we unajua madhara ya kuandamana. kwa sababu wewe upo Bara ndio unasema hivi. hata wazanzibar wanaokaa bara hawataki upuuzi huu. wewe ni nani kuwashurutisha hivigo CUF go SEIF hawa watu bila kuwakomalia watazidi kuwazalau
wazanzibar andamaneni,susieni shughuli za hawa watu mwisho haki itapatikana tu