figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
mimi nasema huyu hamad hatufai...sawasawa?, lengo lake ni kuvuruga chama chetu..sawasawa?, yeye atakuwa mfano kwa watu wenye tabia kama zake..sawasawa?, kama ya maadili aliidharau sasa namwadhibu mimi...sawa? na akitaka aende mahakamani tutamkuta..sawasawa?, na barua tushampa sawasawa?, sawa. Mia