya hiyana na ikawa kila kitu cha Tanganyika sasa ni cha Muungano ili kuitekeleza ajenda yake ya kuimeza Zanzibar, ndio maana hadi leo Bunge la Tanganyika ndio Bunge la Muungano, hivyo Wabunge wetu wa Zanzibar wana hakki ya kuingia kwenye Bunge, na kwa wetu wa Zanzibar kwa vile kanchi yetu bado ipo hai, tuna tuna Bunge letu almaarufu Baraza la wakilishi(BLW) ambalo linashuhulika kwa masuala yasio ya Muungano kwa upande wa Zanzibar, sasa kaka yangu,Mtanganyika aingie BLW kwa kumuwakilisha nani wakati kile ni chombo ya Wazanzibar ?
mwisho unataka mchango wa SMZ kwenye Muungano, kiuhalisia SMZ haipaswi kuchangia hata senti tano, maana Serikali ya Muungano inavyanzo vya mapato kama TRA ambavyo hadi Zanzibar inafanya kazi, na Tanganyika ndio inayofaidi zaidi, na MFA woote Watanganyika wamekua wakifaidi kodi za Wazanzibar, maana mwisho wa siku Zanzibar hupewa mapato ya 4.5, wakati Zanzibar imechangia kwa kiwango kikubwa kwenye uundwaji wa BoT ambayo ndio mizizi ya uchumi wa Tanzania!!!
Huo ndio Muungano wetu ulivyo sio unakurupuka na kuropokwa, na kama Watanganyika munaamini Zanzibar ni Mzigo, mbona tokea miaka ya 70 haya maneno yapo na bado Zanzibar hamujaichia, mie nahisi hapa aliyebebwa (Zanzibar) ameshachoka kibebwa lakini, mbebaji(Tanganyika ) bado wanang'ang'ania.....
 
Wanapenda kukashifu mama zao kusingizia wametembea nae wakazaliwa wao. Hawaoni hata aibu. Eti wanamlilia sasa 'baba wa taifa' na duh ameacha mayatima mbululu kweli. Mpaka wa Zanzibari ndio wame wazindua kudai Tanganyila yao sasa wana Chadema kwa vile wako anti-Islam wanasaidia CCM kukandamiza Zanzibar!

taratiiiibu kijana, Nyerere ni mfuu tu, hana lolooote kwa Wazanzibar zaidi ya fitna na majungu aliyotuachia, ndio maana tunamkumbuka saana kijana wetu yule, aliyeshindwa ukwezi huku akiitaka nazi!!
RIP Nyerere fitina na kasumba zako tutazikumbuka daima!!!
 
muungano hauwezi kufa kwa hoja za kitoto unazozitoa huku jf, wewe mwanakijiji hauko tanzania, huna uchungu wowote na tanzania, mi nawashangaa sana watu wanaoyakubali mawazo yako, . muungano ni kwa ajili ya maslahi ya wote bara na visiwani, hatuwezi kuwa na serikali tatu haitakaa itokee tanzania hii..trust me ,serikali ni either moja au mbili tu

Acha kuzuia maoni ya wengine..kwani mm ndo katoa hiyo kauli au ndo kaleta huu uzi?...serikali moja au 2 kwanini leta hoja..
 
