EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Maamuzi ya kubaki ama kutimuliwa ndani ya Chama Cha Wananchi (CUF), Mbunge wa Wawi kupitia chama hicho, Hamad Rashid Mohammed, sasa yamebakia kwa Katibu Mkuu wake, Maalim Seif Sharif Hamad, ambaye leo anaongoza kikao cha Kamati ya Utendaji kumjadili na wenzake 12.
Kikao hicho ambacho wajumbe wake ni wakurugenzi wote wa idara mbalimbali za chama hicho kitafanyika visiwani Zanzibar kwa siku mbili kabla ya kuamua ama kumtimua uanachama ama kumpa onyo kali kwa barua.
Mwenye taarifa zaidi za kikaoni atujuze.
Kikao hicho ambacho wajumbe wake ni wakurugenzi wote wa idara mbalimbali za chama hicho kitafanyika visiwani Zanzibar kwa siku mbili kabla ya kuamua ama kumtimua uanachama ama kumpa onyo kali kwa barua.
Mwenye taarifa zaidi za kikaoni atujuze.