mie kweli naamini kwamba "siasa yako umejifunza JF" maana hata hujui jinsi gani Muungano wetu unavyoendeshwa, ila ntajitahidi nikufunue akili yako......
1 kwanza ujue kwamb rasilimali sio suala la Muungano, hivyo wew kama Mtanganyika usijivunie rasilimali zenu kwamb zinawanufaisha Wazanzibar, hilo si kweli na ndio viongozi wenu (Wavimba macho) bado wanakodolea macho mafuta na gesi ya Zanzibar kuifanya iwe ya Muungano huku dhabahu na migodi yao ikisalia nje ya Muungano!!!
2 baada ya Muungano, Nyerere alifanya hiyana na ikawa kila kitu cha Tanganyika sasa ni cha Muungano ili kuitekeleza ajenda yake ya kuimeza Zanzibar, ndio maana hadi leo Bunge la Tanganyika ndio Bunge la Muungano, hivyo Wabunge wetu wa Zanzibar wana hakki ya kuingia kwenye Bunge, na kwa wetu wa Zanzibar kwa vile kanchi yetu bado ipo hai, tuna tuna Bunge letu almaarufu Baraza la wakilishi(BLW) ambalo linashuhulika kwa masuala yasio ya Muungano kwa upande wa Zanzibar, sasa kaka yangu,Mtanganyika aingie BLW kwa kumuwakilisha nani wakati kile ni chombo ya Wazanzibar ?
mwisho unataka mchango wa SMZ kwenye Muungano, kiuhalisia SMZ haipaswi kuchangia hata senti tano, maana Serikali ya Muungano inavyanzo vya mapato kama TRA ambavyo hadi Zanzibar inafanya kazi, na Tanganyika ndio inayofaidi zaidi, na MFA woote Watanganyika wamekua wakifaidi kodi za Wazanzibar, maana mwisho wa siku Zanzibar hupewa mapato ya 4.5, wakati Zanzibar imechangia kwa kiwango kikubwa kwenye uundwaji wa BoT ambayo ndio mizizi ya uchumi wa Tanzania!!!
Huo ndio Muungano wetu ulivyo sio unakurupuka na kuropokwa, na kama Watanganyika munaamini Zanzibar ni Mzigo, mbona tokea miaka ya 70 haya maneno yapo na bado Zanzibar hamujaichia, mie nahisi hapa aliyebebwa (Zanzibar) ameshachoka kibebwa lakini, mbebaji(Tanganyika ) bado wanang'ang'ania.....

Wala Tanganyika haiibebi Zanzibar huo ni uzishi wa mwisho. Kwanza wamalize kutulipa 18bln ankara za malimbikizo ya malipo kutokana na.mgao wa mapato ya Muungano (hii ndio moja katika 'kero' (hasara) za muungano).

Miaka mingapi sasa imeundwa kamati ya pamoja ya fedha za Muungano na imetakiwa pamoja na mambo mengine ifunguliwe akaunti ya pamoja mpaka leo 'wenzetu' wa Tanganyika wanafanya ukiritimba na umangimeza.

Eti sasa baada ya mchakato wa Katiba na Serikali 3 CCM nsio inakuja na 2 na KUBORESHA Kero za muungano sio KUZIONDOA!!

TANGANYIKA kaeni chonjo hili haliepukiki ni letu sote na sio la Maalim Seif.
 
Wala Tanganyika haiibebi Zanzibar huo ni uzishi wa mwisho. Kwanza wamalize kutulipa 18bln ankara za malimbikizo ya malipo kutokana na.mgao wa mapato ya Muungano (hii ndio moja katika 'kero' (hasara) za muungano).

Miaka mingapi sasa imeundwa kamati ya pamoja ya fedha za Muungano na imetakiwa pamoja na mambo mengine ifunguliwe akaunti ya pamoja mpaka leo 'wenzetu' wa Tanganyika wanafanya ukiritimba na umangimeza.

Eti sasa baada ya mchakato wa Katiba na Serikali 3 CCM nsio inakuja na 2 na KUBORESHA Kero za muungano sio KUZIONDOA!!

TANGANYIKA kaeni chonjo hili haliepukiki ni letu sote na sio la Maalim Seif.

Naam, ila hayo kwao hawayaoni, eti watakuja na madeni ya TANESCO kama kwamba hilo deni tunalowadai halipo, ila tunawambia Watanganyoka, Zanzibar na udogo wetu ila tutadaiwa na nchi zote duniani ila sio Tanganyika, maana tukifanya mahesabu tutawadai tokea mwaka 64 tulipoungana hadi leo, na hilo ndilo linalowafanya wakazanie kuudumisha Muungano!! Shabbashh!!! Utavunjika tu, na pesa mutazilipa!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom